Habari Njema Kwa Wewe Utakayehudhuria Semina


Habari njema kwako rafiki yangu ni kuwa ukifanya malipo ya semina mapema kabla ya tarehe 1.9.2023, unaenda kupewa audiobook ya kitabu cha MAAJABU YA KUWEKA AKIBA bure. Sample ya Audiobook hii hapa
https://youtu.be/On0sNI94FXA?si=0OZ_ddwBCuwMe1hz

Sambamba na hilo, unaenda kupata mafunzo kamili ya semina.
Utapata ufuatiliaji wa karibu kwa miezi tisa baada ya semina.
Utaungana na wengine ambao wanafanyia kazi kwa vitendo yale waliyojifunza.

Na hilo litakupa nguvu ya tofauti, ukilinganisha na wengine.

Kutokana na upekee huu wa semina, kama wewe upo tayari kupata matokeo ya tofauti. Kama upo tayari kujituma na kwenda hatua ya ziada basi hii semina ni ya kwako ma haya hapa ndiyo tutakayojifunza.

https://chat.whatsapp.com/CAdCnW82i8N0clD2fDvn7v

SIKU YA KWANZA:
KARIBU KWENYE SEMINA YA KUONGEZA KIPATO MARA 2
Katika hii siku tutaona
Utangulizi
Kwa nini unahitaji kuongeza kipato chako mara 2
Hatua sita Muhimu za kufuata ili uongeze kipato chako mara 2 ndani ya mwaka mmoja
Jinsi ya kuweka yatakayokupelekea kuongeza kipato chako mara 2

SIKU YA 2
Vyanzo muhimu vitakavyokuwezesha kuongeza kipato chako mara mbili NDANI YA MWAKA MMOJA
Kamuni ya 80/20

Siku ya tatu: JINSI YA KUTENGENEZA MSHAHARA NJE YA MSHAHARA

Ndani ya hii siku tutazama ndani zaidi na kuona….

Kwa nini unahitaji kutengeneza mshahara wako mwenyewe (nje ya mshahara ya mshahara wa kawaida)

Namna ya kutengeneza mshahara nje ya mshahara

Uwekezaji. Msingi mkuu wa kutengeneza mshahara nje ya mshahara.

*Mpaka hapo ada yako ya semina itakuwa imeisha, ila semina itakuwa inaendelea*

SIKU YA NNE: BIASHARA: NYENZO MUHIMU YA KUONGEZA KIPATO CHAKO MARA MBILI ZAIDI NDANI YA MWAKA MMOJA

Kuanzisha biashara yako – wazo na mkakati

Usimamizi wa biashara na ukuaji wa kipato

Mbinu za kujiongezea mauzo na mapato

Kutambua fursa za kukua na kupanua biashara yako

Kupima mafanikio na kutengeneza mkakati wa baadaye

SIKU YA TANO: MTANDAO WAKO NDIYO UTAJIRI WAKO:

Jinsi ya kujenga mtandao utakaokupa fedha

Mbinu za kuwafikia wateja au watu watakaokuwa tayari kutoa fedha mfukoni kukulipa au kununua bidhaa zako

Biashara ni mahusiano na namna ya kuyajenga

Siku ya SITA: ELIMU YA KIFEDHA: KUDHIBITI NA KUKUZA FEDHA ZAKO

Uelewa wa msingi wa fedha na bajeti
Kupunguza matumizi yasiyo ya lazima
Kuweka akiba na kuwekeza kwa ufanisi
Kudhibiti madeni na mikopo

SIKU YA SABA: UTAJIRI: MISINGI MIKUU YA KUJENGA UTAJIRI ISIYOYUMBA

Jinsi ya kuandaa utajiri utakaorishwa mpaka kwa watoto na wajukuu zako

SIKU YA NANE: HITIMISHO

Haya ndiyo makubwa niliyoandaa kwa ajili yako. Kinachofuata baada ha hapa ni wewe kuthibitisha kushiriki kwenye hii semina.

Sasa kabla hujathibitisha, ningependa tu kukutaarifu kuwa ukithibitisha ushiriki wako kwenye hii semina kabla ya tarehe 1.9.2023 unaenda kupokea zawadi ya kitabu sauti (audiobook) moja bure.

Na kitabu hiki utakachopewa bure ni kitabu cha MAAJABU YA KUWEKA AKIBA (audiobook)

Unachotakiwa sasa ni kuthibitisha ushiriki wako kwenye hii semina. Kuthibitisha ushiriki wako.
Lipia ada ya semina ambayo ni 20,000/-
Namba ya malipo ni 0684408755

Unaruhusiwa pia kulipia kidogokidogo.
Unaweza kulipia kila siku (1,000)
Au unaweza kulipia kila wiki (5,000/-)

Unachotakiwa kufanya, chagua mpango wako wa kulipia

Kisha tuma ujumbe wenye jina lako
Mfano.
SEMINA; GODIUS RWEYONGEZA; NITALIPIA KIASI CHOTE TAREHE 30.8

Au

SEMINA JOHN MSEMAKWELI. Nitalipia KILA WIKI 5,000/-

Chagua mpango wako, ili kuthibitisha kushiriki semina.

NB: Ukikamilisha malipo yote kabla ya tarehe moja. Utapata bonus ya audiobook ya kitabu cha MAAJABU YA KUWEKA AKIBA.

Kumbuka, semina inafanyika tarehe 24-30
Na ada ha semina ni 20,000/-
Namba ya malipo ni 0684408755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA

Imeandikwa na
Godius Rweyongeza
0755848391
Morogoro-Tz


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X