Author: Amos Busingye

  • KITABU: YOU ARE NOT SICK, YOUR ARE THIRSTY: DON’T TREAT THIRST WITH MEDICATIONS MWANDISHI: DR F. BATMANGHELIDI

    KITABU: YOU ARE NOT SICK, YOUR ARE THIRSTY: DON’T TREAT THIRST WITH MEDICATIONSMWANDISHI: DR F. BATMANGHELIDI Je, unayajua magonjwa 10 yanayotibika kwa kunywa maji pekee?Suluhisho la kupanda kwa gharama za afya yako binafsi Utangulizi Maji huwa hutumika mwilini mwa kila binadamu kukidhi mifumo yote ya mwili.Ata mkuu wa kanisa katoliki duniani, baba mtakatifu (POPE) asilimia…

  • The Law Of Attraction Kitabu Kilichoandikwa na Simon Gray

    UTANGULIZI1. Mwandishi wakitabu hiki anatujuza kwamba maisha tunao ni nishati yani kila tofali(seli ) mwilini ni nishati kutokana na fomula ya Albert Einstein:E=MC2 E= Nishati, M= mwili C = kasi ya mwanga Kwa hivyo basi, tunao uwezo mkubwa hapa duniani kiasi kwamba huwa tunazo nguvu zakufanya chochote kile tutachodhamiria kufanya, ubunifu, kuyafanya makubwa yoyote tutakapowaza…

  • Mtoto Ni Urithi Wako

    Kwa kitabu “1,000 YENYE NGUVU”Mwandishi : Jegi Bassu Mwandishi huyu kwa kitabu hiki kutoka sura ya kwanza hadi mwisho anaendelea kutupa masomo muhimu sana kuhusiana na urithi wa mali tutazoacha duniani wakati ambapo tutaaga hii dunia. Akitoa nukuu mbalimbali kutoka Baiblia takatifu anatufundisha waziwazi kwamba: 1.Urithi wetu kama wazazi nambari moja ni watoto. Kwa hivyo…

X