Mtu Pekee Atakayekusaidia Kufanikisha Makubwa, Cha Kushangaza Ni Kwamba Humtumii. Mfahamu Sasa


Ngoja nikwmabie kitu rafiki yangu.

Kuna vitu ambavyo unapaswa kufanya mwenyewe. Siku za nyuma nimewahi kuandika hapa kwamba hakuna mtu anayeweza kupiga pushup kwa ajili yako.

Makala hiyo bado ina nguvu kubwa sana kama ambavyo niliiandika miaka hiyo. Kama ulivyo ukweli usiopingika kuwa hakuna mtu anayeweza kupiga pushup kwa ajili yako. Hivyohivyo ni ukweli usiopingika kuwa kuna vitu ambavyo hata ukiwa na watu bora kuliko wote duniani hawawezi kuvifanya kwa niaba yako.

  • Hakuna Daktari ambaye atakufanya wewe kuwa mwenye afya bora
  • Hakuna mtalaamu yeyote atakufanya uwe na mwili wa kawaida
  • Hakuna mwalimu ambaye atakufanya wewe kuwa mwenye akili
  • hakuna Guru yeyote ambate atakufanya uwe na utulivu
  • Hakuna mshauri yeyote atakayekufanya uwe tajirii

Mtu pekee anayeweza kukupa hayo yote ni wewe mwenyewe.

Ni wewe mwenyewe ambaye unapaswa kubeba hayo majukumu yako bila ya kurudi nyuma. Lakini kama utasubiri watu wakufanyie kazi, nakuhakikishia kwamba utasubiri sana.

SOMA ZAIDI: 

Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu. Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangie ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia kiasi kidogo tu.

Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya mtandao.

SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea

Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana naye kwa +255 684 408 755 na orodha ya vitabu vyenyewe unaweza kuiona HAPA. Chagua unachopenda, kisha twanga,  +255 684 408 755

Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

For Consultation only: +255 755 848 391  au godiusrweyongeza1@gmail.com


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X