Kitu kimoja ambacho kimenishangaza


Juzi nilijaribu kutuma hiki kitabu cha MAAJABU YA KUSOMA VITABU kwenye makundi ya whatsap. Cha kushangaza ni kwamba kuna watu hawajawahi kupata hiki kitabu. Walikisoma na wengi waliweza kupata mrejesho ambao ni chanya, namna ambavyo kimebadili maisha yao.

Wengine walishakisoma, ila kitendo cha kurudia kukisoma juzi, kiliwapa hamasa kubwa kwa mara nyingine na kuwafanya wajisikie wapya.

Nimeona kwamba inawezekana hata hapa, inawezekana kuna watu hawajahi kupata hich kitabu au wengine wameshakisona na wangependa kukipata kwa mara nyingine. Ndiyo maana nimeona kwamba nikutumie na wewe….

KWA HIYO, kama wewe umeweza kusoma hiki kitabu, inawezekana ukakisoma tena, kitakufaa sana.

Kama hujawahi kukisoma, sasa ni muda mzuri wa wewe kukisoma.

BONYEZA HAPA KUKIPAKUA

Ukiataka kupata vitabu zaidi: wasiliana na 0684408755

Mimi ni Godius Rweyongeza

Karibu sana.

NB: Unaweza pia KUPATA VITABU VYANGU ONLINE HAPA

au HAPA

JIFUNZE ZAIDI KWENYE BLOGU KWA KUBONYEZA HAPA

JIFUNZE ZAIDI KWENYE YOUTUBE CHANNEL KWA KUBONYEZA HAPA


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X