Home


  • Namba Zetu Za Malipo

    Namba za malipo ya vitabu:

    Namba za lipa

    TIGO PESA: 19016638 Jina ni SONGAMBELE CONSULTANTS

    M-PESA: 5564517 jina ni GODIUS GORDIAN RWEYONGEZA

    Namba za kawaida

    AIRTEL MONEY: 0684408755
    TIGO PESA: 0655 848 392
    M-PESA: 0745 848 395

    Kote jina ni GODIUS RWEYONGEZA

    NB: Kama namba ya malipo anatumiwa mtu ambaye yuko nje ya nchi. Iandikwe Kwa kuanza na +255

    Kwa hiyo namba zinazotumwa nje ya nchi zitakuwa
    Airtel money: +255 684 408 755
    TIGO PESA: +255 655 848 392
    M-PESA: +255 745 848 395

    KOTE Jina ni GODIUS RWEYONGEZA

    Kama malipo yatakuwa yanafanyika kupitia benki.

    Yafanyie kupitia

    1. CRDB BANK: 0150770710200
    2. NMB BANK: 22110047274

    Kote jina ni GODIUS GORDIAN RWEYONGEZA

  • Wasiliana na Godius Rweyongeza Sasa

    Habari yafuatayo ni mawasiliano Unayoweza kutumia kumpata GODIUS RWEYONGEZA

    Simu: +255 (0) 684408755

    Whatsap: +255 (0) 755848391

    Email: songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu vyake wasiliana Moja kwa Moja na +255 (0) 684408755 (more…)

  • Ukiandika Kitabu hata baada ya kuaga Dunia unaendelea kuishi kupitia kitabu chako

    Unaweza kuaga Dunia kimwili, ila ukaendelea kuishi kupitia kitabu chako. Kama hujaandika kitabu chako, Fanya hivyo Leo.

    Hakikisha umepata kitabu Cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU Leo.

    Kupata nakala, nicheki Kwa 0684 408 755

    Wasap: 0745 848 395

  • MAMBO 6 YA KUACHA ILI UFANIKIWE

    MAMBO 6 YA KUACHA ILI UFANIKIWE
    Ili uweze kufikia Malengo na MAFANIKIO unayotaka lazima ukubali kuacha baadhi ya mambo
    🤷MAFANIKIO kwako yanaweza kuwa na maana tofauti ,Kila mmoja wetu na wengi wetu hutafsiri MAFANIKIO ni kama Pesa,umaarufu,majumba,magari,.Wengine hutafsiri kama MAFANIKIO kwako ni furaha,Amani,uhuru,inategemea ni JINSI Gani unaweza kutafsiri MAFANIKIO kwako wewe mwenyewe

    👉Ukijua maana ya MAFANIKIO kwako basi ni MUHIMU sana kujua mambo ambayo yanaweza kukuzuia wewe KUFIKIA MAFANIKIO katika MAISHA
    👇👇
    1)ACHA KUTAFUTA NJIA FUPI ILI KUFANIKIWA
    -Itakuwa mbaya sana kama utafanya hivyo MAFANIKIO ya kweli katika chochote unachotaka utafanikiwa kwa kufanya kazi kwa bidii


    2)ACHA KUWA NA MAWAZO MGANDO
    -Uwezo au ujuzi wa mtu unatakiwa uwe na MAWAZO ya kukua na aina hii ya MAWAZO utafanya kazi kuwa vizuri zaidi na kupata uzoefu zaidi
    3)ACHA KULAUMU WENGINE
    -Utakapofeli katika jambo lako acha KULAUMU wengine siku zote kubaki kuwa wewe mwenyewe ndie unaehusika kwa kiasi kikubwa


    4)ACHA KUSEMA SINA MUDA
    _Anza kuanza kutumia muda wako vizuri na uache kusema huna Muda mwingine wa kufanya jambo la ziada
    Tuna muda wa kiwango sawa kama wengine kwa siku ni kuamua ni njia gani utakavyo tumia Muda wako

    5)ACHA KUTEGEMEA KUPATA ZAIDI BILA YA KUFANYA ZAIDI
    -Unatakiwa kufanya kazi kwa bidii Ili kupata promotion au mshahara mkubwa kazini biashara zilizofanikiwa kupata mapato mengi kwa kutoa THAMANI kwanza kwa WATEJA wao na kupata MAFANIKIO. Acha kusubiri Mpaka mambo yakae sawa ndio uanze kufanya kazi kwa bidii

    6)Acha kusubiri
    -Usikubali uoga wako ukurudishe nyuma chochote ulichokuwa unapanga, unaota,unawaza kama ulipanga kuanzisha biashara chukua hatua hiyo sasa weka uoga pembeni na Anza kufanya kitu

