TAARIFA KWA UMMA


Siku za karibuni whatsap zimepatwa na changamoto na changamoto ya kufungiwa, kitu ambacho kimenifanya nikawa siwezi kupata jumbe zenu moja kwa moja. Nimejaribu kufungua akaunti nyingine za whatsap ambazo nazo pia zimefungiwa pia.

Hivyo, kwa sasa nimeamua kuwa nitatulia kutumia whatsap kwanza. ila nitakuwa natumia telegram. Unaweza kunifikia kwa haraka telegram kwa namba hii ya +255755848391

Hata hivyo ifahamike kuwa namba hii hii ya +255755848391 bado inapatikana vizuri kwa simu ya kawaida ya kupiga na SMS.

Aidha, namba ya ofisi ambayo ni +255684408755 inafanya kazi vizuri whatsap, na unaweza kuitumia bila wasiwasi wowote.

Natumaini utakuwa umeweza kunielewa na asante kwa kuelewa mabadiliko haya.

Asanteni,
[Jina lako]


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X