Home


  • Namba Zetu Za Malipo

    Namba za malipo ya vitabu:

    Namba za lipa

    TIGO PESA: 19016638 Jina ni SONGAMBELE CONSULTANTS

    M-PESA: 5564517 jina ni GODIUS GORDIAN RWEYONGEZA

    Namba za kawaida

    AIRTEL MONEY: 0684408755
    TIGO PESA: 0655 848 392
    M-PESA: 0745 848 395

    Kote jina ni GODIUS RWEYONGEZA

    NB: Kama namba ya malipo anatumiwa mtu ambaye yuko nje ya nchi. Iandikwe Kwa kuanza na +255

    Kwa hiyo namba zinazotumwa nje ya nchi zitakuwa
    Airtel money: +255 684 408 755
    TIGO PESA: +255 655 848 392
    M-PESA: +255 745 848 395

    KOTE Jina ni GODIUS RWEYONGEZA

    Kama malipo yatakuwa yanafanyika kupitia benki.

    Yafanyie kupitia

    1. CRDB BANK: 0150770710200
    2. NMB BANK: 22110047274

    Kote jina ni GODIUS GORDIAN RWEYONGEZA

  • Wasiliana na Godius Rweyongeza Sasa

    Habari yafuatayo ni mawasiliano Unayoweza kutumia kumpata GODIUS RWEYONGEZA

    Simu: +255 (0) 684408755

    Whatsap: +255 (0) 755848391

    Email: songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu vyake wasiliana Moja kwa Moja na +255 (0) 684408755 (more…)

  • Thamani ya muda

     

    Muda ni kitu chenye thamani kubwa sana hapa dunini. Ni watu wachache sana ambao wanajua thamani ya muda na hivyo ni wachache pia ambao wanapata kuutumia vizuri muda wao.

    Leo nianze kwa kukambia kwamba kitu chochote kile unachotaka kufanikisha hapa duniani utakifanikisha ndani ya muda huu huu ulionao.

    Hivyo, kitu kikubwa sana ambacho wew eunahitaji ni kuutumia vyema muda wako. 

    Badala tu ya kuutumia hovyohovyo muda wako, unapaswa kuutumia vyema muda wako kwa sababu huu muda unaweza kukusaidia wewe kupata chochote kile unachotaka kwenye hii dunia.

    Kwa kutumia muda huuhuu ulio nao kila siku, unaweza kazi zako zote ulizonazo.

    Kwa kutumia muda huuhuu unaweza kufanyia kazi malengo yako bila ya kurudi nyuma.

    Mbali na thamani ya muda hiyo yote ambayo tumeona, lakini utamkuta mtu anakwambia kwamba nipo hapa napoteza muda tu.

    Utakuta mtu anakaribisha watu wanakuja kwake kupiga tu stori, muda ambao alipaswa kuwa anafanya kazi.

    Rafiki yangu, muda wako ni mali. Utumie vyema muda wako na kamwe usikubali kwa namna yoyote ile kupoteza muda wako wa thamani. Muda wako ni mali na utumie vyema. Namna bora ya kutumia muda wako ni kuuwekeza.

    Kama ulikuwa bado hujaweza kujipatia nakala ya kitabu cha JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO, muda wako wa kupata nakala ya kitabu hiki ni sasa. Kimeeleza kwa undani THAMANI YA MUDA na mpaka kinakuonesha namna unavyoweza kufahamu thamani ya saa lako moja.

    Hii ni hatua muhimu sana kwako wewe unayependa kupiga hatua kubwa kwenye maisha yako ya kila siku. Kinapatikana kwa 30,000/- tu. Utakipata katika mifumo mitatu, nakala ngumu,nakala laini, na nakala ya sauti. Vvyote hivi utavipata kwa 30,000/- tu

    Lipia sasa kwa namba ya simu 0684408755 ili uweze kupata nakala ya kitabu chako leo. Kila la kheri.

    SOMA ZAIDI: Huku Ndipo Unapaswa Kuwekeza Asilimia Kubwa Ya Muda Wako

    Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu.

    Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangie ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia kiasi kidogo tu.

    Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya mtandao.

    SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea.

    Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

    Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

    Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

    Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana naye kwa +255 684 408 755 na orodha ya vitabu vyenyewe unaweza kuiona HAPA. Chagua unachopenda, kisha twanga,  +255 684 408 755

    Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

    For Consultation only: +255 755 848 391  au godiusrweyongeza1@gmail.com

  • Biashara Ni Zaidi Ya Mtaji

    Kuna mambo 55 ya kuzingatia kabla ya kuanzisha biashara, mambo haya yote yameelezwa kwenye hiki kitabu. Kupata nakala yako, wasiliana na +255 684 408 755
    Hakikisha unajipatia nakala ya kitabu hiki. Tumia namba ya simu +255 684 408 755

    Biashara ni zaidi ya mtaji

    Vijana Wengi wamekuwa wanafikiri kuwa Ili kuanzisha biashara na kukuza biashara mtaji ndiyo kitu pekee kinachohitakika, kitu hiki kimepelekea vijana Wengi wanaoanzisha biashara  baadaye kufeli na biashara zao Kwa sababu TU ya kukosa ujuzi Muhimu sana hasa kwenye eneo la biashara.

    Ukweli ni kuwa biashara ni zaidi ya mtaji, unahitaji zaidi ya mtaji kuanzisha biashara yako.

     Hapa kuna vitu 21 muhimu unavyohitaji ili kufanikisha biashara yako:

     

    1. Wazo la Biashara: Lazima uwe na wazo bora na la kipekee ambalo litatatua tatizo au kukidhi hitaji la soko.

     

    2. Mpango wa Biashara: Hati inayojumuisha maelezo ya kina kuhusu biashara yako, malengo, mikakati, na jinsi ya kufikia malengo hayo.

     

    3. Utafiti wa Soko: Kujua wateja wako ni nani, mahitaji yao ni yapi, na jinsi ya kuwafikia kwa ufanisi.

     

    4. Maarifa ya Biashara: Ujuzi wa msingi wa uendeshaji wa biashara kama vile usimamizi wa fedha, uhasibu, na uuzaji.

    5. Ujuzi wa Kusimamia Fedha: Uwezo wa kupanga, kufuatilia, na kudhibiti matumizi ya fedha za biashara yako.

    6. Mtandao wa Mawasiliano: Mahusiano na watu wenye ushawishi na wenzi wa kibiashara wanaoweza kusaidia kukuza biashara yako.

    7. Mbinu za Masoko: Mikakati ya kuvutia na kuhifadhi wateja, kama vile matumizi ya mitandao ya kijamii, matangazo, na promosheni.

    8. Ubunifu na Uboreshaji: Uwezo wa kuja na mawazo mapya na kuboresha bidhaa au huduma zako ili kukidhi mabadiliko ya soko.

    9. Uelewa wa Kisheria: Kujua sheria na kanuni zinazohusu biashara yako, ikiwa ni pamoja na leseni na vibali muhimu.

     

    10. Huduma kwa Wateja: Kuweza kutoa huduma bora kwa wateja ili kujenga uaminifu na kurudia biashara.

     

    11. Ubora wa Bidhaa/Huduma: Kuhakikisha bidhaa au huduma zako zina ubora wa juu na zinakidhi matarajio ya wateja.

     

    12. Teknolojia: Matumizi ya teknolojia katika uendeshaji wa biashara, kama vile mifumo ya malipo, uhasibu, na usimamizi wa wateja.

    13. Timu Imara: Kuwa na wafanyakazi wenye ujuzi na kujituma ambao wanashiriki maono yako ya biashara.

    14. Uwezo wa Kusimamia Muda: Kujua jinsi ya kugawa muda wako kwa shughuli muhimu za biashara.

    15. Motisha na Uvumilivu: Kuwa na ari na uvumilivu wa kuendeleza biashara yako hata wakati mambo yanapokuwa magumu.

    16. Nidhamu ya Kibinafsi: Uwezo wa kujipanga na kujisimamia binafsi ili kufikia malengo ya biashara.

    17. Mtaji wa Binadamu: Uwekezaji katika wafanyakazi wako kwa kutoa mafunzo na maendeleo ya kitaaluma.

    18. Mikakati ya Kukuza Biashara: Njia za kupanua biashara yako kama vile ufunguzi wa matawi mapya au kuongeza laini za bidhaa. 19. Mitandao ya Kijamii: Kutumia mitandao ya kijamii kwa ufanisi kama chombo cha masoko na mawasiliano na wateja.

