Je, Semina Ya Juni Ni Gharama Kubwa?


Najua utakuwa unasema kwamba semina hii ni gharama kubwa sana. Lakini ngoja ni kwambie kitu, ni mara ngapi umekuwa unapoteza fedha KWENYE VITU AMBAVYO HATA HAVINA NGUVU KUBWA KAMA SEMINA HII?
Kuchukua laki moja na kuiwekeza kwenye semina kama hii ni uwekezaji wa kipekee ambao unapaswa kuufanya kwa ajili yako.

KADIRI UNAVYOWEKEZA KIKUBWA, ndivyo inaonesha wazi namna ulivyojitoa kuelekea kwenye mafanikio unayotaka.
Na ndivyo utaweza kufuatilia kwa umakini mafunzo yetu. Na mimi nakuhakikishia kitu kimoja tu. Tumendaa mambo makubwa kwa ajili yako. Naam,, tumeandaa mambo makubwa mno.
Hiyo tarehe 29, Juni, mambo yatakuwa ni moto. Mambo yatakuwa ni fire pale Landmark Hotel.

Kila mshiriki ataondoka na mwongozo kamili wa kufanyia kazi.

HUU NDIO ULE MWAKA AMBAO TUNAPASWA KUTOBOA.
WATATUONA TUKIVUKA NG’AMBO

Lipia sasa ada ya semina. Lipia kwa namba ya simu 0684 408 755


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X