-
Kwa Nini Watu Huwa hawatengenezi MSHAHARA NJE YA MSHAHARA wao wa kawaida
Kuna sababu kadhaa ambazo zinaweza kufanya watu wasitengeneze mapato nje ya mshahara wao wa kawaida:
1. Ukosefu wa Elimu ya Kifedha: Watu wengi hawajapata elimu ya kutosha kuhusu uwekezaji, biashara, au njia nyingine za kutengeneza mapato nje ya mshahara. Hivyo, wanaweza kukosa ujasiri au maarifa ya kutosha kuanza safari ya kutafuta mapato mbadala.
2. Hofu ya Kufeli: Hofu ya kushindwa au kupata hasara inaweza kuwazuia watu kujaribu njia mpya za kutengeneza mapato. Wanaweza kuogopa kuchukua hatari au kuwa na imani duni kuhusu uwezo wao wa kufanikiwa katika ujasiriamali au uwekezaji.
3. Muda na Rasilimali Zilizopo: Baadhi ya watu wanaweza kuona kwamba hawana muda au rasilimali za kutosha kujihusisha na shughuli za ziada za kifedha. Wanaweza kuona kwamba wanashughulika na majukumu mengi au hawana mtaji wa kutosha kuanza biashara au uwekezaji.
4. Kuendelea na Mfumo wa Kujulikana: Baadhi ya watu wanaweza kufurahia au kujisikia salama zaidi katika mfumo wa kazi ya mshahara, ambapo wanajua wanapokea kiasi fulani cha pesa kila mwezi bila kuhatarisha au kujihusisha na mambo ya kifedha ambayo wanaweza wasielewe vizuri.
5. Kutokuwa na Hamasa au Malengo Wazi: Watu wengine wanaweza kukosa hamasa au kuwa na malengo ya kifedha ya muda mrefu. Wanaweza kuona kwamba kazi yao ya kawaida inawatosha na hawana sababu ya kutafuta mapato nje ya mshahara. Kwa kuzingatia sababu hizi, ni muhimu kwa watu kujitahidi kupata elimu ya kifedha, kujenga ujasiri, na kuweka malengo ili kuanza safari ya kutengeneza mapato nje ya mshahara wao wa kawaida.
Hii inaweza kuleta uhuru wa kifedha na fursa za maisha bora zaidi. Ndiyo maana ninekuandalia mwongozo Kamili utakaokusaidia wewe kuanza kutengeneza MSHAHARA wako NJE YA MSHAHARA wako wa Sasa Kupata nakala ya kitabu hiki Cha JINSI YA KUTENGENEZA MSHAHARA NJE YA MSHAHARA ni rahisi.
Wasiliana na +255 684 408 755 Sasa Ili Upate nakala Yako. Kumbuka muda ni sasa
-
Mwandishi ni mwandishi kwa sababu anaandika. Kama Huandiki nina haya ya kusema na wewe

Mwandishi ni mwandishi kwa sababu anaandika. Kama huandiki, wewe siyo Mwandishi.
Kwa hiyo, nataka na wewe uanze kuitwa mwandishi tena kuanzia leo, na utaweza hilo kwa kuanza kuandika.
Kitabu kitakachokusaidia kufanikisha lengo lako ni kitabu Cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU.Gharama ya kitabu hiki ni 20,000/- tu.
Lipia kwa 0684408755 sasa upate nakala yako.

