Nipo kwenye mitandao ya kijamii


Nipo kwenye mitandao ya kijamii

kwa siku sasa, nilikuwa nimesitisha kuitumia mitandao ya kijamii yote isipokuwa mtandao wa whatsap na telegram. Ila kwamwaka huu ninaenda kuwa tena kwenye mitandao hii ya kijamii. Nitakuwa ninatoa mafunzo kwenye hii mitandao kama ambavyo nilikuwa nafanya mwanzoni

ila maeneo yangu ya nguvu ambayo huwa natoa mafunzo, yataendelea kuwa yaleyale. kabla sijakwambia unaweza kunipataje kwenye mitandao hii ya kijamii, naomba ufahamu maeneo matatu ambayo ni lazima utapata mafunzo kutoka kwangu.

Eneo la kwanza ni blog ya songa mbele (https://songambele.co.tz/)

Eneo la pili ni YouTube channel yangu ambapo unaweza kuitembelea hapa (https://www.youtube.com/godiusrweyongeza)

Eneo la tatu ni email, huku pia natoa mafunzo Kwa njia ya baruapepe Kila siku; kama Bado hijajiungabna mfumo wetu wa kupokea mafunzo Haya bonyeza hapa ((https://songambele.co.tz/zawadi)

Sasa ukiachana na Hilo,mwaka huu kwenye mitandao yote kijamii nitakuwepo. Jiunge Mami kwenye hii mitandao. Kujiunga nami ni rahisi sana

TikTok: https://www.tiktok.com/@godiusrweyongeza
Instagram: https://www.instagram.com/godius_rweyongeza/
Facebook: https://www.facebook.com/songambeletz
Na songambele https://www.facebook.com/songambeleblog
Twitter: https://twitter.com/godiusrweyongez

Linkeldn: https://tz.linkedin.com/in/godius-rweyongeza

Mwaka huu Mimi Kwa kushirikiana na timu yangu tunaenda KUWEKA mafunzo Kila siku. Kwenye hii mitandao. Ila hata hivyo nipende kukutaarifu kuwa endapo utakosa mafunzo kwenye hii mitandao ya kijamii

Hutayakosa kwenye email, kwenye blogu na YouTube

Endelea kuwa karibu nami

Godius Rweyongeza
+255678848396
Morogoro-Tz


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X