Muda Ni Dhahabu


Muda ni kitu pekee ambacho watu wote tunacho Kwa usawa. Ni muhimu sana kwangu kuhakikisha kuwa nakutumia vizuri muda wangu Kwa Manufaa. Hata kama Sina utajiri wa fedha ninaweza kubadili utajiri wa muda kuwa wa fedha.

Muda ni DHAHABU, ninapaswa mara zote kuhakikisha nakutumia vizuri.

Asante.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X