Nitakuwa Kwenye Kipindi Cha Temino Ya Clouds FM Leo


👆🏿👆🏿Wakati unajipanga kwa ajili ya hiki kipindi Maalumu cha kufungua mwaka 2024. Hakikisha pia unajiandikisha kwa ajili ya semina ya kufungua mwaka 2024.

Taarifa kamili ya semina ya kufungua mwaka 2024 hii hapa👇🏿

www.songambele.co.tz/semina

Ni semina ya mwezi mzima.
Venue: Whatsapp

Ada ya semina ni 30,000/-

Malipo yanafanyika kwa namba ya simu: 0684408755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA

Ukishalipia mapema TU tunawasiliana ili uweze kuungwa kwenye kundi la whatsap la semina .

Kwa Sasa unaweza kujiunga kwenye kundi la mapokezi hapa👇🏿
https://chat.whatsapp.com/CAdCnW82i8N0clD2fDvn7v

Mwaka 2024 ndiyo huu hapa, lengo lako kuu ni lipi? Au unamwachia Mungu?

Enewei tukutane kwenye TEMINO YA CLOUDS FM baadaye Leo kuanzia saa Tisa jioni mpaka saa Kumi na moja

Cheers!

Godius Rweyongeza
www.songambele.co.tz
Morogoro-Tz


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X