-
Watu wa Kawaida Vs Matajiri

-
KITABU: NGUVU YA KUWEKA MALENGO

Kitabu cha NGUVU YA KUWEKA MALENGO kinaeleza dhana muhimu unayoihitaji kwa ajili yakufanikisha jambo lolote lile. Ukiona mtu kafanikisha jambo lolote lile kubwa, ujue kwamba nyuma ya lile jambo kulikuwa na malengo ambayo mtu huyo aliweka na akayafanyia kazi.
Usipokuwa na malengo, ujue kwamba utazunguka huku na kule ila utashindwa kufanikisha jambo lolote lile la maana.
Kwa kulifahamu hili hapa, nimeamua kukuandalia kitabu. Cha NGUVU YA KUWEKA MALENGO.
Kwenye kitabu hiki
Utajifunza jinsi ya kuweka malengo
Aina ya malengo ambayo watu waliofanikiwa huweka na malengo ambayo wewe unapaswa kuweka
Hatua za kufuata ili kufanikisha kila lengo unaloweka
Utavijua vikwanzo vinavyozuia watu kufanikisha malengo yao na ni kwa namna gani unaweza kuvivuka kuhakikisha kwamba umefanikisha malengo yako.Utaona mbinu sahihi za kukukutanisha na watu sahihi wa kukusaidia wewe kufanikisha malengo yako.
Utaona to do list na namna ambavyo unaweza kuitumia to do list kufanya makubwa zaidi
Looh, kitabu kimeshiba sana, aisee…Wacha sasa tufungue kurasa za kitabu hiki na tuanze kuona sura moja baada ya nyingine.
-
The Law Of Attraction Kitabu Kilichoandikwa na Simon Gray
UTANGULIZI
1. Mwandishi wakitabu hiki anatujuza kwamba maisha tunao ni nishati yani kila tofali(seli ) mwilini ni nishati kutokana na fomula ya Albert Einstein:
E=MC2 E= Nishati, M= mwili C = kasi ya mwanga
Kwa hivyo basi, tunao uwezo mkubwa hapa duniani kiasi kwamba huwa tunazo nguvu zakufanya chochote kile tutachodhamiria kufanya, ubunifu, kuyafanya makubwa yoyote tutakapowaza ili kuipanua na kuigeuza dunia kwa mafanikio makubwa kwa makusudi yetu binadamu.
2. Matokeo makubwa huwa yaweza kufanyika pale tutageuza fikra zetu kiakili na mwisho wa siku maisha yetu vile itakuwa nzuri mno.
3. Mhimu zaidi kwanza tunapaswa kuwa na mawazo na mipango mikubwa ya picha au ramani ya maono tunao ya kile tunachopenda au tunachotaragia kutokea kwa uhalisia hapa duniani na kukifanyia kazi.
4. Ramani hii hapa ya maono yako ya siku za mbeleni, huwa itakutia hamasa kubwa ya kujishangilia , na kuwa msukumo wako wa kufanya kile unachotaka kutokea bila kuacha na maro zote kuwa makini bila kutoka kwenye mstari.
5. Mwandishi huyu anachosisitiza kwa nguvu sana ni kuyafanya malengo yako kwanzia na lengo moja likamilishe kisha fanya lingine ukitumia upendo, uvumilivu na unyenyekevu wako wote wakati unapotenda kazi yako kuhusu lengo husika.
Aidha anatukumbusha kwamba dunia nzima inakusubiri na kukusikiliza mpaka pale utayatimiza maono yako!
Yupo tayari?
Mwandishi Dr Busingye Warugaba Amos
Mkurugenzi mku wa WARUGABA AMOS MEDICAL CENTER
mawasiliano kwa:
Simu: 256772367793/ 256708470471
Barua pepe: amosbusingye05@gmail.com
Tovuti: https://warugabamedicalcenter.com -
Kanuni ya miezi sita kwenye biashara

Hakikisha unajipatia nakala ya kitabu hiki. Tumia namba ya simu +255 684 408 755 Kuna kanuni ya miezi sita kwenye biashara ambayo wafanyabiashara wengi hawaifahamu.
Ni kanuni muhimu ambayo kama mfanyabiashara unapaswa kuifahamu. Kutoifahamu kanuni hii kutakuponza sana Kanuni hii inasema kwamba, ukianza kufanya biashara, ndani ya miezi sita ya kuanza biashara kuna watu wengine wataanzisha biashara kama hiyo.
HII kanuni inafahamika kama kanuni ya copy cat. ikimaanisha kwamba baada ya miezi sita kuna watu watakuwa wanafnaya biashara kama ya kwako uliyoanza kufanya baada ya miezi sita.
Kuna watu watazalisha bidhaa kama hizo miezi sita baada ya wewe kuwa umeanza kufanya uzalishaji.
Kwa hiyo hakuna kitu unachofanya kwenye biashara yako ambacho kipo salama ambacho watu hawatakuja kukifanya Sasa unafanyaje kujitofautisha Kitabu hicho hapo

Ni 20,000/- tu Lipia kwa 0684408755 sasa Nakala laini ni 10,000/- Namba ya malipo ni 0684408755 JINA ni GODIUS RWEYONGEZA -
Utajiri haudaiwi mahakamani, ila ukifanya hivi utaupata
Rafiki yangu mpendwa salaam, utajiri ni haki yako ya msingi ambayo unapaswa kupata. Tofauti kubwa ya haki hii na nyingine ni kwamba unapaswa kuipambania.
Wakati haki nyingine zinadaiwa mahakamani, utajiri haudaiwi mahakamani. Utajiri unakuja kwa kutokwa na jasho, damu na machozi.
-
Malengo yako Yasome Kila Siku

-
Semina ya Juni 2024

-
Umewahi kujiuliza kuwa unaweza kupata wapi muda wa Kuandika Kitabu Chako?
Umewahi kujiuliza kuwa unaweza kupata wapi muda wa Kuandika Kitabu Chako? Jibu ni rahisi sana. Na jibu Hilo lipo kwenye SoMo la leo. kupata kitabu cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU, wasiliana na 0684408755 Jina ni GODIUS RWEYONGEZA karibu sana