Utajiri ni hatima ambayo Kila Mmoja anapaswa kuipambania


Kujenga utajiri ni mtazamo. Napaswa kubadili mtazamo wangu na kuona kuwa inawezekana kujenga utajiri mkubwa.

Watu wengi wanakuwa na imani mbalimbali Kuhusu utajiri, wanaona utajiri ni mbaya na matajiri ni wabaya. Mtazamo huu huu unawafanya wengi washindwe kujenga utajiri Kwa sababu huwezi kupata kitu ambacho wewe Mwenyewe unaona ni kibaya.

Ili kujenga utajiri unapaswa kuwa na mtazamo chanya kuwa utajiri ni mzuri na unapaswa kuupenda utajiri.

Utajiri ni baraka. Ukiwa nao unakuwa msaada Kwa wengine usipokuwa nao unakuwa karaha Kwa wengine

Utajiri ni mzuri.
Utajiri ni hatima ambayo Kila Mmoja anapaswa kuipambania

Asante
Godius Rweyongeza
www.songambele.co.tz


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X