Home


  • Haya hapa ni mambo 101 unayoweza kuandika kwenye kitabu chako

    Rafiki yangu mpendwa salaam. Hongera sana kwa siku hii nyingine ya leo. Leo ninataka nikwambie mambo 101 unayoweza kuandika kwenye kitabu chako.

    Ni ukweli usiopingika kwamba watu wengi wangependa kuandika vitabu vyao kwa wakati na kwa haraka. Hata hivyo wengi hawajuia hata wapi pa kuanzia. Kwenye somo la leo tunaenda kuona mambo 101 unayoweza kuandika kwenye kitabu chako. Ni mambo yapi hayo, fuatilia hili somo hapa

  • Kwa nini ni muhimu kuhakikisha unautumia ulimwengu wa mtandao kwa manufaa

    Kuna kipindi ilikuwa inaaminiwa kwamba mitandao ya kijamii na mtandao wa intaneti ni kwa ajili ya vijana, ila leo hii sote tunaona wazi kuwa mtandao wa intaneti siyo tu kwa ajili ya vijana. bali ni kwa ajili yetu sote. Kumbe mimi, wewe au mwingine yeyote anaweza kuutumia mtandao huu tena kwa manufaa makubwa.

    Sote leo hii tunaona wazi kuwa tunaweza kuutumia mtandao wa intaneti kufanya mambo tofauti tofauti.

    Kama bishara yako leo hii ipo mtandaoni, ni wazi kuwa kuna matokeo ambayo unapata. Kuna wateja ambao unawapata kutokana na biashara yako kuwa mtandaoni.

    Na kama biashara yako haiko mtandaoni, maana yake kuna wateja unawakosa kwa sababu tu ya biashara yako kutokuwa mtandaoni.

    Kitu kikubwa ambacho nataka nikusishi siku ya leo ni kwamba iweke biashara yako mtandaoni rafiki yangu. Tafuta namna ya kuhakikisha kwamba unaiweka biashara yako mtandaoni.

    Njia rahisi ya kuweka biashara yako mtandaoni.

    Ni moja kuhakikisha unakuwa blogu au tovuti.

    Pili ni kuhakikisha unakuwa na kurasa kwenye mitandao yote muhimu ya kijamii

    tatu ni kuhakikisha unakuwa unaweka maudhui ya mara kwa mara kwenye hii mitandao ya kijamii.

    Nne ni kuhakikisha unakuwa na mawasiliano ambayo wateja au watakaopenda kufuatilia kazi zako zaidi wanaweza kukupata. kwa kuanzia mawasiliano haya yawe ni barua pepe, namba ya simu ya kawida na ya whatsap.

    Tano USIPOE na WALA USIBOE.

    Fanyia kazi kwanza haya kwa leo. Uwe na siku njema sana.

    Nakutakia kila la kheri rafiki yangu wa ukweli.

    Uwe na si

  • Nukuu 10 Za Kufikirisha

    1.

    2.

    3.

    4.

    5.

    6.

    7.

    8.

    10.

  • Muda Sahihi ni…

    1. Muda mzuri wa kupanda mti ulikuwa Miaka 20 iliyopita, muda mwingine mzuri zaidi ni Sasa.
    2. Ukianza Leo utaanza kuona matokeo siku Moja kabla kuliko pale ambapo ungeanza kesho.ttps://youtu.be/SOiq8Ui_aWQ

    Chukua hatua sasa

    Ungependa kuanza kuandika kitabu chako👇🏿

    https://chat.whatsapp.com/G9kNW2SIIoR6DL8s8GuyRe

  • Nukuu 13 Za Kufikirisha:

    1:

    2:

    3:

    4.

    5.

    6.

    7.

    8.

    9.

    10.

    11.

    12.

    13.

  • Nukuu Za Kufikirisha:

    1:

    2:

    4:

    5.

