Njia pekee ya kuongeza mshahara wako mara mbili


Biashara ndiyo njia pekee ya kuongeza kipato chako mara mbili kadiri muda unavyokwenda. Ni tofauti na njia nyingine zozote. Uongezwaji wa kipato kwenye ajira una kikomo, na mshahara kwenye ajira hauwezi kuongezeka mara mbili kila mwaka, lakini kwenye biashara, kama kweli utajifunza biashara kwa kina na kufanyia kazi yale unayotakiwa kufanyia kazi. Inawezekana.

SOMA ZAIDI: 

 


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X