-
Ni njia zipi unazitumia kusambaza bidhaa au hudhuma zako?
rafiki yangu mpendwa salaamleo nataka tuongelee ni njia ambazo unazitumia kuhakikisha kwamba unasambaza bidhaa zako? Una njia moja, mbili au zaidi! Ninachotaka kukwambia siku ya leo ni kwamba kadri unavyokuwa na njia nyingi zaidi za kusambaza bidhaa zako ndivyo ambavyo unakuwa na uwezo wa kuwafikia wateja wengi kuliko pale unapokuwa na njia chache. Hivyo kama…
-
Mazoea ni mabaya sana
Mwaka fulani wakati wa mahali la saba wanafunzi waliimba wiMbo fulani unaosemaMazoea ni mabaya sana*2Wimbo huu ulikuwa ni kuwaaga darasa la saba ambao walikuwa wanamalizia masomo yao na kwenda hatua inayofuata. Sikumbuki nilikuwa darasa la ngapi kwa wakati hu[, na wimbo wenyewe siukumbuki vizuri sana, ila nakumbuka kiitikio kilikuwa kinaanza hivyo Mazoea ni mabaya sana…
-
Kwa nini tunapaswa kuwafundisha watoto fikra za kijasiriamali tokea wakiwa shuleni
Watoto wetu wanapaswa kufundishwa fikra za kijasiamali tokea wakiwa shuleni. Haijalishi kama watakuwa wajasiriamali na wafanyabiashara au hawatakuwa, lakini bado tunapaswa kuwafundisha wawe na fikra hizi maana zitawabeba sana kwenye maisha yao. Kwenye video hii nimeeleza kwa undani na kwa kina kuhusiana na hii dhana na namna ambavyo tunaweza kuanza kuitumia mara moja.
-
Nukuu 12 Za Kufikirisha:
1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10. 11.
-
Uoga wako ndiyo umasikini wako
Watu wengi wanashindwa kuchukua hatua kwenye maisha kwa sababu tu ya kuwa na uoga. Kwenye somo la leo tunaenda kuona ni kwa namna gani unaweza kuondokana na uoga na kuweza kufanya makubwa. Haya twende kazi sasa
-
Nukuu 6 Za Kufikirisha.
1. 2. 3. 4. 5. 6.
-
Nukuu 13 Za Zufikirisha
01: 2″: 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10. 11. 12. 13.
-
Upo tayari kuambiwa ukweli?
Rafiki yangu wa ukweli. Kama unaishi kwenye hii dunia, moja ya kitu ambacho huwezi kukikwepa ni watu kukusema. watu wanaweza kukusema kwa mazuri au kwa mabaya. Moja ya kitu ambacho kamwe haupaswi kuogopa ni kusemwa. Kwenye hii dunia, kila mtu anasemwa, marehemu tu anasemwa, sasa wewe uliye hai unadhani itakuwaje? Kama hakuna mtu yeyote anayekusema,…
-
Ni Kitu Gani Kimoja Ambacho Unaenda Kukifanya Wiki Hii Nzima Mfululizo Bila Kuacha
Leo ni jumatatu nzuri sana. Na kwa kuwa ni mwanzo wa wiki, una nafasi nzuri ya kuitumia siku ya leo kuchagua kitu kimoja ambacho utakifanya kwa msimamo wiki hii bila kuacha. Kama wewe ni mwandishi, wiki hii unaweza kujiwekea utaratibu wa kuandika kwa wiki nzima bila ya kuwa na sababu yoyote ambayo inakuzuia wewe usiandike.…
-
Nukuu 16 Za Kufikirisha
1: 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10. 11. 12. 13. 14. 15. 16.
-
Njia Ya Uhakika Itakayokufanya Usitapeliwe Na Mtu Yeyote
Vijana wengi wamekuwa wanatapeliwa kwa kuambiwa fursa ambazo siyo za kweli. Leo hii nakuletea, njia ya uhakika ya wewe kutotapeliwa na mtu yeyote. Njia hii nimeieleza kwa kina kwenye video husika hapo juu.
-
Njia ya uhakika ya wewe kuwa na maisha bora
Wengi wanapenda sana kuwa na maisha bora na kuishi maisha bora, hata hivyo wengi wamekuwa hawajui ukweli kuhusu njia bora na ya uhakika ya kuishi maisha bora. Kitu hiki kimewapelekea wengi kuishi maisha ya kawaida sana na hivyo kushindwa kufikia hayo maisha wanayotamani. Sasa leo nipo hapa kukwambia jambo moja la muhimu sana kuhusiana na…
-
Hii ndiyo sifa kubwa ya kitabu unachopaswa kuandika
Rafiki yangu, sifa moja kubwa ya kitabu unachopaswa kuandika ni kwamba kitabu chako kinapaswa kujikita kwenye kujadili mada moja kwa undani zaidi. Mtu anapochukua kitabu, tunategemea kwamba anapaswa kupata maarifa ya kina kuhusiana na kile ambacho umeandika. Si jambo zuri kuandika kitabu cha kila kitu. Ndiyo maana huwa tunaandika kitabu cha pili au cha tatu…
-
Nukuu 14 Za Kufikirisha
1. 2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10. 11. 12. 13. 14.
-
Namna Rahisi Ya Kujifunza Ujuzi Utakaokulipa
Ni ujuzi gani ambao unalipa zaidi na ninawezaje kujifunza ujuzi huu. hapo zamani za kale kama ulitaka kujifunza ujuzi kama huu, ulitakuwa kuhakikisha kwamba unakutana na wabobezi na kujifunza kutoka kwao kwa kufanya. Kitu hiki kiliitwa uanagenzi. Leo hii mfumo wa uanagenzi ni kama umepotea na kuja katika mfumo wa tofauti kabisa. Ambapo leo hii…
-
Naomba kuanzia leo hii uanze kumfuatilia mtu huyu, hutajutia…
Naomba kuanzia leo hii uanze kumfuatila mtu huyu, hutajutia… Moja ya kitu ambacho watu wengi wanakosea ni kufuatilia maisha ya watu wengine kuliko wanavyojifuatilia maisha yao binafsi. Ninachotaka ufanyie kazi rafiki yangu kuanzia leo ni kuanza kujifuatilia maisha yako mwenyewe. Inawezekana moja ya kitu kinachokufanya wewe ufuatilie maisha ya watu wengine ni kwa sababu haujijui.…
-
Nukuu 15 Za Kufikirisha
2. 3. 4. 5. 6. 7. 8. 9. 10. 11. 12. 13. 14. 15.
-
Muda mzuri wa kupanda mti ilikuwa ni miaka 10 iliyopita…muda mwingine mzuri zaidi ni sasa
Wahenga wanasema kwamba muda mzuri wa kupanda mti ulikuw ani maiaka 10 iliyopita, na muda mwingine mzuri zaidi ni sasa. Chukua hatua sasa.
-
Njia ya kukusaidia kufanya makubwa
rafiki yangu mpendwa, wengi wamekuw awnatamani kufanya makubwa kwenye msiah ayo. hata hivyo, siyo waote wamekwuwa wanaishia kufanya makbwa. Mjaya sababu kwa nini watu wengi hawawezi kufanya makubwa ni kwa sababu hawajui kitu kimoja u, ambacho nimekieleza zaidi kwebye kitabu hiki.
-
Mtag ambaye ungependa ujumbe huu umfikie
Kwenye vipindi mbalimbali vya redio huwa kuna kipindi cha kutuma salamu na ujumbe. Kama kuna mtu ambaye leo hii ungependa ujumbe huu umfikie mtag hapa ili aje auone. UWE NA SIKU NJEMA