Home


  • Namba Zetu Za Malipo

    Namba za malipo ya vitabu:

    Namba za lipa

    TIGO PESA: 19016638 Jina ni SONGAMBELE CONSULTANTS

    M-PESA: 5564517 jina ni GODIUS GORDIAN RWEYONGEZA

    Namba za kawaida

    AIRTEL MONEY: 0684408755
    TIGO PESA: 0655 848 392
    M-PESA: 0745 848 395

    Kote jina ni GODIUS RWEYONGEZA

    NB: Kama namba ya malipo anatumiwa mtu ambaye yuko nje ya nchi. Iandikwe Kwa kuanza na +255

    Kwa hiyo namba zinazotumwa nje ya nchi zitakuwa
    Airtel money: +255 684 408 755
    TIGO PESA: +255 655 848 392
    M-PESA: +255 745 848 395

    KOTE Jina ni GODIUS RWEYONGEZA

    Kama malipo yatakuwa yanafanyika kupitia benki.

    Yafanyie kupitia

    1. CRDB BANK: 0150770710200
    2. NMB BANK: 22110047274

    Kote jina ni GODIUS GORDIAN RWEYONGEZA

  • Wasiliana na Godius Rweyongeza Sasa

    Habari yafuatayo ni mawasiliano Unayoweza kutumia kumpata GODIUS RWEYONGEZA

    Simu: +255 (0) 684408755

    Whatsap: +255 (0) 755848391

    Email: songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu vyake wasiliana Moja kwa Moja na +255 (0) 684408755 (more…)

  • Kitu Muhimu Ambacho Kila mwandishi anapaswa kuwa anafanya

    moja ya kazi muhimu sana ambayo kama mwandishi unapaswa kuhakikisha kwamba umeifanya ni kuandika.

    hauwi mwandishi kwa kujiita tu mwandishi, bali unakuwa mwandishi kwa kuandika. Mwandishi anaandika.

    Hivyo wito wangu mkubwa kwako wewe mwandishi ni kwamba ukae chini na uandike kitabu chako au makala ambayo unafikiria kuandika bila ya kurudi nyuma.

    Naomba unisikilize vizuri.
    Kwa kawaida
    Daktari anatibu
    Mwalimu anafundisha
    Mwandishi pia anapaswa kuandika

    kaa chini na uandike kitabu chako kuanzia leo.

    Kupata mwongozo wenye hatua kwa hatua kuhusu uandishi wa vitabu, tuwasiliane kwa namba ya simu 0755848391

    tuwasiliane sasa uweze kupata mwongozo huu

  • Mambo 16 unayopaswa kuanza kuyafanyia kazi kuanzia Leo hii

    1. Weka akili Yako pale unapotaka kuwa. Fanya kile unachojiita.
    Mimi ni mwalimu, muda mwingi fundisha. Mwekezaji, wekeza.
    Mfanyabiashara,

    2. Ambatana na watu ambao ungependa kujifunza kwao. Kama Hawa watu hawako karibu Yako, Toka eneo Hilo na uende sehemu nyingine.

    3. Kuwa eneo ambalo linasapoti juhudi zako, kwa rasilimali, mamenta n.k.

    4. Kujitoa. Unatumia kila fursa unayoipata ili kufanikiwa. Hiki ndiyo kitu pekee unachopaswa kuwa unafikiria.

    5. Fanya hata kama mambo ni magumu. Wengi hufanya mambo yakiwa rahisi, ila yakiwa magumu hukata tamaa.

    6. Usihame kwenye kufanya kazi na zako. Chagua kitu kimoja Cha kupambana nacho na kipambanie kwelikweli.

    7. Mambo yakiwa rahisi Fanya, mambo yakiwa magumu Fanya.

    8. Unapokutana na magumu, Dunia inakuwa inakupima. Usikate tamaa.

    9. Jua unachotakiwa kufanya, kifanye kwa nguvu zako zote.

    10. Haijalishi jambo linachukua muda mwingi kiasi Gani. Lifanye.

    10. Una vitu vingi vya kufanya. Kama ni mwandishi una maktaba nzima ndani Yako.

    11. Uwe na eneo la kufanyia kazi zako. Na eneo hili liwe kama madhabahu Yako.

    12. Usihangaike na kuingia mtandaoni muda ambao unapaswa kuwa kazini.

    13. Matamanio MAKUBWA, na yapambanie muda wote. Tuwe na lengo mara mbili.

    14. Usiwe na mpango mbadala.

    15. Usiahirishe mambo. Hakikisha ulichopanga kufanya, unakifanya kweli.

    16. Kile unachokipambania,

    17. Wengi wanaoajiriwa hawataki kazi, japo mwanzoni wanaonekana wanapambania kazi. Wakishapata kazi, wanazembea. Hawazingatii mambo n.k.

