Home


  • Namba Zetu Za Malipo

    Namba za malipo ya vitabu:

    Namba za lipa

    TIGO PESA: 19016638 Jina ni SONGAMBELE CONSULTANTS

    M-PESA: 5564517 jina ni GODIUS GORDIAN RWEYONGEZA

    Namba za kawaida

    AIRTEL MONEY: 0684408755
    TIGO PESA: 0655 848 392
    M-PESA: 0745 848 395

    Kote jina ni GODIUS RWEYONGEZA

    NB: Kama namba ya malipo anatumiwa mtu ambaye yuko nje ya nchi. Iandikwe Kwa kuanza na +255

    Kwa hiyo namba zinazotumwa nje ya nchi zitakuwa
    Airtel money: +255 684 408 755
    TIGO PESA: +255 655 848 392
    M-PESA: +255 745 848 395

    KOTE Jina ni GODIUS RWEYONGEZA

    Kama malipo yatakuwa yanafanyika kupitia benki.

    Yafanyie kupitia

    1. CRDB BANK: 0150770710200
    2. NMB BANK: 22110047274

    Kote jina ni GODIUS GORDIAN RWEYONGEZA

  • Wasiliana na Godius Rweyongeza Sasa

    Habari yafuatayo ni mawasiliano Unayoweza kutumia kumpata GODIUS RWEYONGEZA

    Simu: +255 (0) 684408755

    Whatsap: +255 (0) 755848391

    Email: songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu vyake wasiliana Moja kwa Moja na +255 (0) 684408755 (more…)

  • Ulipata KOZI ya kupakua vitabu bure mtandaoni.

    Rafiki yangu salaam.

    Hongera sana kwa siku hii ya kipekee sana.ย  Siku chache zilizopita tulizindua kozi fupi tu ambayo inakuwezesha wewe kupakua kitabu chochote kile mtandaoni.

    kwa kozi hii fupi, maana yake huu ndiyo unakuwa ni mwisho wa wewe kuendelea kulipia hela ili utumiwe kitabu chochote cha KIINGEREZA. Ni kozi fupi ambayo unaweza kujifunza muda wako wowote wa ziada na kuielewa,. Halafu habari njema zaidi ni kwamba kozi hii fupi unalipia kiasi kidogo tu ukilinganisha na kozi nyingine fupi.

    Naam, unalipia kiasi cha shilingi 10,000/- tu.

    LIPIA SASA KIASI HIKI CHA SHILINGI ELFU KUMI TU. LIPIA KWA NAMBA YA SIMU AMBAYO NI 0684 408 755

    Karibu sana.

  • UNATAKA KUJIFUNZA UANDISHI WA KITABU CHA KUVUTIA! !

    JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU imekuwa chachu kwa wengi wanaotafuta kuvutia wasomaji wao. Sasa, pata nakala yako ya kitabu hiki kwa TZS 20,000/- tu!

    ๐Ÿ“–

    Anza kuandika kurasa zenye mvuto katika kitabu chako!

    ๐Ÿ“ž

    Lipia kwa kutuma pesa kwenye namba: 0684 408 755 (Godius Rweyongeza)

    ๐ŸŒ

    Endelea kufuatilia machapisho mazuri zaidi kupitia [Songambele](www.songambele.co.tz) na [Jifunze Uandishi](www.jifunzeuandishi.wordpress.com). Jiunge nasi katika kuleta uhai kwenye maneno yako! #UandishiWaKuvutia#MwandishiMbobevu#SanaaYaManeno Endelea kufuatilia kwa machapisho mazuri zaidi!

  • Una habari ya semina yetu ya Juni, 29 2024

    Rafiki yangu wa ukweli, salaam.ย 

  • Unafeli wapi wewe Mzee mama. Mzee mama uko wapi?

    Unafeli wapi wewe Mzee mama. Mzee mama uko wapi? Twende zetu Land mark hotel Juni 29. Maelelezo hayo hapo. Thibitisha ushiriki wako sasa

    https://chat.whatsapp.com/CAdCnW82i8N0clD2fDvn7v

  • Jichukulie wewe kama kampuni

    Jichukulie wewe kama kampuni, kama ungekuwa kampuni watu wangekuwa wanahamasika kuwekeza katika kampuni hii (ambayo ni wewe) au wasingekuwa na hamu kabisa.

    na swali tamu sana kuhusi hili kwamba je, ungekuwa unawekeza kwenye kampuni ambayo ni wewe, ungewekeza kwenye wewe?

    SOMA ZAIDI:ย 

  • Kitabu hicho hapooo. Jinsi Ya kuongeza thamani yako

    Kitabu hicho hapooo. Jinsi Ya kuongeza thamani.

    Kisome, uongeze thamani yako zaidi ya sasa. Fanyia kazi utakayojifunza uanze kulipwa mara kumi zaidi ya sasa. Zijue aina za unzip mazopaswa kuanza kufanyia kazi sasa hivi. Zinalipa sana

    ๐Ÿ˜Š

    Zifahamu njia za kuongeza thamani yako, kazini, ofisini au sehemu yoyote ile.

    Na huo ndio mwanzo rafiki yangu Kitabu hiki kimesheheni mengi Kinapatikana kama softcopy. Hardcopy na audio.