    6:

    7:

    8:

    9:

    10:

    11:

    12:

    13:

    14:

    15:

    16:

    17:

  • Jinsi Ya Kupanga Kitabu Chako Kwenye Simu

    Umeandika kitabu chako kwenye simu na ungependa kukipanga kwa haraka ili kujua kina kurasa ngapi? Karibu sana kwenye video ya leo ambayo ninaenda kukueleza namna ya kufanya hivyo pamoja na mengine zaidi.

    Bonyeza hapa kuitazama

    Rafiki yangu kuna mafunzo mengi zaidi ambayo huwa natoa kwenye audio na mafunzo haya unaweza kuyafuatilia zaidi kwenye youtube hapa.

  • Mambo muhimu ya kuzingatia kuhusu vyanzo vingi vya kipato

    Rafiki yangu mpendwa salaam, leo nataka nikwambie mambo machache kuhusu vyanzo vingi vya kipato

    Kwanza hakikisha kwamba unakuwa na chanzo zaidi ya kimoja cha kipato. kwa vyovyote vile, usikae na chanzo kimoja tu cha kipato, mara nyingi chanzo kimoja cha kipato kikipata changamoto basi huwa unakuta kwamba watu wengi wanakutana na changamoto za kipato. Hivyo., rafiki yangu, kazi yako kubwa ambayo uanapaswa kuifanya kuanzia leo hii. Ni wewe kujiondoa kwenye lindi la kutengenea chanzo kimoja cha kipato. Badala yake kuwa na vyanzo vingi vya kipato

    Mbili, kama una chanzo kimoja cha kipato. Pigana uwe navyo viwili. kama unavyo viwili, pambana uwe navyo vitatu, kama unavyo vitatu walau kuwa navyo vinne. Kiwango cha vyanzo vinne na kuendelea ni kiwango cha kuanzia walau. baada ya hapo unaweza kuendelea mbele zaidi lakini walau hakikisha unakuw na vyanzo vinne vya kipato.

    Tatu, anza kulifanyia kazi hio sasa hivi rafiki yangu.

  • Nukuu 20 Za Kufikirisha:.

    1:

    2:

    3:

    4:

    5:

    6:

    7:

    8:

    9:

    10:

    11:

    12:

    13:

    14:

    15:

    16:

    17:

    18:

    19:

    20:

  • Ni lini uayakatie tamaa MALENGO Yako

    Rafiki yangu salaam, hongera sana kwa kazi. Mtu mmoja ameniuliza ni lini ninapaswa kukatia tamaa MALENGO na ndoto zangu.

    Ni vigumu kidogo kujibu swali hili, lakini ukweli ni kuwa muda sahihi wa kukatia tamaa MALENGO na ndoto zako ni pale unapokuwa umetumia kila namna na kwa kila mbinu na Bado ukaona  unakwama.

    Ukweli ni kuwa unapoanzia kuyafanyia kazi malengo Yako Kuna vitu vingi ambavyo vitajitokeza mbele Yako.

    Unapaswa kuwa tayari kukabiliana navyo. Siyo unakutana na ka changamoto kadogo tu, unakata tamaa.

    Unapaswa kuwa tayari kupambana na kila kikwazo ambacho kinakuja mbele Yako bila ya kurudi nyuma.

    Na kama kweli umemtumia kila njia na bado unaona mambo hayaendi ndiyo unaweza Kuliweka Hilo jambo pembeni na kuamua kupambania mengine.

    Lakini jipe muda kwanza kwenye kulifanyia kazi lengo na ndoto zako bila ya kurudi nyuma.

    Walau muda wa Miaka mifano mpaka kumi. Kama kweli ukiamuabkufanya jambo Moja kwa muda wa Miaka mifano mpaka kumi bila ya kukwama Wala kurudi nyuma. Nakuhakikishia kuwa hili jambo unaweza kulifanya kwa ukubwa zaidi ya unavyofikiri.

    imeandikwa na Godius Rweyongeza

    pata nakala ya kitabu Cha NGUVU YA VITU VIDOGO KUELEKEA MAFANIKIO MAKUBWA pamoja na kitabu Cha NGUVU YA KUWEKA MALENGO.

    Kupata nakala wasiliana na mwandishi Sasa kwa 0755848391

    asante

X