KITABU: YOU ARE NOT SICK, YOUR ARE THIRSTY: DON’T TREAT THIRST WITH MEDICATIONS MWANDISHI: DR F. BATMANGHELIDI


KITABU: YOU ARE NOT SICK, YOUR ARE THIRSTY: DON’T TREAT THIRST WITH MEDICATIONS
MWANDISHI: DR F. BATMANGHELIDI

Je, unayajua magonjwa 10 yanayotibika kwa kunywa maji pekee?
Suluhisho la kupanda kwa gharama za afya yako binafsi


Utangulizi

Maji huwa hutumika mwilini mwa kila binadamu kukidhi mifumo yote ya mwili.
Ata mkuu wa kanisa katoliki duniani, baba mtakatifu (POPE) asilimia sitini ya mwili wake ni maji


Kunapokuwa na maji ya kutosha mwilini, mtiliriko wake husababisha mgawanyo na usafirisaji wa homoni( hormones), kemikali za usafirisaji( chemical messengers) na vyakula kutoka upande moja hadi upande mwingine mwilini.


Kwa kawaida za binadumu, huhisi kiu( failure of thirst sensation) tangu tunapokua na miaka michache ya uzima wetu( early adulthood) na huwa hupata ukosefu wa maji mwilini kadiri miaka inapozidi na kukauka sana kimwili bila kujua.


Aidha, watu huwa na mchanganyiko wa kiu cha maji na kupenda kutumia vinywaji mbadala yake kama, chai, kahawa, na vinywaji vya pombe.
Utafiti unaonyesha wazi kuwa, kinywani kilichokauwuka( dry mouth) ni dalili ya mwisho ya ukosefu wa mwaji mwilini( dehydration) na hasa hasa kwa wazee .


Dalili zinazotokeza na kuziona kama ugonjwa kwa sababu ya ukosefu wa maji mwilini ni hizi zifautazo:


1. Morning sickness in early pregnancy: wakinamama huwa wanapokuwa wazito, wanatapika kila mara hasa majiri ya asubuhi

2. Heart burn: Kuungua katikati ya kifua kama pilipili

3. Rheumatoid arthritis: maumivu kwenye viungo vya mikono na miguu na sehemu zingine

4. Anginal pains: maumivu kifuani upande wa sehemu za moyo au upande wa kushoto

5. Migraine headaches: maumivu kichani seheme za juu ya masikio

6. Maumivu mgongoni

7. Maumivu miguni unapotembea

8. Maumivu tumboni

9. Kutokuwa na faraha au uzuni kubwa moyoni ( depression)

10. Allergies ? mizio ya mwili

Huweza kutufatilia na kuyajua mengi kuhusu afya yako:

Telephone: +256772367793/+256708470471

Tovuti : WARUGABA MEDICAL CENTRE

Barua pepe : amosbusingye05@gmail.com

Eneo : https://g.co/kgs/gncGSxj


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X