Home


  • Namba Zetu Za Malipo

    Namba za malipo ya vitabu:

    Namba za lipa

    TIGO PESA: 19016638 Jina ni SONGAMBELE CONSULTANTS

    M-PESA: 5564517 jina ni GODIUS GORDIAN RWEYONGEZA

    Namba za kawaida

    AIRTEL MONEY: 0684408755
    TIGO PESA: 0655 848 392
    M-PESA: 0745 848 395

    Kote jina ni GODIUS RWEYONGEZA

    NB: Kama namba ya malipo anatumiwa mtu ambaye yuko nje ya nchi. Iandikwe Kwa kuanza na +255

    Kwa hiyo namba zinazotumwa nje ya nchi zitakuwa
    Airtel money: +255 684 408 755
    TIGO PESA: +255 655 848 392
    M-PESA: +255 745 848 395

    KOTE Jina ni GODIUS RWEYONGEZA

    Kama malipo yatakuwa yanafanyika kupitia benki.

    Yafanyie kupitia

    1. CRDB BANK: 0150770710200
    2. NMB BANK: 22110047274

    Kote jina ni GODIUS GORDIAN RWEYONGEZA

  • Wasiliana na Godius Rweyongeza Sasa

    Habari yafuatayo ni mawasiliano Unayoweza kutumia kumpata GODIUS RWEYONGEZA

    Simu: +255 (0) 684408755

    Whatsap: +255 (0) 755848391

    Email: songambele.smb@gmail.com

     

    Kupata vitabu vyake wasiliana Moja kwa Moja na +255 (0) 684408755 (more…)

  • Tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa wachina. Ni Pipi china, kuliko kuinunua kwa Mangi Mtaani Kwako!

    Siku siyo nyingi nilikuwa nikitafuta kipaza sauti cha kutumia kwa ajili ya kazi zangu. nilijaribu kuangaza hapa na pale kwa wasambazaji wa hivi vifaa hapa tanzania, ila kwa bahati mbaya sikufanikiwa.

    Hivyo, ilinibidi niagieze hivi vifaa kwa njia ya mtandao. Ilibidi niagize hivi vifaa moja kwa moja kutoka china.

    Kitu cha kwanza nilichokutana nacho ni kwamba hivi vifaa vilikuw ani bei ndogo china. Hili halishangazi sana kwa sababu tunajua wazi kuwa asilimia kubwa ya bidhaa zinazouzwa hapa nchini zinaagizwa chini.

    Lakini kitu kingine ilikuwa ni kwamba hizo bidhaa zilikuwa zinakuja bure mpaka hapa Tanzania. Hiki kitu kilikuwa kama masihala vile, lakini cha kushagaza ni kwamba, mizigo hiyo niliyoagiza, imekuja bure kabisa mpaka inanifikia.

    Gharama ya ziada niliyolipa ni buku (elfu moja ya boda) ILI KUUFIKISHA MZOGO OFISINI kwangu.

    Zaidi ya hapo hakukuwa na gharama nyingine ya ziada. Nilinunua hizi

    Makala ya leo nimeona nieleze hili.

    Tuna mengi ya kujifunza kwa wachina, na hili nalo ni jambo la kujifunza kutoka kwao.

    Wanawezaje kusafirisha mzigo wa 12 kutoka china mpaka Morogoro nchini Tanzania bila kuniambia niongeze gharama za ziada.

    Ebu tuongee kibongobongo kwanza.

    Ebu pata picha uko zako Kamachumu-Muleba-Kagera nchini Tanzania.

    Au Zako Mvuha, morogoro vijijini, Morogoro.

    Unaagiza mzigo wako Kariakoo, Gharama za kupokea mzigo kwneye maeneo hayo zinaweza kuwa ni kubwa ya gharama za kununulia mzigo husika.

    Hata mimi niliye Morogoro mjini bado mfano gharama ya mzigo wa elfu tano kunifikia ni kubwa kuliko gharama ya kununulia mzigo wenye thamani hiyo ya elfu tano.

    Kwenye hili tujifunze kwa wachina, namna wanavyofanya, kisha tuone namna ya kuboresha.

    Nasema hivi kwa sababu mimi mwenyewe ni mmoja wa watu ambao huwa wanatuma sana vitabu.

    Zamani nilikuwa naweza kutuma kitabu kimoja kwa shilingi elfu tano tu.

    Ila leo hii bila ya kuwa na shilingi elfu kumi, siwezi kutuma hata bahasha. Labda kama natuma mzigo kutoka hapa Morogoro kwenda Dar au Dodoma na muda mwingine Arusha na Kilimanjaro.

    Nje na hapo, napaswa kuwa na noti ya msimbazi.

    Unadhani ni mambo gani zaidi tunahitaji kuendelea kujifunza kutoka kwa wachina

    Tunahitaji tujifunze na tuanze kufanyia kazi, haya tutakayojifunza kutoka kwa wachina.

    Unajua kwa nini?

    Kwa sababu, wachina wao pia wamekuwa wanajifunza na kuiga sehemu nyingine na kufanyia kazi yale wanayojifunza haraka.

