2024 badili mifumo yako ya kufikiri


 

Rafiki yangu, matokeo ambayo umepata ndani ya mwaka 2023, yanaweza yasibadilike kama hutabadilika. Unachohitaji kufanya mwaka 2024 ni kubadilika wewe. Kama hutabadilika au kubadili namna unavyofikiri, ukweli ni kuwa matokeo utapata matokeo yaleyale ambayo ambayo umepata 2023 au hata chini ya hapo.

 

Napenda sana nukuu ya Robert Pirsing kama ilivyonukuwa kwenye kitabu cha Thinking In Systems,  anasema;

If a factory is torn down but the rationality which produced it is

left standing, then that rationality will simply produce another

factory. If a revolution destroys a government, but the systematic

patterns of thought that produced that government are left intact,

then those patterns will repeat themselves. . . . There’s so much talk

about the system. And so little understanding.

—Robert Pirsig, Zen and the Art of Motorcycle Maintenance

 

Akimaanisha

I’ll provide a translation of the given text into Kiswahili:

 

“Endapo kiwanda kitabomolewa lakini mantiki iliyosababisha kujengwa kwake ikabaki, basi mantiki hiyo itaunda tu kiwanda kingine. Endapo mapinduzi yanaharibu serikali, lakini muundo wa mawazo uliosababisha kuundwa kwa serikali hiyo unabaki salama, basi muundo huo utajirudia. … Kuna mazungumzo mengi kuhusu mfumo. Na uelewa ni mdogo sana.”

—Robert Pirsig, Zen and the Art of Motorcycle Maintenance

 

Hii maana yake nini, maana yake kitu kilicholeta matokeo ya kwanza, kama kitu hicho hakitaharibiwa au kubadilishwa, matokeo yataendelea kupatatikana.

 

Mfano wengi tumekuwa tunaongelea kuhusu serikali na namna ilivyo na mfumo mbovu. Na hivyo fikra za wengi zimekuwa kwamba ikibadilishwa serikali basi matokeo ya tofauti yanaweza kupatikana. Lakini mabadiliko ya serikali yamekuwa hayaji na matokeo ya tofauti. Na kitu ambacho kimekuwa kinasababisha hilo ni ile fikra iliyojenga serikali, au misimamo iliyojenga serikali, au misingi iliyojena serikali bado haijaharibiwa. Misingi bado ni ile ile, hivyo anapobadilishwa mtu mmoja juu, wengine wote wanaendelea kukaa vilevile hata wakibadilishwa. Kumbe, njia ya kupata matokeo ya tofauti ni kubadili ile misingi na kuweka mfumo mpya ambao utaleta matokeo.

 

Sasa achana na serikali. Hapa nakuongelea wewe, 2024 kama hutabadili mifumo ambayo umekuwa unaitumia utaendelea kupata matokeo yaleyale na hata chini ya hapo.

 

Sasa unajiuliza ni mfumo upi unapaswa kuwa nao.

KWANZA, anza kwa kuweka ratiba yako. Kuwa na ratiba yako ya kila siku, ambayo unaifuata.

Pili kwenye siku yako, fanya majukumu ya muhimu tu kwanza. Majukumu ambayo siyo ya muhimu kamwe usiyafanye. Fanya majukumu ambayo ni muhimu pekee.

Tatu,fanya majukumu machache, majuku mengine ambayo si ya muhimu zaidi wape wengine.

Soma zaidi: Lengo Lako Kuu La Mwaka 2024 Ni Lipi? Au Ndio Unamwachia Mungu🤔?

Karibu sana kwenye semina ya kufungua mwaka 2023. Kwenye hii semina nitaeleza hii mada kwa undani na kwa urefu kiasi kwamba utaweza kuilewa na kuitumia vyema sana.

Ni semina ya siku 30.

Itaanza tarehe 20 hadi tarehe 20  Februari, moja ya mada ambayo itafundishwa kwa kina ni hii.

Gharama za hii semina ni elfu thelathini.

Kujiunga na semina hii ni rahisi sana.

Lipia 30,000/- kwa namba 0684408755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA. Ukishalipia, basi utaniambia nili nikuunge kwenye kundi maalumu la semina.

NB: Ofa ya Krismasi bado inaendelea. Mwisho ni siku ya tarehe 1.1.2024 saa sita usiku

*Bado siku mbili TU ya wewe kupata ofa hizi mbili*

*Ofa ya kwanza*
*Unapata vitabu 6 (softcopy kwa 20,000/- au vitatu kwa 10,000/-* 🤭

Chagua hapa, nipe taarifa👇🏿

1: JINSI YA KUTENGENEZA MSHAHARA NJE YA MSHAHARA
2: NGUVU YA WAZO
3: NGUVU YA KUWEKA MALENGO
4: MWONGOZO WA WAPAMBANAJI
5: MAMBO 55 YA KUZINGATIA KABLA YA KUANZISHA BIASHARA
6: VYANZO VINGI VYA KIPATO

Lipia 10,000 upate vitabu VITATU, LIPIA 20000 Upate vyote SITA. ( Softcopy)

Namba ya MALIPO ni. 0684408755 GODIUS RWEYONGEZA

 

*Ofa ya pili*

 

Unapata audiobook 6 kwa 15,000/- TU. Audiobooks zenyewe ni.

1. NGUVU YA VITU VIDOGO KUELEKEA MAFANIKIO MAKUBWA
2. JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO
3. MAISHA NI FURSA: ZITUMIE ZIKUBEBE
4. JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO
5. MAAJABU YA KUWEKA AKIBA
6. KIPAJI NI DHAHABU


Gharama ya hizi audiobooks ni zaidi ya ~100,000/~ ila kwa Sasa lipia 15,000/- TU upate zote sita.

Namba ya malipo ni 0684408755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA

*Hii ndiyo Ile ofa ushindwe mwenyewe*


Wewe ofa Yako msimu huu ni ipi?


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X