Rafiki yangu mpendwa, Salaam
Juzi tumezindua kitabu kipya cha NGUVU YA KUCHUKUA HATUA YA KWANZA. Na kwa nini unapaswa kumaliza kile ulichoanza. Hiki ni moja ya kitabu kizuri sana ambacho unapaswa kuhakikisha kwamba umepata nakala yake mapema.
Najua, umekuwa unataka kufanya makubwa.
Lakini changamoto yako kubwa imekuwa aidha ni kuchukua hatua ya kwanza. Au la umekuwa unachukua hatua ya kwanza lakini umekuwa humalizi kile ulichoanza.
Ukisoma hiki kitabu, siyo tu kwamba utaanza kuchukua hatua ya kwanza. Bali pia utakuwa na uwezo wa kumaliza kila unachoanza.
Hiki ni kitabu kwa watu ambao wako tayari kuchukua hatua. Lengo la hiki kitabu siyo kwamba usome na uanze kujisifia kwamba umesoma kitabu. Bali ni kitabu cha vitendo zaidi.
Yaani, ukisome, uchukue hatua na ukamilishe kile ulichodhamiria kufanya.
Najua umekuwa unapata changamoto kwenye hilo suala. Kinachofuata baada ya hapa ni wewe kulipia hiki kitabu ili uweze kukipata mikononi mwako.
Gharama ya hiki kitabu (softcopy) ni 10,000/- ila tuna ofa ambayo inaisha kesho jioni.
Kwa ofa hii unaenda kupata kitabu hiki kwa shilingi elfu saba 7,000/-
Changamka sasa ili uweze kupata kitabu chako. Leo hii.
Lipia 7,000 ili upate nakala laini (softcopy) yako sasa hivi. Tuma fedha yako kwa namba ya simu 0684408755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA.
Kumbuka, Hii ni nguvu ya kuchukua hatua ya kwanza na kwa nini unapaswa kumaliza kile ulichoanza.