    20. Usimamizi wa Hatari: Kuwa na mikakati ya kukabiliana na changamoto na hatari zinazoweza kujitokeza katika biashara.

    21. Tathmini na Ufuatiliaji: Kuwa na mfumo wa kufuatilia maendeleo na kupima mafanikio ya biashara yako ili kufanya maboresho pale inapohitajika.

    Kwa kuzingatia mambo haya 21, utakuwa na nafasi kubwa zaidi ya kufanikisha biashara yako na kuijenga kwa uendelevu.

    utajiondoa kwenye wimbi la watu ambao huwa wanaanzisha biashara na zinakufa kila mwaka au muda mfupi tu baada ya kuanzishwa. 

    Zingatia hayo ili uweze kufanya biashara ambayo itakuwa yenye manufaa kwako.

     

    Hakikishapia umepata nakala ya kitabu cha MAMBO 55 YA KUZINGATIA KABLA YA KUANZISHA BIASHARA, ni moja ya kitabu bora sana ambacho unahitaji kwa ajili ya kufanya makubwa kwenye eneo hili.

    Kupata nakala hakikikisha unawasiliana na 0684 408 755

     

  • Muda Ni Maisha

    Nakumbuka kipindi Nipo shule, ( High level) kuna mwalimu nilikuwa namchukia sana kwa sababu alikuwa makini na MUDA, Asubuhi MUDA wa Mchaka Mchaka ilikuwa ni lazima ukimbie, na muda wa darasani ni lazima uwepo na asikuone nje unazurura, Hali hii ilimpelekea achukiwe na wanafunzi wengi ikiwemo mimi, lakini mwisho wa yote alikuwa ametusaidia pakubwa sana kufikia MALENGO yetu kiafya, kinidhamu na kitaaluma kwa kuzingatia muda.

    MUDA ni kipindi au kipimo cha wakati ambacho hutumika kufanya shughuli au matukio mbalimbali.

    👉Ni rasilimali muhimu ambayo haiwezi kurudishwa nyuma baada ya kutumiwa. Muda unaweza kugawanywa katika vipindi vya sekunde, dakika, saa, siku, miezi, au hata miaka. Kwa kifupi, muda ni kipengele muhimu katika maisha yetu ambacho kinaathiri jinsi tunavyoishi na kufanya maamuzi.
    JE, NAWEZAJE KUSIMAMIA MUDA WANGU VIZURI?
    Leo hii, si ajabu kumkuta mtu amekaa sehemu ukimuuliza unafanya nini? anakwambia Nipo tu napoteza muda hapa. Lakini wakati huohuo, kuna mtu mwingine hata ukimpigia simu anakwambia nitafute badae niko bize sana.

    Hapa nataka tuone namna Gani tunaweza kusimamia muda wetu vizuri.
    👉 Kupanga Ratiba, haijalishi upo Katika hali gani, Kupanga Ratiba ni kitu Cha muhimu sana, Inashangaza kumuona mtu leo hii anaamka na hajui anakwenda kufanya nini kazini au hata mahali popote. Mtu huyu Huwa anafanya vitu bila mipango, atafanya hiko ataacha, atafanya kile ataacha, Musa utaisha na hajakamilisha hata kitu cha maana.

    👉Kutambua vipaumbele, Vile vitu vya muhimu zaidi vinapaswa kupewa kipaumbele kisha vingine vinafuata. Hali hii inapelekea kutunza mudavizuri. Mfano, upo kazini, ghafla Kuna mgeni amekuja na haikuwa na miadi nae, hautapata dhambi ukimwambia akusubiri umalizie shughuli zako kisha uonane nae.

    👉Kujifunza kusema hapana. Sio kila jambo ulichukue, mengine yanakupotezea muda hivyo tujifunze kusema hapana kwa Yale mambo ambayo hayana umuhimu.

    👉Mapumziko. Hakikisha unajipa Mapumziko ili kupumzisha mwili. Usifanye Kazi muda wote, akili itachoka utashindwa kuendelea Kufanya Kazi nyingine kwa wakati sahihi.

    Makala hii imeandikwa nami,
    Latifa Omary Sharifu
    0718402449
    Morogoro_ Tanzania

  • Hii ndiyo Aina Ya Watu Ambao Siwapendi

    Rafiki yangu wa ukweli.hongera sana kwa kazi na kwa siku hii ya kipekee. leo ni siku nyingine bora sana ambapo wewe unatakiwa kwenye kufanya kazi na kuzipambania ndoto zako kubwa pamoja na malengo yako makubwa. Ukweli ni kuwa, vile unaishi kwenye hii dunia, hauna kitu chochote kile ambacho kinapaswa kukukwamisha wewe kufanyia kazi malengo na ndoto zako kubwa. Mara zote unapaswa kuwa unaendelea kupambania malengo na ndoto zako kubwa bila ya kurudi nyuma.