    Utalipia 25,000/- kupata hardcopy 10,000/- kupata softcopy au Audioboook Wewe unaenda kuchukua kipi leo? Lipia sasa kwa 0684408755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA sasa

  • Semina ya kukuza uchumi na biashara

  • Vitu 33 Unavyopaswa Kuanza Kufanyia Kazi!

    Unataka kuwa na mwanzo wa kushangaza kuelekea mafanikio? “Nguvu ya Kuchukua Hatua ya Kwanza” kitabu kilichoandikwa na Godius Rweyongeza kina vitu 33 ambavyo unaweza kuanza kufanyia kazi leo!

    ๐Ÿ“˜ Sura ya Tano inafichua vitu hivi muhimu na jinsi ya kuvifanyia kazi.

    ๐Ÿš€ Pata mbinu za kujenga tabia bora na kuanza kuchukua hatua mara moja.

    ๐ŸŒŸ Anza safari yako ya mafanikio kwa kufanya mabadiliko madogo yenye athari kubwa.

    ๐Ÿ“š Bei: Tsh 25,000/-

    ๐Ÿ“ฑ Lipa kwa Airtel Money kwa namba 0684408755, jina: GODIUS RWEYONGEZA. Chukua hatua kubwa leo! Nunua kitabu na pambana na vitu vyako 33 kuelekea mafanikio. #HatuaYaKwanza #NguvuNaMafanikio

  • Karibu Kwenye Programme Ya Uandishi (CHUO CHA WAANDISHI)

    Karibu kwenye programme ya uandishi (CHUO CHA WAANDISHI)

    Hii Ni programme maalumu kwa ajili yako wewe unayetaka kujifunza uandishi wa vitabu, makala pamoja wewe unayetaka kuandika (historia ya maisha yako).

    Je, wewe ni mtu wa aina hii, basi soma kwa umakini hapa ili uweze kungโ€™amua mambo mengi mazuri kwa ajili yako!

    Kozi hii inaendeshwa kwa njia ya mtandao chini ya mwandishi mahiri wa vitabu Godius Rweyongeza. Godius Rweyongeza ameandika vitabu zaidi ya 20, na kwa siku nyingi sasa amekuwa akisadia watu mbalimbali kuandika na kukamilisha vitabu vyao. Watu wengi wamenufaika na kile ambacho amekuwa anawaelekeza kuhusu uandishi.

    Hiki kitu kimefanya watu wengi zaidi wapende kujifunza zaidi, huku wengine wakimwomba awafundishe na kuwaelekeza watu wao wa karibu ili na wao waweze kuandika.

    Kwa kuwa hii ni huduma ambayo watu wengi wanataka kupata, ameona arahisishe upatikanaji wake, ili na wewe uweze kunufaika na program hii ambayo mwanzoni ilikuwa ni kwa ajili ya watu maalumu.

    Godius Rweyongeza ameamua kutoa nafasi chache tu kwa walio tayari ili aweze kuwasimamia mwenyewe kwenye safari yao ya uandishi. Na yale yote ambayo amekuwa akifundisha waandishi waliofanikiwa anaenda kukuelekeza na wewe unapoianza safari yauandishi wako.

    Programu hii ya uandishi inajulikana kama JIFUNZE UANDISHI, ambapo lengo lake ni moja, kukufanya wewe kuwa mwandisho mbobevu.

    Endapo utajiunga na progamu hii utaweza

    1. Kupata nafasi ya kuwa karibu na GODIUS RWEYONGEZA mwenyewe kwa kipindi chote cha program ambacho ni mwaka mzima.
    2. Godius Rweyongeza atapitia maandiko yako na kukupa mrejesho wa kitalaam baada ya kuwa amesoma maandiko yako. Kitu hiki kitakufanya uzidi kuwa bora zaidi kwenye eneo la kuandika.
    3. Siyo hilo tu, endapo utajiunga na program hii utapata kuwa karibu na waandishi wengine wanaoandika. Ndiyo umesoma vizuri hapo, utapata kuwa karibu na waandishi wanaoandika. Nakwambia hivi kwa sababu kuna watu wanajiita waandishi ila wenyewe hawajahi kuandika hata kitu kimoja. Sasa endapo utajiunga na hii program maana yake na wewe unaenda kuwa mwandishi ambaye anaandika.
    4. Halafu nilitaka kusahau kukwabia, habari njema ni kuwa utasimwmiwa kwenye kuandika kitabu chako mpaka kikamilike. Utajisikiaje kama wewe utaweza kuandika kitabu chako kikamilika.
    5. Na utapewa kitabu cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU bure kabisa

    Sasa unachotakiwa kufanya ili uweze kunufaika na program hii ni wewe kuthibisha ushiriki wako kwenye hii program., na kujiunga kwenye program hii ni rahisi sana.

    Ada yake ni 250,000 kwa kipindi chote cha programme (mwaka mzima)
    Namba ya malipo ni 0755848391.
    NB: Usilipie kabla hujaongea na mhusika kkwa namba ya simu 0678408755 li athibishe kwamba nafasi ipo. Maana watu wengi wanashambulia hizi nafasi.

    Kumbuka kwenye hii programme utachagua kujifunza kitu kimoja kati ya hivi hapa

    1.Uandishi wa makala
    2.Uandishi wa vitabu
    3.Uandishi wa WASIFU ( autobiography)
    Wewe kati ya hivyo ungependa kupata usimamizi wa karibu kwenye vipi

X