    Makala hii imeandaliwa nami,
    Faith Mark Mrema
    0742 825 286
    Tanzania_Morogoro

  • MAMBO 6 YA KUACHA ILI UFANIKIWE 😊

    MAMBO 6 YA KUACHA ILI UFANIKIWE
    Ili uweze kufikia Malengo na MAFANIKIO unayotaka lazima ukubali kuacha baadhi ya mambo
    …MAFANIKIO kwako yanaweza kuwa na maana tofauti ,Kila mmoja wetu na wengi wetu hutafsiri MAFANIKIO ni kama Pesa,umaarufu,majumba,magari,.Wengine hutafsiri kama MAFANIKIO kwako ni furaha,Amani,uhuru,inategemea ni JINSI Gani unaweza kutafsiri MAFANIKIO kwako wewe mwenyewe

    👉Ukijua maana ya MAFANIKIO kwako basi ni MUHIMU sana kujua mambo ambayo yanaweza kukuzuia wewe KUFIKIA MAFANIKIO katika MAISHA
    👇👇
    1)ACHA KUTAFUTA NJIA FUPI ILI KUFANIKIWA
    -Itakuwa mbaya sana kama utafanya hivyo MAFANIKIO ya kweli katika chochote unachotaka utafanikiwa kwa kufanya kazi kwa bidii


    2)ACHA KUWA NA MAWAZO MGANDO
    -Uwezo au ujuzi wa mtu unatakiwa uwe na MAWAZO ya kukua na aina hii ya MAWAZO utafanya kazi kuwa vizuri zaidi na kupata uzoefu zaidi


    3)ACHA KULAUMU WENGINE
    -Utakapofeli katika jambo lako acha KULAUMU wengine siku zote kubaki kuwa wewe mwenyewe ndie unaehusika kwa kiasi kikubwa


    4)ACHA KUSEMA SINA MUDA
    _Anza kuanza kutumia muda wako vizuri na uache kusema huna Muda mwingine wa kufanya jambo la ziada
    Tuna muda wa kiwango sawa kama wengine kwa siku ni kuamua ni njia gani utakavyo tumia Muda wako

    5)ACHA KUTEGEMEA KUPATA ZAIDI BILA YA KUFANYA ZAIDI
    -Unatakiwa kufanya kazi kwa bidii Ili kupata promotion au mshahara mkubwa kazini biashara zilizofanikiwa kupata mapato mengi kwa kutoa THAMANI kwanza kwa WATEJA wao na kupata MAFANIKIO. Acha kusubiri Mpaka mambo yakae sawa ndio uanze kufanya kazi kwa bidii

    6)Acha kusubiri
    -Usikubali uoga wako ukurudishe nyuma chochote ulichokuwa unapanga, unaota,unawaza kama ulipanga kuanzisha biashara chukua hatua hiyo sasa weka uoga pembeni na Anza kufanya kitu

    Makala hii imeandaliwa nami,
    Faith Mark Mrema
    0742 825 286
    Tanzania_Morogoro

  • Kitabu Siyo Ubwabwa

    Mwanzoni utatumia gharama kubwa
    . Kuandika
    . Kuhariri
    . Kupata ISBN na Barcode
    . Kuchapa

    Huu ni uwekezaji, Kwa sababu kitabu siyo kama ubwabwa kwamba kikiiva unakula unananawa na kusubiri kuandaa kingine.

    Kitabu kikiiva, kimeiva, watu wanaendelea kula maarifa maisha yote, hata baada ya wewe kufa.

    www.songambele.co.tz

  • Usitafute ukamilifu mwanzoni mwa kuandika Kitabu Chako, tafuta kuanza

    Lakini ninachoandika mbona siyo kizuri, anajiuliza mmoja wa waandishi. Ukweli ni kuwa wewe mwanzoni Anza kuandika TU, andika hata kama mwanzoni huoni huo uzuri. Baadaye utaboresha

  • Usisubiri Uwe na Muvi Kichwani Ili uandike kitabu chako. Una mengi ya kuandika leo

    Anayekwambia kwamba usubiri mpaka uwe na muviq kichwani Ili uandike kitabu chako anakudanganya. Wewe hapo ulipoq na ninavyokuona wewe una mengi ya kuandika

    • elimu Yako
    • uzoefu wako
    • utalaam wako
    • kitu unachopenda kufuatilia
    • changamoto zinazoikumba jamii Yako
    • Kitu unachopenda kufuatilia
    • changamoto zinazoikumba jamii
    • na mengine mengi

    haya yote yanaweza kuwa chanzo Cha wewe kuandika na kukamilisha kitabu chako.

