Category: A NOTE FROM SONGAMBELE

  • Kitu kimoja kitakachokusukuma wewe kuweza kufanya makubwa

    Habari ya upande wa huko rafki yangu wa ukweli, siku ya leo ningependa kukwambia kitu kimoja ambacho kitakusukuma wewe kuweza kufanya makubwa. na kitu hiki siyo kingine bali ni upendo. Upendo unapaswa kukusukuma wewe kufanya kitu kwenye maisha yako. Bila upendo sidhani kama kuna kitu cha maana ambacho utafanya hapa duniani. Upendo wa kazi Upendo…

  • Vitabu Vitano Ambavyo Kila Mfanyabiashara Makini Anapaswa Kusoma

    Kwanza kabla sijaandika mambo mengi sana siku leo. Ningependa kukwambia kwamba baadhi ya vitabu ambavyo ninaenda kukueleza hapa vinapatikana bure kabisa mtdanoni, hivyo, unaweza kupakua hivi vitabu bure. Labda unajiuliza unawezaje kupakua hivi vitabu bure mtandaoni? Hakikisha kwamba umeangalia hii video hapa, itakusaidia wewe kupakua vitabu hivi bure. Ila pia kuna vitabu vya kulipia ili…

  • Sababu 18 Kwa Nini Tunaandika Vitabu Na Kwa Nini Wewe Unapaswa Kuandika Cha Kwako

    Kuna watu wanafikiri kwamba wao hawawezi kuandika vitabu. na wengine wanafikrii kwamba ili uweze kuandika kitabu basi unapaswa kuwa na aina fulani hivi ya ugenius. Sasa siku ya leo nimeona siyo vibaya ngoja nikwambie sababu 18 kwa nini tunaandika vitabu na kwa nini wewe unapaswa kuandika kitabu chako. Je, upo tayari kuzijua hizi sababu. Kama…

  • Sala Muhimu Unayopaswa Kusali Kila Siku. Inaleta Matokeo Ya Haraka

    Unaendeleaje rafiki yangu wa ukweli. Najua umekuwa ukisali sala mbalimbali kwa siku nyingi. Ila leo ninataka kukwambia sala moja tu ambayo hujawahi kusali, na sala hii siyo nyingine bali kumwomba Mungu akupe usikivu. Uwe msikilizaji mzuri kuliko kuwa muongeaji mzuri. Tuna mdomo na masikio mawili. Ikimaanishabkuwa tunapaswa kuwa wasikilizaji wazuri kuliko kuwa waongeaji. Ila kinachotokea…

  • Kwa nini unajipunja hivyo?

    Wahaya wana usemi unaosema hivi, “endirira ekagaba emikira yayeyebwa”. Ukiniuliza tafsiri yake sijui ila nitakupa stori😂😂. Inasemekana hapo zamani za kale kulikuwa na mkutano wa wanyama. Kitu kikubwa kwenye mkutano huo ulikuwa ni ugawaji wa mikia. Mnyama aliyepewaa jukumu la kuwagawia wanyama wengine mikia ni mnyama mmoja ambaye kwa kihaya anaitwa NDIRIRA. Kiswahili chake sikijui…

  • Vitu Vinne Ambavyo Hakuna Mtu Anaweza Kufanya Kwa Niaba Yako

    Kwanza hakuna mtu ambaye anaweza kupenda familia yako kwa ajili yako. Ni jukumu lako kuhakikisha unaijali na kuipenda familia yako. Pili hakuna mtu mtu anaweza kutunza afya yako kwa ajili yako, jukumu la kutunza afya yako ni la kwako. Tatu ni juu yako kuhakikisha kuwa unatunza fedha zako vizuri. Hakuna mtu ambaye anaweza kufanya hili…

  • Huu Ndio Ulevi Pekee Ambao Unapaswa Kuwa Nao

    Rafiki yangu mpendwa, najua umekuwa unasikia kuwa ulevi ni noma! Ulevi ni hatari. Mimi mwenyewe siyo kwamba napinga hili. Hapana, nakubaliana nalo kwa asilimia zote, ukweli ni wamba ulevi ni hatari kwa afya yako. Watu wanajiiingiza kwenye aina mbalimbali za ulevi. Kuna ambao wanaingia kwenye ulevi wa pombe, wengine madawa ya kulevya, wengine mitandao ya…

  • Audiobook ni nini?

