-
Njia Ya Uhakika Itakayokufanya Usitapeliwe Na Mtu Yeyote
Vijana wengi wamekuwa wanatapeliwa kwa kuambiwa fursa ambazo siyo za kweli. Leo hii nakuletea, njia ya uhakika ya wewe kutotapeliwa na mtu yeyote. Njia hii nimeieleza kwa kina kwenye video husika hapo juu.
-
Njia ya uhakika ya wewe kuwa na maisha bora
Wengi wanapenda sana kuwa na maisha bora na kuishi maisha bora, hata hivyo wengi wamekuwa hawajui ukweli kuhusu njia bora na ya uhakika ya kuishi maisha bora. Kitu hiki kimewapelekea wengi kuishi maisha ya kawaida sana na hivyo kushindwa kufikia hayo maisha wanayotamani.
Sasa leo nipo hapa kukwambia jambo moja la muhimu sana kuhusiana na namna unavyoweza kuishi maisha bora. Kitu hiki siyo kingine bali ni KUFANYA KAZI KWA BIDII
Kufanya kazi kwa bidii ndiyo tiketi pekee ya kuishi maisha bora.
Hiki ni kitu ambacho vijana wengi wamekuwa hawajui. wengi wamekuwa wamekuwa wanatafuta njia bora ya kupata mafanikio ya haraka lakini bila ya kufanya kazi, lakini ukweli ni kwamba hakuna njia hiyo ya kupata mafanikio hayo makubwa bila ya kufanya kazi kwa bidii.
Hivyo, rafiki yangu naomba ufanye kazi kwa bidii maana hii ndiyo tiketi pekee ya wewe kufanya kazi kwa bidii.
-
Hii ndiyo sifa kubwa ya kitabu unachopaswa kuandika
Rafiki yangu, sifa moja kubwa ya kitabu unachopaswa kuandika ni kwamba kitabu chako kinapaswa kujikita kwenye kujadili mada moja kwa undani zaidi. Mtu anapochukua kitabu, tunategemea kwamba anapaswa kupata maarifa ya kina kuhusiana na kile ambacho umeandika.
Si jambo zuri kuandika kitabu cha kila kitu.
Ndiyo maana huwa tunaandika kitabu cha pili au cha tatu na kuendelea.
-
Nukuu 14 Za Kufikirisha
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
11.
12.
13.
14.
-
Namna Rahisi Ya Kujifunza Ujuzi Utakaokulipa
Ni ujuzi gani ambao unalipa zaidi na ninawezaje kujifunza ujuzi huu. hapo zamani za kale kama ulitaka kujifunza ujuzi kama huu, ulitakuwa kuhakikisha kwamba unakutana na wabobezi na kujifunza kutoka kwao kwa kufanya. Kitu hiki kiliitwa uanagenzi. Leo hii mfumo wa uanagenzi ni kama umepotea na kuja katika mfumo wa tofauti kabisa.
Ambapo leo hii mtu yeyote mwenye nia ya kujifunza anaweza kujifunza na kunufaika na mafunzo ambayo yanatolewa na walimu mwengi mfano kupitia youtube. Linawezekanaje hili, hayo na mengine mengi nimyaeleza kwenye video hi hapa.
-
Naomba kuanzia leo hii uanze kumfuatilia mtu huyu, hutajutia…
Naomba kuanzia leo hii uanze kumfuatila mtu huyu, hutajutia…
Moja ya kitu ambacho watu wengi wanakosea ni kufuatilia maisha ya watu wengine kuliko wanavyojifuatilia maisha yao binafsi. Ninachotaka ufanyie kazi rafiki yangu kuanzia leo ni kuanza kujifuatilia maisha yako mwenyewe.
Inawezekana moja ya kitu kinachokufanya wewe ufuatilie maisha ya watu wengine ni kwa sababu haujijui.
Hauju ni kitu gani unapaswa kufanya.
Haujui ni kipaji gani ulichonacho.
Hiki kitu kinakupelekea wewe kufuartilia maisha ya watu wengine., unafuatilia wengine wanaishije, unafuatilia wengine wanakula nini na mengine mengi.
Huyo hapaswi kuwa wewe.
Leo jipe kazi moja tu. Kazi ya kujifuatilia wewe mwenyewe. Kwamba wewe ni nani, kwa nini uko hapa duniani na nini haswa ambacho unapaswa kuwa unafanyia kazi? Jipe hili jukumu rafiki yangu, nina uhakika kwa kujifahamu mwenyewe utaweza kupiga hatua kubwa kwenye maisha yako.
Hakuna ukuaji wowote utakaoupata kwa kufuatilia maisha ya watu wengine. Lakini utaweza kupata ukuaji mkubwa kwa kitendo cha kujifuatilia mwenyewe tu. Hivyo, jifuatilie mwenyewe kwanza.
SOMA ZAIDI: Mfuatilie huyu jamaa kwa mwezi mmoja tu, wewe mwenyewe utaniambia utakachoona
Umekuwa name rafiki yakow a ukweli
Godius Rweyongeza
Nifuatilie youtube kupitia hapa
-
Nukuu 15 Za Kufikirisha
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
11.
12.
13.
14.
15.
-
Muda mzuri wa kupanda mti ilikuwa ni miaka 10 iliyopita…muda mwingine mzuri zaidi ni sasa
Wahenga wanasema kwamba muda mzuri wa kupanda mti ulikuw ani maiaka 10 iliyopita, na muda mwingine mzuri zaidi ni sasa.
Chukua hatua sasa.
-
Njia ya kukusaidia kufanya makubwa
rafiki yangu mpendwa, wengi wamekuw awnatamani kufanya makubwa kwenye msiah ayo. hata hivyo, siyo waote wamekwuwa wanaishia kufanya makbwa. Mjaya sababu kwa nini watu wengi hawawezi kufanya makubwa ni kwa sababu hawajui kitu kimoja u, ambacho nimekieleza zaidi kwebye kitabu hiki.
-
Mtag ambaye ungependa ujumbe huu umfikie
Kwenye vipindi mbalimbali vya redio huwa kuna kipindi cha kutuma salamu na ujumbe.
Kama kuna mtu ambaye leo hii ungependa ujumbe huu umfikie mtag hapa ili aje auone.
UWE NA SIKU NJEMA