Njoo Uongeze Kipato Chako Mara Mbili Zaidi Mwaka 2023


Kuna kitu kimoja nilicho na uhakika nacho juu yako rafiki yangu…Kitu hiki ni kwamba, ungependa kuongeza kipato chako walau mara mbili zaidi ndani ya mwaka 2023! Na hiki ni kitu ambacho ningependa kukusaidia ukifanikishe ndani ya mwaka 2023!

Kuanzia tarehe 15 januari 2023, tutakuwa na semina ya kufungua mwaka mpya 2023, lengo kubwa la semina hii, ni kukupa mbinu za kukusaidia wewe kuweza kuongeza kipato chako walau mara mbili zaidi ya kilivyo sasa.

Kwa mbinu tutakazoona kwenye hii semina, ni uhakika kwamba unaenda kuongeza kipato hako walau mara mbili zaidi ndani ya mwaka 2023!

Hii semina siyo ya kukosa hata kidogo.

Semina hii itaanza tarehe 15  januari na itadumu kwa siku 15 mfululizo.

Gharama ya semina hii ni 15,000/- tu. sawa na shilingi elfu moja kwa kila siku ambayo utahudhuria semina. Ili kuhudhuria semina hii ya kipekee utapaswa kulipia hiki kiasi cha shilingi 15,000/- tu. namba ya malipo ni 0755848391 jina ni GODIUS RWEYONGEZA. Ukifanya malipo, utakuwa umethibitisha ushiriki wako kwenye semina

Wahi sasa maana nafasi kwenye hii semina ni chache kwa watu maalumu tu!

Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza.

Baadhi ya makala za Godius Rweyongeza zimechapwa kwenye magazeti makubwa nchini Tanzania likiwemo gazeti la MWANANCHI.

Kupata vitabu vya Godius Rweyongeza unaweza kwa kuwasiliana na 0755848391/ +255755848391 kwa simu au whatsap.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X