    Lakini pia unapaswa kuwa mtu mwenye fikra za kuona na kufikiri mbali.

    Binafsi siwapendi sana watu ambao hawafikiri mbali. 

    Napenda nijihusishe na watu wenye fikra za kufikiri na kuona mbali. Watu ambao wanaona kwamba wanaweza kufanyia kazi jambo fulani na wakalifanikisha, watu ambao wanafikiri kwa ukubwa na wanachukua hatua kufanyia kazi kile ambacho wanafikiri kwa ukubwa.

    Ukweli ni kuwa hawa ndiyo napenda wanizunguke na hawa ndiyo napenda wawe marafiki zangu.

    Ukiwa karibu na watu wa namna hii fikra zao, mitazamo yao na namna wanavyochukua hatua ni tofauti kabisa na watu wa kawaida.

    Hawa wanaona uwezekano hata sehemu ambapo wewe unaona kwamba hakuna uwekezano. Hawa wanachukua hatua kubwa hata sehemu ambapo wengine wanaogopa kuchukua hatua.

    Ushauri wangu kwako ni mmoja tu. Jihusishe na watu wenye fikra kubwa, watu ambao wanaona mbali na watu ambao wanafikiri kwa ukubwa. Na wala siyo watu ambao wanarudi nyuma au kufikiri kwa udogo.

    Mara zote fikiri kwa ukubwa.

    Mara zote zungukwa na watu wanaofikiri kwa ukubwa.

    Ni haki yako kufikiri kwa ukuba

    na wala hakukugharimu kitu chochote kile.

    Nina kitabu kizuri sana ambacho kinaitwa NGUVU YA KUFIKIRI KWA UKUBWA.

    Kama ulikuwa bado hujajipatia nakala ya kitabu hiki cha NGUVU YA KUFIKIRI KWA UKUBWA basi huu ndiyo muda wa wewe kufikiri kwa ukubwa rafiki yangu.

    Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu.

    Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangie ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia kiasi kidogo tu.

    Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya mtandao.

    SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea.

    Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

    Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

    Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

    Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana naye kwa +255 684 408 755 na orodha ya vitabu vyenyewe unaweza kuiona HAPA. Chagua unachopenda, kisha twanga,  +255 684 408 755

    Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

    For Consultation only: +255 755 848 391  au godiusrweyongeza1@gmail.com

  • Kitabu: Jinsi ya Kufikia Ndoto Zako

    “Hapa kuna kitabu ambacho Nina uhakika kitaleta nuru kwenye safari yako ya kufikia ndoto zako – ‘Jinsi ya Kufikia Ndoto Zako’. Kitabu hiki kinaelekeza hatua kwa hatua jinsi ya kutambua malengo yako, kujipanga kwa njia ya vitendo, na kushinda vikwazo vinavyokuzuia kufikia mafanikio makubwa. Je, ungetaka kujua zaidi kuhusu jinsi kitabu hiki kinavyoweza kusaidia kuleta mabadiliko chanya maishani mwako?”

    Pata nakala. Nakala ni 25,000/- TU. Yupo Morogoro mjini Sabasaba Ila utapata nakala popote ulipo duniani Tumia namba ya simu, 0684408755 kuwasiliana nami sasa👍

     Soma Zaidi: JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO

  • Ninachokijua Mimi Kuhusu Vitabu Ni Hiki

    Minachojua Mimi, vitabu Huwa rafiki mzuri hasa wakati wa changamoto.
    Havikuachi hata kidogo, hata kama wengine watakuacha.