    Tusipochangamka, mimi nakwambia miaka mitano ijayo. Itakuwa ni bora kuagiza mzigo china, kuliko kwenda kununua kwa mangi hapo mtaani kwako.

    Tujifunze, tuchukue hatua, la sivyo biashara nyingi siku zijazo zitakuwa hatarini.

    Imeandikwa nami

    Godius Rweyongeza

    0755 848 391

    Morogoro-Tz

  • Mada Muhimu Za Semina Ya JUNI, 29

  • Tatizo si rasilimali zilizopotea: Tatizo ni rasilimaliwatu tunaowapoteza

    Tatizo si rasilimali zilizopotea, ni kitabu ambacho kimeeleza kwa kina kuwa changamoto, matatizo au kitu chochote kile ambacho unapitia, chanzo chake siyo rasilimali zilizopotea, walizoiba wazungu au hata zinazopotea sasa hivi.
    Tatizo kubwa ni rasilimaliwatu tunaowapooteza sasa hivi. Tunawapotezaje? Na nini kinatakiwa kufanyika sasa hivi?
    Tuingie ndani kwenye hiki kitabu ili twende sawa.
    Kila la kheri

    Gharama ya nakala hii ni 25,000/- TU.

    Kuipata ni rahisi TU.
    Lipia 25,000/- tutakutumia nakala Yako sasa hivi bila ya kuchelewa

  • Ulipata KOZI ya kupakua vitabu bure mtandaoni.

    Rafiki yangu salaam.

    Hongera sana kwa siku hii ya kipekee sana.  Siku chache zilizopita tulizindua kozi fupi tu ambayo inakuwezesha wewe kupakua kitabu chochote kile mtandaoni.

    kwa kozi hii fupi, maana yake huu ndiyo unakuwa ni mwisho wa wewe kuendelea kulipia hela ili utumiwe kitabu chochote cha KIINGEREZA. Ni kozi fupi ambayo unaweza kujifunza muda wako wowote wa ziada na kuielewa,. Halafu habari njema zaidi ni kwamba kozi hii fupi unalipia kiasi kidogo tu ukilinganisha na kozi nyingine fupi.

    Naam, unalipia kiasi cha shilingi 10,000/- tu.

    LIPIA SASA KIASI HIKI CHA SHILINGI ELFU KUMI TU. LIPIA KWA NAMBA YA SIMU AMBAYO NI 0684 408 755

    Karibu sana.

  • UNATAKA KUJIFUNZA UANDISHI WA KITABU CHA KUVUTIA! !

    JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU imekuwa chachu kwa wengi wanaotafuta kuvutia wasomaji wao. Sasa, pata nakala yako ya kitabu hiki kwa TZS 20,000/- tu!

    📖

    Anza kuandika kurasa zenye mvuto katika kitabu chako!

    📞

    Lipia kwa kutuma pesa kwenye namba: 0684 408 755 (Godius Rweyongeza)

    🌐

    Endelea kufuatilia machapisho mazuri zaidi kupitia [Songambele](www.songambele.co.tz) na [Jifunze Uandishi](www.jifunzeuandishi.wordpress.com). Jiunge nasi katika kuleta uhai kwenye maneno yako! #UandishiWaKuvutia#MwandishiMbobevu#SanaaYaManeno Endelea kufuatilia kwa machapisho mazuri zaidi!

  • Una habari ya semina yetu ya Juni, 29 2024

    Rafiki yangu wa ukweli, salaam. 

  • Unafeli wapi wewe Mzee mama. Mzee mama uko wapi?

    Unafeli wapi wewe Mzee mama. Mzee mama uko wapi? Twende zetu Land mark hotel Juni 29. Maelelezo hayo hapo. Thibitisha ushiriki wako sasa

    https://chat.whatsapp.com/CAdCnW82i8N0clD2fDvn7v

  • Jichukulie wewe kama kampuni

    Jichukulie wewe kama kampuni, kama ungekuwa kampuni watu wangekuwa wanahamasika kuwekeza katika kampuni hii (ambayo ni wewe) au wasingekuwa na hamu kabisa.

    na swali tamu sana kuhusi hili kwamba je, ungekuwa unawekeza kwenye kampuni ambayo ni wewe, ungewekeza kwenye wewe?

    SOMA ZAIDI: 

  • Kitabu hicho hapooo. Jinsi Ya kuongeza thamani yako

    Kitabu hicho hapooo. Jinsi Ya kuongeza thamani.

    Kisome, uongeze thamani yako zaidi ya sasa. Fanyia kazi utakayojifunza uanze kulipwa mara kumi zaidi ya sasa. Zijue aina za unzip mazopaswa kuanza kufanyia kazi sasa hivi. Zinalipa sana

    😊

    Zifahamu njia za kuongeza thamani yako, kazini, ofisini au sehemu yoyote ile.

    Na huo ndio mwanzo rafiki yangu Kitabu hiki kimesheheni mengi Kinapatikana kama softcopy. Hardcopy na audio.

    Utalipia 25,000/- kupata hardcopy 10,000/- kupata softcopy au Audioboook Wewe unaenda kuchukua kipi leo? Lipia sasa kwa 0684408755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA sasa

  • Semina ya kukuza uchumi na biashara

X