Vitu Vikubwa Vitano nilivyojifunza kuhusu MAISHA na biashara


Rafiki yangu siku ya Leo Nina ujumbe mmoja TU kwako. Kama una kitu ambacho Wewe mwenyewe unafanya, na unajua kitu hicho kitaleta mabadiliko, mapinduzi au kitasaidia watu basi.

  1. Kifanye kwa moyo wako wote
  2. Jitume na kifanye kwa bidii sana kiasi kwamba hakuna mwingine anayeweza kukifanya kama Wewe
  3. Kifanye Kila siku bila kuacha na kwa muda mrefu bila kuacha.
  4. Usikifanye mara Moja TU, kisha ukasema sioni matokeo. Kifanye mara kwa mara na kwa muda mrefu bila kuacha.
  5. Jitahidi Kila mara kuhakikisha unawafilia watu wapya ambao mwanzoni ulikuwa hujawafikia.

Nakuhakikishia ukifanya haya mambo matano, kwa uhakika, kwa msimamo na bila kuacha. Sharti utaona TU matokeo.

Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza
Kujifunza zaidi kutoka kwake jipatie nakala za vitabu vyake. Unaweza kupata nakala hizi kwa kuwasiliana naye kwa 0684408755.

karibu sana


One response to “Vitu Vikubwa Vitano nilivyojifunza kuhusu MAISHA na biashara”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X