Acha Uvivu, Fanya Jambo Hili Kila Siku Bila Ya Kuacha


Kufikiri ni jambo ambalo tunapaswa kulifanya kila siku. Wengi hudhani wanafikiri lakini kumbe siyo. Kufikiri ni kazi ambayo hatupaswi kuikwepa.

Inapaswa kuwa sehemu aya maisha yetu ya kila siku. Hakuna mtu ambaye anawez akufanya hiki kitu kwa ajili yako. Kuna vitu unaweza kuwapa watu na wakafanya hivyho vitu ila huwezi kuifanya wewe.

Jipe kazi ya kufikiri kila siku kwa kufuata utaratibu maalumu ambao nimeuleza kwenye makala hii Ufahamu Uovu wa Lazima Kwenye Maisha Yako

Ifuatilie hii makala, nina uhakika utajifunza mengi na utanishukuru kwa hicho.

MAPAKA WAKATI MWINGINE NIKUSHUKURU SANA KWA MUDA WAKO.

Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana na +255 684 408 755

Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

For Consultation only: +255 755 848 391


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X