    Imeandikwa na Godius Rweyongeza

    Kupata vitabu vya mafanikio. Tumia namna ya simu 0655848392

  • Njia rahisi sana ya kuandika kitabu ndani ya mwaka mmoja?

    Tupige hesabu kidogo

    Ukiandika maneno 100 Kila siku, Kwa mwaka ni maneno 36,500. Hiki ni kitabu tosha.

    Unadhani maneno 100 ni mengi. Ujumbe wa leo una maneno 48 TU!

    Unadhani unashindwa maneno 100 Kila siku.
    Fikiria sms unazotuma
    Comment unazoweka Whatsapp,
    Facebook n.k

    Bado unadhani huwezi?

    Njoo tukusaidie kuandika na tukupe mwongozo wa kuandika Kitabu Chako.
    Tuwasiliane Kwa 0755848391

    Karibu

  • Raha ya kuandika Kitabu ni pale unapokimaliza. Unajua Kwa Nini?

    Kuanza ni kazi kubwa. Wengi Huwa hawaanzi. 

    Ila kuendelea ulichoanza ni kazi kubwa zaidi, Wengi ambao hujitahidi kuanza, huishia njiani.

    Usiwe mmoja wao linapokuja suala la kuandika Kitabu. 

    Anza kuandika Kitabu na kimalize.

    Karibu sana SONGAMBELE CONSULTANTS

    ✅ Tunakuandikia kitabu chako (ghostwriting)  

    ✅ Tunatoa mwongozo wa kuandika kitabu chako  

    ✅ Kuhariri vitabu  

    ✅ Tunatoa usimamizi wa karibu kwenye uandishi wa kitabu chako  

    ✅ Tuna vitabu bora vyenye hatua muhimu za kufuata katika uandishi  

    Mawasiliano:

    Simu/WhatsApp: +255 684 408 755  au +255 655 848 392 au +255 678 848 396

    Email: jifunzeuandishi@gmail.com  

    Eneo: Sabasaba, Tenki Bovu

  • Kama unaandika kitabu chako Kwa ajili ya faida za kiuchumi TU. Nina Habari Njema Na Mbaya Kwa ajili kwako

    Siku za nyuma nimewahi kuandika nakala inayoeleza sababu 18 Kwa Nini tunaandika vitabu na Kwa Nini wewe unapaswa kuandika Cha kwako.

    Unaweza kupata na KUSOMA makala hii hapa

    Au unaweza kuisikiliza pia Kwa sauti hapa

    Sasa mbali na hizo sababu hapo juu. Kuna ndugu anataka kujua sababu za kiuchumi TU ambazo ndizo ziwe chachu ya kumsukuma kuandika.

    Mara Kwa mara nimekuwa nikiwaambia watu kuwa kama sababu pekee ya wewe kuandika Kitabu Chako ni PESA. Bora usiandike kitabu chako

    Kwa sababu utakata Tamaa. Na hiki kitu kimewatokea waandishi Wengi sana.

    Unakuta mtu anaandika kitabu, lakini kuuza hata nakala 50 TU ni changamoto.

    Kwa nini
    Naomba unisikilize vizuri Sasa
    Kwa sababu usomaji wa vitabu nchini Tanzania Bado upo chini ukilinganisha na nchi nyingine na hasa nchi za Ulaya. Kwa hiyo, kuuza vitabu kunahitaji usiwe TU mtu ambaye anataka PESA pekee Bali mtu ambaye upo tayari kuona watu wanapata mabadiliko kupitia maandishi Yako.

    Kutakuhitaji kujitoa.
    Kutoa elimu Kwa watu.

    Hivyo Unapoandika Kitabu unapaswa kuwa na msukumo zaidi ya kutengeneza Fedha. Na hasa msukumo wa kuwasaidia watu waweze kuboresha maisha Yao.

    Hili kitakupa NGUVU zaidi na hata ikitokea mauzo ya vitabu hayaendi vizuri Bado utakuwa una msukumo mkubwa Kwa sababu unajua ujumbe wako ulio kitabu ni, ukileta matokeo chanya Kwa mtu mmoja, unakuwa umeweza kufanya mchango mkubwa Kwa jamii.