    Audiobook ni kitabu kilichosomwa. Yaani, kitabu kilekile ambacho ungekaa chini na kukisoma kwa siku au wiki. Zamu hii kinakuwa kimesomwa na kuwekwa kwenye mfumo wa sauti. Hivyo, unaweza kukisikiliza popote pale ulipo. Muda mwingine unaweza kukuta majukumu yamekubana, hivyo ukasikiliza audiobook vizuri tu bila ya shida yoyote wakati unaendelea na majukumu yako mengine kama kufua,…

  • Niweke Fedha zangu benki Kama akiba au niwekeze kwenye CRDB Mzigo Flexi?

    Juzi kuna mtu alinipigia simu. Alikuwa ameniakiliza kupitia TEMINO YA CLOUDS FM. Swali lake lilikuwa moja tu na hakuwa na kitu kingine cha ziada Alitaka kujua kipi ni Bora, Kati ya kuweka fedha yake benki au kuwekeza kwenye CRDB Mzigo flexi! Unajiuliza kwani CRDB MZIGO FLEXI ni nini? Huu ni aina ya uwekezaji ambapo unaikopesha…

  • Tofauti Ya Thamani Ya Hisa Na Bei Ya Hisa

    Habari ya leo. Siku ya leo ningependa kujibu swali la mtu mmoj amabye amesoma kitabu changu cha MAAJABU YA KUWEKEZA KWENYE HISA, HATIFUNGANI NA VIPANDE. Anauliza swali hivi, samahani kuna kitu sijakikujua hapo, tofauti kati thamani yahisa na bei ya hisa Kwa hiyo hapa kitu cha kujibu ni je, thamani ni nini? na bei ni…

  • Kama Wewe Ni Shabiki Wa Yanga au Simba Hakikisha Umesoma Hapa

    Jana ilikuwa ni mechi ya simba na Yanga. Ni moja ya mechi zinagusa watu wengi kwa hapa Tanzania. Kuna watu hawashabikii timu yoyote ile hapa duniani, isipokuwa simba au Yanga. Sasa leo nilikuwa nikifikiri kuhusu hili nikawakumbuka rafiki zangu ambao wanahangaika kuandika vitabu. Wanahangaika na hawajui kitu gani wanaweza kuandikia. Nikasema ngoja leo niwaambie kitu.…

  • Mtaka cha uvunguni

    Leo nimemkumbuka jamaa mmoja niliyesoma naye shule ya msingi na baadaye sekondari. Huyu jamaa alikuwa anapenda maisha mazuri sana, ila alikuwa hataki kufanya kazi ili kuyapata hayo maisha mazuri. Alikuwa anapenda kufanya kazi kwenye ofisi nzuri ila alikuwa hapendi kupitia kwenye ule mchakato wa kumfikisha kwenye hiyo ngazi. Hivi kweli kitu kama hiki kinawezekana kweli…

  • Hii ni kazi anbayo huwezi kuajiri mtu kuifanya kwa niaba yako

    Unaendeleaje rafiki yangu wa ukweli. bila shaka kila kitu kinaenda vizuri upande wa huko. Siku ya leo ningependa nikujuze kazi mbili ambazo huwezi kumwajiri mtu kuzifanya kwa niaba yako. Na kazi hizi siyo nyingine bali ni Moja kufikiri. Hiki ni kitu ambacho huwezi kumwajiri mtu ili akifanye kwa niaba yako. Badala yake ni kwamba unapaswa…

  • Mapambano yanaendelea!

