-
KITABU: Watu 60 Walioshindwa Karibia Katika Kila Kitu Lakini Bado Wakashinda Kwa Kishindo
Rafiki yangu, nimezindua kitabu kipya. Kitabu hiki kinaitwa watu 60 walioshindwa karibia katika kila kitu walichofanya. Lakini hawa watu watu hawakukata tamaa, wala hawakurudi nyuma. Kila walipokutana na kikwazo, kwao huo haukuwa mwanzo wa kukata tamaa wala kurudi nyuma, bali ulikuwa ni mwanzo wa wao kuongeza juhudi zaidi, kupambana zaidi ili waweze kufikia malengo na ndoto zao kubwa.
Kitabu hiki kinakupa njia walizotumia hawa, ambazo na wewe unaweza kuzitumia pia kufanya makubwa.
Kitabu hiki pia kinakutia moyo. kwamba japo unakutana na vikwazo na changamoto nyingi kwenye maisha yako. Lakini usikate tamaa. Endelea kupambana, bila kukwamishwa na mtu au kitu chochote MPAKA KIELEWEKE.
Hakikisha unapata nakala yako mapema rafiki yangu. Kupata nakala yako ni rahisi sana. WASILIANA NAMI KWA 0684408755. utapokea nakala yako popote ulipo duniani.
-
Unataka Kwenda Mbinguni Kuishi Milele Ili Ufanye Nini? Una Uhakika Utautumia umilele wako Vizuri?
Unakuta mtu hajui ni kitu Gani anapaswa kufanya hapa duniani.
Lakini Bado anang’ang’ania kuwa anataka kwenda mbinguni. Huko mbinguni unataka kwenda kufanya Nini kama ya duniani yamekushinda.
Imeandikwa kuwa usipokuwa mwaminifu kwenye mambo madogo hutakuwa mwaminifu kwenye MAKUBWA. Kama usipokuwa mwaminifu kwa muda mchache wa hapa duniani. Unamwaminishaje Mungu kuwa mbinguni utautumia vyema ?
Kama tu maisha ya miaka michache ya hapa duniani yamekushinda, Sasa hayo maisha ya Kuishi MILELE utayaweza wewe? Huendi kuwa chokoraa huko mbinguni🤔
Ama kweli ukistaabu ya Musa, utayaona ya Filauni.
-
Je, kuna mtu amewahi kukwambia kuwa hapa umekosea?
Je, kuna mtu amewahi kukwambia kuwa hapa umekosea? Hili ni swali ambalo amewahi kuulizwa aliyekuwa rais wa marekani Donald Trump. Alijibu swali hili kwa kusema, kiuhalisia mke wangu huwa ananiambia kuwa nimekosea kila siku.
UKWELI NI KUWA kama kuna kitu cha tofauti ambacho unafanya kwenye maisha yako, ni lazima tu utaambiwa, tena utaambiwa mara nyingi kuwa unakosea. Hasa pale unapokwenda kinyume na matarajio ya wengi. Pale unapokwenda kinyume na mazoea ambayo wengi wanakuwa wamejijengea kwenye maisha yao. Rafiki yangu wa ukweli, jiondoe kwenye haya mazoea ambayo wengi wamejiwekea kwenye maisha yao.
Anza kufanya vitu vya tofauti. Chukua hatua za tofauti hata kama wengine wanaona umekosea.
Wingi wa watu kusema kwamba umekosea haulalishi kukosea kwako.
Ila utakosea pale utakapoacha kufuata ndoto zako kubwa na malengo yako makubwa ambayo umejiwekea kwenye maisha.
Hakikisha unapata nakala ya kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO. Kupata nakala ya kitabu hiki ni rahisi sana.
Wasiliana nami kwa namba ya simu 0684408755 sasa ili ujipatie nakala yak oleo.
-
Kitu Kimoja Ambacho Hakuna Mtu anaweza Kukifanya Kwa Niaba Yako
Rafiki yangu mpendwa salaam. Naamini UNAENDELE VYEMA kabia ana majukumu yako ya kila siku, siku ya leo nimekuja kwako kukwambia kitu kimoja tu rafiki yangu. Naam, kitu ambacho hakuna mtu anaweza kukifanya kwa niaba yako, Isipokuwa wewe tu ndiye unaweza kufanya hivi vitu.
Naomba kwanza ufahamu umuhimu wa kuwapa wengine majukumu. Siyo kila jukumu unaweza kulifanya mwenyewe. Baadhi ya majukumu unapaswa kuyaacha na kuwapa wengine wayafanye ili uweze kuweka nguvu zako na muda wakokwenye majukumu machache ambayo unyaweza zaidi.
Hata hivyo ifahamike kuwa siyo kila jukumu unaweza kuwapa wengine walifanye kwa niaba yako.
Moja ya jukumu ambalo huwezi kuwapa wengine walifanye kwa niaba yako ni JUKUMU LA KUONGEZA THAMANI YAKO. Thamani yako ni muhimu sana na hasa kwenye ulimwengu wa leo ambao unabadilika na unakabiriwa na mabadiliko mengi ambayo yanazidi kutokea.
Hivyo, jukumu la kuhakikisha thamani yako imeongezeka ni jukumu lako mwenyewe na wala hakuna mtu yeyote anayeweza kufanya hili jukumu kwa niaba yako.
Ndiyo maana nimeandika kitabu kizima cha JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO, nikiwa nakuonesha hatua kwa hatua ni kwa namna gani unaweza kuongeza thamani binafsi.