    Vibebe vikubebe

  • KITABU: YOU ARE NOT SICK, YOUR ARE THIRSTY: DON’T TREAT THIRST WITH MEDICATIONS MWANDISHI: DR F. BATMANGHELIDI

    KITABU: YOU ARE NOT SICK, YOUR ARE THIRSTY: DON’T TREAT THIRST WITH MEDICATIONS
    MWANDISHI: DR F. BATMANGHELIDI

    Je, unayajua magonjwa 10 yanayotibika kwa kunywa maji pekee?
    Suluhisho la kupanda kwa gharama za afya yako binafsi


    Utangulizi

    Maji huwa hutumika mwilini mwa kila binadamu kukidhi mifumo yote ya mwili.
    Ata mkuu wa kanisa katoliki duniani, baba mtakatifu (POPE) asilimia sitini ya mwili wake ni maji


    Kunapokuwa na maji ya kutosha mwilini, mtiliriko wake husababisha mgawanyo na usafirisaji wa homoni( hormones), kemikali za usafirisaji( chemical messengers) na vyakula kutoka upande moja hadi upande mwingine mwilini.


    Kwa kawaida za binadumu, huhisi kiu( failure of thirst sensation) tangu tunapokua na miaka michache ya uzima wetu( early adulthood) na huwa hupata ukosefu wa maji mwilini kadiri miaka inapozidi na kukauka sana kimwili bila kujua.


    Aidha, watu huwa na mchanganyiko wa kiu cha maji na kupenda kutumia vinywaji mbadala yake kama, chai, kahawa, na vinywaji vya pombe.
    Utafiti unaonyesha wazi kuwa, kinywani kilichokauwuka( dry mouth) ni dalili ya mwisho ya ukosefu wa mwaji mwilini( dehydration) na hasa hasa kwa wazee .


    Dalili zinazotokeza na kuziona kama ugonjwa kwa sababu ya ukosefu wa maji mwilini ni hizi zifautazo:


    1. Morning sickness in early pregnancy: wakinamama huwa wanapokuwa wazito, wanatapika kila mara hasa majiri ya asubuhi

    2. Heart burn: Kuungua katikati ya kifua kama pilipili

    3. Rheumatoid arthritis: maumivu kwenye viungo vya mikono na miguu na sehemu zingine

    4. Anginal pains: maumivu kifuani upande wa sehemu za moyo au upande wa kushoto

    5. Migraine headaches: maumivu kichani seheme za juu ya masikio

    6. Maumivu mgongoni

    7. Maumivu miguni unapotembea

    8. Maumivu tumboni

    9. Kutokuwa na faraha au uzuni kubwa moyoni ( depression)

    10. Allergies ? mizio ya mwili

    Huweza kutufatilia na kuyajua mengi kuhusu afya yako:

    Telephone: +256772367793/+256708470471

    Tovuti : WARUGABA MEDICAL CENTRE

    Barua pepe : amosbusingye05@gmail.com

    Eneo : https://g.co/kgs/gncGSxj

  • KITABU: Jinsi Ya Kuongeza Thamani Yako

    kITABU CHA JINSI YA K UONGEZA THAMANI YAKO
    Karibu upate kitabu hiki cha kipekee sana. Gharama yake ni 30,000 tu

    Jinsi ya Kuongeza Thamani Yako’, ni mwongozo kamili wa kuboresha maisha yako kwa kujenga ujuzi, kujiamini, na kufikia malengo yako kwa ufanisi zaidi. Ni chanzo cha mafunzo yanayotia moyo na yanayoweza kuleta mabadiliko makubwa maishani mwako. Je, ungependa kujipa fursa ya kufaidika na maarifa haya?”

    Pata nakala Kwa 25,000/- TU.
    Lipia Kwa 06844038755 tutakutumia nakala popote ulipo ndani na NJE ya nchi ya Tanzania

    Kumbuka namba ya malipo ni 0684408755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA

  • KITABU: Mwongozo wa Wapambanaji

    “Nina kitabu kizuri sana kinachoitwa ‘Mwongozo wa Wapambanaji’ ambacho naamini kitakusaidia sana kuboresha uelewa wako kuhusu mbinu za kupambana na changamoto mbalimbali maishani.

    Ni chanzo kizuri cha maarifa na ujuzi utakaokuwezesha kufanikiwa katika kila jambo unalolenga kufanya. Je, ungependa kukipata?”

    Tuwasiliane Kwa Kwa 0684408755 Sasa.

  • Ninahitaji Watu Watano, Nami Nitawasaidia Kuandika Na Kukamilisha Kitabu Ndani Ya Miezi Mitatu Mpaka Sita

    Ninahitaji Watu Watano, Nami Nitawasaidia Kuandika Na Kukamilisha Kitabu Ndani Ya Miezi Mitatu Mpaka Sita

    Rafiki yangu mpendwa habari ya leo.

