Nguvu ya Kuweka Malengo-1


Unapokuwa na malengo unapambana kwa vyovyote vile kuhakikisha unayafanikisha malengo Yako ndani ya muda husika.

Ila ukiwa huna malengochochote kinachotokea mbele yako ni lengo.

Hivyo basi jitahidi kuhakikisha kuwa na malengo, weka malengo yafanyie kazi.

kumbuka usipokuwa na malengo, chochote kitakachotokea mbele yako kitakuwa ni lengo.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X