Hakuna kitakachobadilika kama wewe hutabadilika


Hakuna kitakachobadilika, kama wewe hujabadilika.

Kitu chochote unachotaka kibadilike, Anza wewe kukifanyia kazi.

Kama mahusiano Yako unataka yabadilike Anza kuyafanyia kazi

Kama ni Hali Yako ya kipato , chukua hatua, Anza kulifanyia kazi Hilo. Na pengine unaweza kuanza na programu yetu ya mafunzo ya kuongeza kipato mara mbili; ambayo unaweza kuyapata hapa

Ebu labda nikiuulize, ni ni kitu gani ambacho ungepend kuona kinabadilika kwenye maisha yako. je, ni kwa namna gani upo tayari kulipa gharama kwa wajili yakufanjikisha hicho kitu.

Na kumbuka kwamba kulipa gharama iyo kunatofautisha kati ya watu ambao huwa wanafanikisha malengo yao na wale ambao huwa wanaishi tu kuwa na matamanio juuu ya melengo, huku wakiwa hawachukui hatu yoyote.

Badala tu ya kuishia kutamani kwamba ungeweza kufanya mabadiliko. sababisha mabadiliko kwelikweli bila ya kurudi nyuma.

Uwe na wakati mwema


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X