Nawezaje kupata vitabu Vya Godius Rweyongeza?


Rafiki yangu mpendwa salaam. Godius Rweyongeza yupo Morogoro nchini Tanzania. Ofisi zake zipo maeneo ya sabasaba; Morogoro. Hata hivyo, hilo halikuzuii wewe kupata vitabu vyake popote pale utakapokuwa nchini Tanzania.

Ili kupokea kitabu chako popote pale utakapokuwa nchini Tanzania na Afrika Mashariki,

  1. Kwanza unatakiwa kuchagua kitabu ambacho ungependa kupokea. Vitabu vya Godius Rweyongeza vipo katika mfumo wa nakala ngumu (hardcopy), nakala laini (softcopy) na nakala za sauti (audiobook). Kama unataka nakala za mtandaoni (softcopy/ebooks) basi utalipia na kupokea ebooks zako hapohapo bila ya kuchelewa. Aidha kama unataka vitabu vya sauti; audiobooks utalipia na kutumiwa audiobooks zako mara moja. Kutokana na urefu wa audiobooks huwa zinatumwa kwa telegram tu. Vitabu vyote vya sauti (audiobooks) na vya mtandaoni (softcopy) vinapatikana kwa elfu kumi. Orodha ya vitabu itaambatanishwa hapo chini.
  2. Godius Rweyongeza pia ana vitabu vya hardcopy (nakala ngumu). Hivi unaweza kuvipata popote pale utakapokuwa nchini Tanzania. Unachotakiwa ni kuchagua kitabu cha Hardcopy unachotaka. Orodha Kamili ya vitabu vya nakala ngumu, hardcopy inaambatanishwa hapo chini.
  3. Ukishachagua kitabu chako, utafanya malipo, namba ya malipo ni airtel money 0684 408 75 kama upo nje ya nchi ya Tanzania tumia namba hii YA M-PESA kufanya malipo: +255745848395. Hakikisha umeanza na code +255 kama inavyooneshwa hapo kama upo je ya nchi. Kwenye namba zote jina ni GODIUS RWEYONGEZA  Baada ya kufanya malipo, tuma uthibitisho kuwa umefanya muamala kwa namba ya simu 068440855 (whatsap/sms).
  4. Kwa vitabu vya mtandaoni (softcopy/audiobook) utavipokea ndani ya dakika tano baada ya kuwa umefanya malipo. Kwa vitabu vya nakala ngumu, vitatumwa na utapewa maelekezo ya kuvipokea. Lakini kama una mapendekezo ya gari au usafiri gani tutumie wakati wa kukutumia vitabu vyako, utatuambia, nasi tutafuata hayo maelekezo yako. Ndani ya saa 48 unakuwa umepokea kitabu chako kulingana na eneo ulipo. Wakati kama upo karibu na Morogoro au Dar Es Salaam, basi huwa ni ndani ya saa 2. Kwa Dar Es Salaam na Morogoro tunafanya Delivery ila hapa unaongeza kiasi kidogo kwenye gharama ya kawaida ya kununua kitabu kwa ajili ya delivery.

Rafiki yangu, hivyo ndivyo unaweza kupokea vitabu vya Godius Rweyongeza popote pale utakapokuwa nchini Tanzania, Afrika na Dunia nzima.

Hapa chini nimeambatanisha orodha vya vitabu vyake vyote.

Kwenye hii orodha.

Vitabu 11 vya kwanza vinapatikana kwenye mfumo wa nakala ngumu.

Vitabu sita vya kwanza vinapatikana kwenye mfumo wa sauti pia.

Vitabu vingine ni nakala laini.

Hata hivyo kuna vitabu vingine ambavyo vinapatikana kwenye mfumo wa nakala laini na nakala ngumu; na vingine vinapatikana kwenye mifumo yote; yaani, nakala ngumu, nakala laini na nakala yamtandaoni. Chagua mfumo wowote ule ambao ungependa kupata kwa sasa. Kisha lipia kitabu unachotaka.

Kumbuka; nakala ya laini (softcopy/ebook) ni 10,000/- kwa kila nakala

Nakala ngumu (hardcoy) ni 25,000/ kila nakala

Na nakala za sauti ni 10,000/- kwa kila nakala.