Kama ulikuwa hujui ni kwamba ukiongeza thamani yako, utaweza kukuza Uchumi wako binafsi pia.
Kwenye ulimwengu wa leo wanaolipwa zaidi ni wale ambao wamekuza thamani yao kwa viwango vikubwa.
Kumbe kwenye kazi au jukumu lolote ambalo unafanya. Hakikisha unapambania kitu kimoja muhimu sana rafiki yangu. Thamani yako.
Kupata nakala ya kitabu cha JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO, wasiliana nami kwa 0755848391 sasa.
Karibu sana
-
📢 Audiobook: JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO 📢
Unataka kuongeza thamani yako binafsi? Unatafuta njia ya kuwa bora zaidi kwenye kazi, biashara, na maisha kwa ujumla? Audiobook hii ni JIBU LAKO!
“JINSI YA KUONGEZA THAMANI YAKO” imejaa mbinu na siri za kuongeza thamani yako, kukuza uwezo wako, na kujenga heshima yako katika jamii na kazi yako.
Ndani yake utajifunza:
✅ Namna ya kujiweka katika nafasi ya mafanikio
✅ Mbinu za kujiimarisha kiujuzi na kimaarifa
✅ Jinsi ya kujenga mtandao wenye nguvu wa watu sahihi
✅ Hatua za kuongeza kipato chako kwa kuongeza thamani yako binafsiHii sio hadithi! Ni mwongozo wa hatua kwa hatua utakaokusaidia kujiboresha na kufikia viwango vya juu.
SIKILIZA SASA!
LIPIA 10,000/-, leo hii upate nakala Yako. Uko tayari kuwekeza katika thamani yako?📲 Lipia sasa kwa namba 0655848392 jina GODIUS RWEYONGEZA na utumiwe audiobook yako kupitia Telegram!
Umejipanga kuongeza thamani yako? Hii ndio fursa yako! Usikubali ipite hivi hivi.
-
Haya hapa ni mambo 101 unayoweza kuandika kwenye kitabu chako
Rafiki yangu mpendwa salaam. Hongera sana kwa siku hii nyingine ya leo. Leo ninataka nikwambie mambo 101 unayoweza kuandika kwenye kitabu chako.
Ni ukweli usiopingika kwamba watu wengi wangependa kuandika vitabu vyao kwa wakati na kwa haraka. Hata hivyo wengi hawajuia hata wapi pa kuanzia. Kwenye somo la leo tunaenda kuona mambo 101 unayoweza kuandika kwenye kitabu chako. Ni mambo yapi hayo, fuatilia hili somo hapa
-
Kwa nini ni muhimu kuhakikisha unautumia ulimwengu wa mtandao kwa manufaa
Kuna kipindi ilikuwa inaaminiwa kwamba mitandao ya kijamii na mtandao wa intaneti ni kwa ajili ya vijana, ila leo hii sote tunaona wazi kuwa mtandao wa intaneti siyo tu kwa ajili ya vijana. bali ni kwa ajili yetu sote. Kumbe mimi, wewe au mwingine yeyote anaweza kuutumia mtandao huu tena kwa manufaa makubwa.
Sote leo hii tunaona wazi kuwa tunaweza kuutumia mtandao wa intaneti kufanya mambo tofauti tofauti.
Kama bishara yako leo hii ipo mtandaoni, ni wazi kuwa kuna matokeo ambayo unapata. Kuna wateja ambao unawapata kutokana na biashara yako kuwa mtandaoni.
Na kama biashara yako haiko mtandaoni, maana yake kuna wateja unawakosa kwa sababu tu ya biashara yako kutokuwa mtandaoni.
Kitu kikubwa ambacho nataka nikusishi siku ya leo ni kwamba iweke biashara yako mtandaoni rafiki yangu. Tafuta namna ya kuhakikisha kwamba unaiweka biashara yako mtandaoni.
Njia rahisi ya kuweka biashara yako mtandaoni.
Ni moja kuhakikisha unakuwa blogu au tovuti.
Pili ni kuhakikisha unakuwa na kurasa kwenye mitandao yote muhimu ya kijamii
tatu ni kuhakikisha unakuwa unaweka maudhui ya mara kwa mara kwenye hii mitandao ya kijamii.
Nne ni kuhakikisha unakuwa na mawasiliano ambayo wateja au watakaopenda kufuatilia kazi zako zaidi wanaweza kukupata. kwa kuanzia mawasiliano haya yawe ni barua pepe, namba ya simu ya kawida na ya whatsap.
Tano USIPOE na WALA USIBOE.
Fanyia kazi kwanza haya kwa leo. Uwe na siku njema sana.
Nakutakia kila la kheri rafiki yangu wa ukweli.
Uwe na si
-
Nukuu 10 Za Kufikirisha
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
10.
-
Muda Sahihi ni…
- Muda mzuri wa kupanda mti ulikuwa Miaka 20 iliyopita, muda mwingine mzuri zaidi ni Sasa.
- Ukianza Leo utaanza kuona matokeo siku Moja kabla kuliko pale ambapo ungeanza kesho.ttps://youtu.be/SOiq8Ui_aWQ
Chukua hatua sasa
Ungependa kuanza kuandika kitabu chako👇🏿
-
Nukuu 13 Za Kufikirisha:
1:
2:
3:
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
11.
12.
13.