    Kwenye Moira wa MIGUU, timu huwa haishindi wa kufunga goli dakika ya kwanza. Hata timu ukifunga goli dakika ya kwanza. Bado huwa haitangazwi Kuwa imeshinda. Badala yake Ni mchezo huwa unaendelea mpaka dakika ya 90. Na wewe fahamu kuwa mapambano yanaendelea. Hujafaulu kwa sababu ushindi wa muda mfupi uliopata. Huu ushindi huo wa muda ukupe…

  • Kiongozi ni mtu wa aina gani?

    Kwa watu wengi akitajwa kiongozi au mtu yeyote yule anayeitwa kiongozi basi wanafikiria kwamba kiongozi ni mtu mwenye cheo. Kama rais, waziri, mkurugenzi au cheo chochote kikubwa. Kama hauna cheo wewe siyo kiongozi. Ninachoweza kusema hapa ni kwamba watu wanachanganya kati ya cheo na uongozi. unaweza ukawa na cheo ila ukawa siyo kiongozi. Na unaweza…

  • Uchambuzi wa kitabu cha Think And Grow Rich (Mambo 50 Ya Kujifunza)

    Kitabu: THINK AND GROW RICHMwandishi: Napoleon HillMchambuzi: Hillary Mrosso Whatever your mind can conceive and believe it can achieve. Mafanikio yote yanaanzia kwenye mawazo, na ukiyaamini mawazo yako na kuyafanyia kazi utayaona mafanikio yako. Mafanikio mara zote yanakuja kwa wale wanaofikiria mafanikio kwenye fikra zao au mawazo yao. Mwandishi wa kitabu hiki ni Napoleon, ambaye…

  • Jinsi Ya Kufanikisha Ndoto Zinazohitaji Fedha Nyingi

    Kwenye video ya leo kupitia channel yetu ya YouTube nimeeleza kwa kina ni namna gani unaweza unaweza kupata na kutunza fedha ya kukusaidia Kufanikisha ndoto yako kubwa. Je, upo tayari kwa ajili ya hiki? Ebu tazama video yenyewe hapa Hakikisha umejiunga na mfumo wetu wa kupokea makala maalumu kikashani mwako kwa kujaza taarifa zako hapa…

  • Huu ndio utaratibu mzuri ambao unapaswa kuujenga kuanzia mwezi huu

    Moja ya sifa ya watu wanaofanya makubwa kwenye hii dunia ni tabia ya kujifunza. Hii ni tabia moja muhimu ambayo inaweza kukusaidia wewe kufanikisha mambo makubwa kwenye hii dunia. Kama bado unajiuliza ni kwa jinsi gani kusoma kunaweza kukusaidia wewe, chukua hatua. Utoe mwaka mmoja ambapo utajifunza kila siku. Kisha linganisha huo mwaka na miaka…

  • Sababu Moja Kwa Nini unapaswa kuandika kitabu chako Leo

    Rafiki yangu wa ukweli Karibu kwenye makala ya jumapili ya leo. Leo ninataka nikwambie kwa nini unapaswa kuandika kitabu chako kuanzia leo hii. Naikumbuka siku za nyuma niliwahi kuandika (SABABU 18 Kwa Nini Tunaandika Vitabu na Tutaendelea Kuandika Vitabu, Na Kwa Nini Wewe Unapaswa Kuandika Cha Kwako) Ninachofanya leo ni kukuongezea nyama kwenye kile ambacho…

  • Baadaye siku ya leo, nitakuwa CLOUDS FM nikiongelea Gharama za Kulipa ili kufikia ndoto zako

    Helo upande wa huko. Godius Rweyongeza hapa na leo nina taarifa fupi tu kwako. Taarifa hii ni kwamba baadaye siku ya leo nitakuwa CLOUDS FM, Kwenye kipindi Cha TEMINO.Mada nitakayozungumzia Ni GHARAMA ZA KULIPA ILI KUFIKIA NDOTO ZAKO Kipindi hiki kinaendeshwa na Harris KAPIGA pamoja na adv. Henry Mwinuka. Muda wa kipindi ni saa 9…

X