Ifutayo ni rodha kamili ya vitabu vya GODIUS RWEYONGEZA

  1. JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO

Hardcopy (25,000). (hardcocopy)

Audiobook=10,000/-

Flash audiobooks zote + mafunzo ya ziada (150,000/-)

  1. Maisha Ni FURSA: Zitumie ZIKUBEBE

(hardcocopy 25,000/-)

Audiobook=10,000/-

Flash audiobooks zote + semina+kozi+ mafunzo ya ziada (150,000/-)

  1. NGUVU YA VITU VIDOGO KUELEKEA MAFANIKIO MAKUBWA

(hardcocopy 25,000)

Audiobook=10,000

Flash audiobooks zote + semina+kozi+ mafunzo ya ziada (150,000/-)

  1. MAAJABU ya kuweka akiba

Hardcopy 20,000

(($oftcopy 10,000))

Audiobook 10,000/-

Flash audiobooks zote + semina+kozi+ mafunzo ya ziada (150,000/-)

  1. KIPAJI NI DHAHABU: Jinsi Ya Kugundua kipaji chako, kukinoa na kukiendeleza
    Hardcopy 25,000
    ($oftcopy 10,000)
    Audiobook 10,000
    Flash audiobooks zote + semina+kozi+ mafunzo ya ziada (150,000/-)
  1. JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO ($oftcopy 10,000)

Hardcocopy 25,000/-

AUDIOBOOK (10,000/-)

Flash audiobooks zote + semina+kozi+ mafunzo ya ziada (150,000/-)

  1. VYANZO VINGI VYA KIPATO (10,000) Softcopy

Hardcopy (20,000/-)

  1. NGUVU YA KUCHUKUA HATUA YA KWANZA
    Hardcopy 25,000/-
    Softcocpy=10,000/-
  2. MAAJABU YA KUWEKEZA KWENYE HISA, HATIFUNGANI NA VIPANDE Hardcopy 25,000  ($oftcopy 10,000)
  3. Kutoka sifuri MPAKA KILELENI (20,000) (hardcocopy)
  4. JINSI ya kuwa mwandishi MBOBEVU
    Hardcopy 20,000/-
    ($oftcopy 10,000)
  5. TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA: tatizo Ni rasilimaliwatu tunaowapoteza (volume 1)

Hardcopy 25,000/-

 ($oftcopy 10,000)

  1. AKILI YA DIAMOND (hardcocopy 10,000/-)
    Softcopy 10,000
  2. Mambo 55 ya Kuzingatia kabla ya KUANZISHA BISHARA (Softcopy 10,000)
  3. JINSI YA kuibua ubunifu ulio ndani yako ($oftcopy 10,000)
  4. ZAMA ZIMEBADILIKA: MAISHA YAMEBADILIKA, AJIRA HATARINI na WEWE BADILIKA
  5. NGUVU YA KUWEKA MALENGO (10,000) softcopy
  6. NGUVU YA WAZO (5,000/-) softcopy
  7. MWONGOZO WA WAPAMBANAJI(softcocpy 10,000/-)
  8. NYUMA YA USHINDI: Kuna Kushindwa, Kushindwa, Kushindwa
    Softcocpy 10,000/-
  9. JINSI YA KUTENGENEZA MSHAHARA NJE YA MSHAHARA $oftcopy 10,000/-
  10. FURSA AMBAZO VIJANA WA SIKU HIZI WANACHEZEA NA JINSI YA KUZITUMIA $oftcopy (10,000/-)
  11. UJUZI AMBAO KILA MFANYABIASHARA ANAPASWA KUWA NAO $oftcopy (10,000/-) 
  12. MAAJABU ya kusoma vitabu (free ebook & Audiobook)

Flash audiobooks zote + semina+kozi+ mafunzo ya ziada (150,000/-)

Ebook hii ya maajabu ya kusoma vitabu unaweza kuipta bure kabisa hapa.

Audiobook yake pia unaweza kuipata bure hapa

Ila kama ungependa kupata flash, yenye audiobooks zote nane. Pamoja na mafunzo ya semina mbalimbali ambazo nimekuwa natoa, kozi mbalimbali ambazo huwa natoa pamoja na  mafunzo mengine ya ziada, basi utalipia laki moja tu. Namba ya malipo ni 0684408755. Ukishafanya malipo, nitumie ujumbe kwenye namba hiyohiyo whatsap ili ni kutumie flash au vitabu vyako.

Mimi nakupenda sana. Kama una swali lolote tafadhali naomba uniulize, nami nitakujibu. Asante.

Godius Rweyongeza

0755848391

Morogoro-TZ


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X