    Kila la kheri

    kupata usimamizi au msaada wa kuandika Kitabu Chako tumia 0678 848 396

  • Aina Tano Za Uwekezaji Ambazo Unaweza Kufanya Leo Hii, Zikakupa Faida Hapa Duniani Na Hata Pale Uakapokuwa Umetangulia Ahera

    Kuna aina za uwekezaji ambazo unaweza kufanya leo hii, zikaweza kukuletea faida ukiwa hapa duniani, hata itakapofika hatua ukatangulia mbele ya haki, bado utakuwa unaengeneza faida hapa duniani. Unajua aina hizi za uwekezaji ni zipi?

     

    Aina ya kwanza ni uwekezaji kwenye hisa

    Kama utachagua aina nzuri ya uwekezaji na ukaufanya kwa msimamo, nakuhakikishia kuwa utatengeneza faida ukiwa hapa duniani, na uaengeneza faida ukiwa ahera. Kiufupi ni kwamba wale watu utakaokuwa umewaacha, wataendelea kupata gawio kwa siku nyingi sana hata baada yaw ewe kuwa umetoka hapa duniani.

    Uwekezaji kwenye hisa ni njia nzuri ya kutengeneza faida ukiwa hapa duniani. Unapowekeza katika hisa za kampuni ambazo zina faida, unaweza kupata gawio la faida na pia thamani ya hisa zako inaweza kuongezeka kwa muda. Hata baada ya wewe kufariki, wale walioachiwa urithi wako wanaweza kuendelea kupata gawio na faida kutokana na uwekezaji huu.

     

     

    Aina ya pili ni uwekezaji kwenye vipande.

    Vipande au mutual funds ni njia nyingine bora ya uwekezaji. Kwa kuwekeza kwenye vipande, unakuwa unachangia kwenye mfuko ambao unawekeza kwenye hisa na dhamana mbalimbali. Hii ni njia nzuri ya kupunguza hatari na kuongeza faida. Faida zinazopatikana zinaweza kuendelea hata baada ya kifo chako, na hivyo kuwanufaisha warithi wako.

    Kama ulivyo uwekezaji kwenye hisa. Uwekezaji kwenye vipande na hasa utt amis, ni sehemu nzuri sana ambayo itakuwezesha kuengeneza faida hapa duniani. Na haa baada ya  ya wewe kuwa umeaga dunia, wau utakaowaacha hapa duniani, wataendelea kuengeneza faida kwa siku nyingi zitakazofuata.

     

    Aina ya tatu ni uwekezaji kwenye hatifungani.

    Na hasa hatifungani za serikali. UNAJUA KWA NINI? KWA sababu ni ukweli kuwa serikali haiwezi kuffilisika na hata kuacha kuwalipa wananchi wake. Hivyo, ukiwekeza kwenye hatifungani za serikali maana yake utaweza kupata  faida ukiwa bado hapa duniani, lakini habari njema zaidi ni kwamba, kama utaaga dunia, basi uwekezaji wako bado utaendelea kuwanufaisha wale autakaokuwa umewaacha.

    Aina ya nne ni ya uwekezaji ni uandishi wa kitabu. Kitabu ni kitu kingine ambacho kama utakifanya, kitakufanya upate faida hapa duniani, lakini pia hata baada ya kuwa umetoka hapa duniani, bado utaendelea kuengeneza faida zaidi.

    Kuandika na kuchapisha vitabu ni uwekezaji wa kipekee. Vitabu vinaweza kuuza kwa muda mrefu na kuleta mapato kupitia mauzo na mirabaha. Ikiwa kitabu chako kitakuwa maarufu, kitaleta faida kwa muda mrefu, hata baada ya wewe kufariki, na faida hizi zinaweza kuendeleza familia yako au mirathi yako.

     

    Aina ya tano ni uwekekezaji kwenye katika Mali Isiyohamishika

    Kununua ardhi au majengo ni uwekezaji thabiti ambao una faida ya muda mrefu. Thamani ya mali isiyohamishika kawaida huongezeka kwa muda, na unaweza kupata mapato ya kodi kama ukiamua kupangisha. Hata baada ya wewe kuondoka duniani, mali hizi zinaweza kuendelea kuleta faida kwa warithi wako.

    Aina ya sita ni Uwekezaji katika Biashara

    Kuanzisha na kuendesha biashara yenye faida ni njia nzuri ya kutengeneza kipato kikubwa. Biashara inaweza kuendelea kuendeshwa na warithi wako na kuleta faida kwa muda mrefu hata baada ya wewe kufariki. Kumbuka hapa biashara ninayoongelea siyo hizi biashara nyingi ambazo zimekuwa zinafanywa kwa mazoea na watanzania walio wengi. Bali ni biashara ambazo zinajiendesha zenyewe kwa faida kubwa.