    Ni Nini msukumo wako wa kuandika Kitabu?

    Karibu SONGAMBELE CONSULTANTS

    ✅ Tunakuandikia kitabu chako (ghostwriting) 
    ✅ Tunatoa mwongozo wa kuandika kitabu chako 
    ✅ Kuhariri vitabu 
    ✅ Tunatoa usimamizi wa karibu kwenye uandishi wa kitabu chako 
    ✅ Tuna vitabu bora vyenye hatua muhimu za kufuata katika uandishi 
    ✅Na hata kuchapa kitabu chako

    Mawasiliano:
    Simu/WhatsApp: +255755848391
    Email: jifunzeuandishi@gmail.com 

    Eneo: Morogoro mjini; Mafiga, Tenki Bovu

    Telegram: https://t.me/jifunzeuandishi

  • Kama una changamoto ya kuandika Kitabu Chako Na Kufuta, Kuna Kitu Hiki Hapa Unapaswa KUZINGATIA

    Unaandika unafuta Nini?

    Andika kwanza kitabu chako chote bila kufuta.Utafuta wakati unahariri.

    Kupata msaada wa kuandikiwa

    Karibu SONGAMBELE CONSULTANTS

    ✅ Tunakuandikia kitabu chako (ghostwriting) 

    ✅ Tunatoa mwongozo wa kuandika kitabu chako 

    ✅ Kuhariri vitabu 

    ✅ Tunatoa usimamizi wa karibu kwenye uandishi wa kitabu chako 

    ✅ Tuna vitabu bora vyenye hatua muhimu za kufuata katika uandishi 

    Mawasiliano:Simu/WhatsApp: +255 684 408 755  au +255 655 848 392 au +255 678 848 396Email: jifunzeuandishi@gmail.com 

    Eneo: Mafiga, Tenki Bovu

  • Kama Unataka Kuandika Kitabu Njoo Nikusaidie Kufanikisha Haya Haraka

    Wewe niletee kitabu chako TU, nami nitakusaidia

    1. Aidha kukiandika
    2. Kukupa mwongozo wa namna ya kukiandika vizuri na Kwa weredi.
    3. Kukihariri
    4. Kukichapa n.k

    Kwa masuala yote yanayohusiana na uandishi wa vitabu. Nicheki Sasa Kwa namba ya simu 0755848391 Ili tumalize mchezo.

  • Ushawahi kuona kitabu, halafu ukasema na Mimi ningeweza kuandika hicho?

    Ushawahi kuona kitabu, halafu ukasema na Mimi ningeweza kuandika hicho?

    Suala kubwa kubwa siyo kwamba na wewe unaweza kuandika hicho .

    Suala kubwa hapa ni kwamba unajua na HUANDIKI.

    Unadhani Kuna watu wangapi wanajua vitu na hawafanyi?

    Kuna wanaohua kuwa ulevi ni NOMA, ila Bado wanalewa TU. Wengine uvitajiq wa sigara ni mbaya Kwa afya, ila Bado wanavuta TU.

    Kumbe kujua kwamba unaweza kuandika Kitabu Fulani bila kukiandika, hakusaidii chochote.

    Kikubwa JUA-Fanyia kazi-SONGAMBELE

    Kama umenielewa umenielewa tu

  • Kiashiria Kwamba Umeshindwa Kuandika Kitabu Chako

    Rafiki yangu mpendwa, kitabu ambacho hujachukua hatua ya kukiandika kinakushinda.

    Ni mpaka pale utakapokuwa umeamua kuchukua HATUA na kuandika Kitabu Chako ndiyo kitabu chako kitafanikiwa

    HATUA za kuchukua Leo.
    1. Jua wazo lako ni lipi hasa kwenye kuandika Kitabu Chako.

    2. Anza kukiandika Kitabu Chako

    3. Jiunge na kundi letu la telegram hapa
    https://t.me/jifunzeuandishi

    Godius Rweyongeza
    0755 848 391

  • Kitabu kitakachokusaidia Kuandika Kitabu

    Siku ya Leo hakikisha unapata kitabu Cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU MBOBEVU.

    Kitakusaidia sana kuandika Kitabu Chako Kwa miezi sita hii ijayo. Safari ndiyo kwanza imeanza.
    Piga 0655 848 392 kupata nakala Yako.

X