    Kwa siku sasa nimekuwa nikiwasaidia watu mbalimbali kuandika vitabu vyao. Watu ambao tokea mwanzo walikuwa hawafikirii kama wanaweza kuandika vitabu vyao, nimewasaidia kuweza kuandika na kukamilisha vitabu vyao.

    Katika uandishi wa vitabu huwa nafanya watu katika ngazi kubwa tatu.

    Ngazi ya kwanza, nakupa mwongozo, unapambana unaandika mwenyewe kitabu.

    Ngazi ya pili, tunaandika kwa pamoja. Unaandika, unaleta kazi yako kwangu, naipitia, nakupa mrejesho wa kitalaam.  Kisha unaendelea kuboresha kazi, mpaka pale tunapokuwa tumeweza kupata kazi ambayo ni bora kabisa. Mwisho kazi inakuwa ya kwako.

    Na kwenye ngazi ya tatu, nimekuwa ni mimi kukuandikia kitabu chako moja kwa moja. Na hapa zaidi nimekuwa nawasaidia wale ambao wanaandika historia za maisha yao au wapendwa wao (autobiography)

    Wengi niliowasiaidia kuandika historia za maisha yao au wapendwa wao,  wao wa karibu wamefurahia sana hizi huduma.

    Kuna wengine wamekuwa wanapenda kupata hizi huduma, ila changamoto yao kubwa wamekuwa wakiniambia kuwa gharama ni kubwa.

    Sasa leo nina habari njema kwa ajili yako.

    Naam, nina habari njema mno.

    Ili unielewe vizuri iko hivi.

    Kwa wale ambao nimekuwa nawapa mwongozo na wanaandika wenyewe mwanzo mpaka mwisho, gharama yake imekuwa ni shilingi 50,000/-

    Kwa wale ambao wamekuwa wanashiriki program ya uandishi kwenye ngazi ya pili, yaani, kuandika pamoja nami, basi wamekuwa wanalipia kati 250, 000 mpaka milioni moja kulingana na aina ya kitabu husika.

    Na kwa waleo ambao nimekuwa nawaandikia, wamekuwa wanalipia milioni tano (5,000,000)! Ambapo nimekuwa nawaandikia kitabu mwanzo mpaka mwisho.

    Sasa leo nina habari njema kwa ajili yako wewe.

    Kama ungependa kuandika kitabu chako, USHINDWE WEWE MWENYEWE TU! Ndio, ushindwe mwenyewe.

    Kumbuka hizi gharama utakazoona hapa ni kwa ofay a watu watano tu. Gharama zitakuwa hivi. SOMA VIZURI MAELEKEZO NA UCHUKUE HATUA SAHIHI.

    Kama utataka nikupe mwongozo na uandike wenyewe mwanzo mpaka mwisho, gharama yake itakuwa 30,000/-

    Kama utashiriki kwenye hii program ya uandishi kwenye ngazi ya pili, yaani, kuandika pamoja nami, basi Utalipia shilingi 150,000/- na utaruhusiwa kulipia 50,000/- kila mwezi kwa kipindi cha miezi mitatu ambacho tutakuwa tunafanya kazi pamoja. Kama kazi itazidi miezi mitatu, utaendelea kulipia 50,000 kila mwezi mpaka tutakapomaliza.

    Kama utataka nikuandikie kitabu mwenyewe, utalipia milioni moja na nusu. Utalipia kiwango cha 250,000 kila mwezi kwa kipindi cha miezi sita.

    Kwa nafasi za kuandikiwa kabisa sasa hivi nina nafasi mbili tu KWA SASA. Maana siwezi kwenda na watu wengi kwa wakati mmoja.

    Kama utachangamka sasa. Tutaanza kazi.

    NB: hii haitahusisha gharama za usafiri na malazi pale nitakapohitajika kusafiri na kufika eneo walipo wahusika ambao nitafanya nao mahojiano.

    Kama upo tayari, nicheki, sasa tufanye jambo.

    Tumia namba ya simu 0755848391 au wasiliana na msaidizi wangu kwa 0655 848 392

    Email: songambele.smb@gmail.com

    SOMA ZAIDI: KAMA UNAFIKIRI KILA KITU KILISHAANDIKWA, FIKIRI TENA (SABABU 18 Kwa Nini Tunaandika Vitabu na Tutaendelea Kuandika Vitabu, Na Kwa Nini Wewe Unapaswa Kuandika Cha Kwako)

X