    Aina ya saba ni uwekezaji kwenye elimu ya watoto.

    Kwa kuwa watoto wako ndiyo watakuwa wanaendesha hivi vitu na wanapaswa kuendelea kuviendesha kwa siku nyingi zinazokuja, basi unapaswa unapaswa kuwajengea msingi mzuri wa kujifunza  na kuwap elimu sahihi. Ili kazi yako kubwa isiishie tu kwenye kuanzisha hivi vitu, bali watoto wako waweze kuendelea kuendesha hivi vitu kwa siku nyingi zinazokuja.  Hivyo wajengee sehemu sahihi.

     

    Hizi aina za uwekezaji ni uhakika, zitakupa faida ukiwa hapa duniani na hata baada ya kuwa umeaga dunia. Kwa kuchagua uwekezaji mzuri na kwa kufanya maamuzi ya busara, unaweza kuhakikisha kuwa una faida hapa duniani na pia baada ya kuondoka duniani, wale unaowaacha wanaweza kufaidika kwa muda mrefu pia.

    Makala hii imeandikwa n Godius Rweyongeza

    Kujifunza zaidi kuhusiana na aina hizi mada ambazo nimeeleza hapa. Hakikisha unapata nakala mbil za vitabu. Kwanza ni kitabu cha maajabu ya kuwekeza kwenye hisa, hatifungani na vipande pamoja na kitabu cha Jinsi ya kuw amwandishi mbobevu.

    Kupata nakala yako ni rahisi sana. Lipia 25,000 ambayo ni gharama ya kila nakala. Tuma kwa 0684 408 755 ili uweze kutumiwa nakala yako. Baada ya kufanya malipo, tafadhali wasiliana na namba hiyo hiyo kwa ajili kufanya utaratibu wa kutumiwa vitabu vyako.

     

     

  • Gharama ya uandishi wa kitabu ni uwekezaji. Hii hapa ni sababu Kwa Nini?

    Gharama unayotumia mwanzoni kwenye kuandika Kitabu Chako, ni uwekezaji.

    Kitabu kikishakamlika.
    Kitaendelea kuwepo maisha yako yote na hata baada ya wewe kuaga Dunia.

    Uandishi wa kitabu ni kazi unayofanya mara Moja ila unalipwa maisha yako yote.

    Hata baada ya kufa, kitabu kinakutengenezea faida ukiwa duniani na hata ukiwa ahera.

    Godius Rweyongeza 

    +255755848391

  • Muda wa kuandika Kitabu unausubiri utoke wapi?

    Utasikia mtu anakwambia nasubiri siku niwe na muda wa kutosha Ili niandike.

    Sikiliza. Tena sikiliza vizuri. Muda wa kutosha haupo.
    Hakuna mwandishi mwenye muda wa kutosha.
    Kila mwandishi yuko bize.

    Ila muda mchache TU anaopata anaandika. Hata wewe Fanya hivyo.

    Kusubiri muda wa kutosha Ili uandike kitabu chako ni uongo. Hatusubiri tuwe na muda wa kutosha Ili tule, hatusubiri tuwe na muda wa kutosha Ili tuonge. Hata kama tuko bize, tutatafuta muda TU Ili tule na kuoga

    Sasa inakuwaje tunasubiri muda wa kutosha Ili TUANDIKE? Tunasubiri muda huu utoke wapi?

    www.songambele.co.tz

  • Ile kozi fupi inayokuelekeza namna ya kupakua vitabu mtandaoni hii hapa

    Habari ya leo rafikii yangu, umeshaipata ile kozi fupi ambayo inakuelekeza hatua kwa hatua namna ya kupakua vitabu mtandaoni?

    Kama hukupata hii kozi, muda wako mzuri wa kuipata ni sasa.

    Unaweza kuipata sasa.

    Itakusaidia wewe kuweza kupakua kitabu chochote kile mtandaoni. Itakusaidia wewe kuondokana na hali ya kulipia kila kitabu kila unapokihitaji.

    Utalipia mara moja na kutulia. na utaweza kupakue maelfu kwa maelfu ya vitabu.

    KOZI HII FUPI GHARAMA YAKE NI  10,000/- TU

    LIPIA KWA NAMBA YA SIMU 0684 408 755

    Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu.

    Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangie ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia kiasi kidogo tu.

    Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya mtandao.

    SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea.

    Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

    Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

    Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

    Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana naye kwa +255 684 408 755 na orodha ya vitabu vyenyewe unaweza kuiona HAPA. Chagua unachopenda, kisha twanga,  +255 684 408 755

    Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

    For Consultation only: +255 755 848 391  au godiusrweyongeza1@gmail.com

X