
Mwaka wa tatu jamaa yupo mtaani Hana ajira
Ebu fikiria hili. Unaenda shule, unasoma kwa bidii huku ukiwa unategemea upate ajira ya maana, mara unamaliza chuo na ajira haipo!
Unasubiri mwaka wa kwanza unapita huku ukiwa umetuma maombi ya kutosha.
Unataka kuanzisha biashara, unakuta kwamba mtaji huna! Hiki kitu tu, lazima kitakupa pressure.
Usiwaze. Mtaji wa wewe kuanza biashara unaweza kuupata tu kirahisj. Na tena tayari una MITAJI 8 ILIYOKUZUNGUKA na ambayo unaweza KUANZA KUTUMIA LEO.
Ione mitaji yenyewe hapa
Kupata ebook ya MITAJI 8 ILIYOKUZUNGUKA NA JINSI YA KUITUMIA
tuma elfu 5 kwenda 0755848391 jina ni GODIUS RWEYONGEZA.