Kafanyaje nini huyu?-2


Mwaka wa tatu jamaa yupo mtaani Hana ajira

Ebu fikiria hili. Unaenda shule, unasoma kwa bidii huku ukiwa unategemea upate ajira ya maana, mara unamaliza chuo na ajira haipo!

Unasubiri mwaka wa kwanza unapita huku ukiwa umetuma maombi ya kutosha.

Unataka kuanzisha biashara, unakuta kwamba mtaji huna! Hiki kitu tu, lazima kitakupa pressure.

Ione mitaji yenyewe hapa


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X