Watu


Ili ufanikiwe unahitaji watu, tena watu sahihi.

Hivyo basi rafiki yangu, pambana kuzungukwa na watu sahihi. Ukikaaa na watu ambao siyo sahihi watakuangusha.

Unajua kwa nini watakuangusha, watakuangusha kwa sababu fikra zao ni za kuanguka wala siyo za kuinuka.

Inabidi ukae na watu wenye fikra za kuinuka, ili uinuke.

Swali langu kwkao siku ya leo ni je, ni kwa namna gani unakaa na watu sahihi kwenye maisha yako?


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X