Kanuni ya miezi sita kwenye biashara


Kuna mambo 55 ya kuzingatia kabla ya kuanzisha biashara, mambo haya yote yameelezwa kwenye hiki kitabu. Kupata nakala yako, wasiliana na +255 684 408 755
Hakikisha unajipatia nakala ya kitabu hiki. Tumia namba ya simu +255 684 408 755

Kuna kanuni ya miezi sita kwenye biashara ambayo wafanyabiashara wengi hawaifahamu.

Ni kanuni muhimu ambayo kama mfanyabiashara unapaswa kuifahamu. Kutoifahamu kanuni hii kutakuponza sana Kanuni hii inasema kwamba, ukianza kufanya biashara, ndani ya miezi sita ya kuanza biashara kuna watu wengine wataanzisha biashara kama hiyo.

HII kanuni inafahamika kama kanuni ya copy cat. ikimaanisha kwamba baada ya miezi sita kuna watu watakuwa wanafnaya biashara kama ya kwako uliyoanza kufanya baada ya miezi sita.

Kuna watu watazalisha bidhaa kama hizo miezi sita baada ya wewe kuwa umeanza kufanya uzalishaji.

Kwa hiyo hakuna kitu unachofanya kwenye biashara yako ambacho kipo salama ambacho watu hawatakuja kukifanya Sasa unafanyaje kujitofautisha Kitabu hicho hapo๐Ÿ‘†๐Ÿฟ๐Ÿ‘†๐Ÿฟ Ni 20,000/- tu Lipia kwa 0684408755 sasa Nakala laini ni 10,000/- Namba ya malipo ni 0684408755 JINA ni GODIUS RWEYONGEZA


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X