-
Njia Mpya Ya Kupakua Vitabu Mtandaoni
Kwa wale wanaopata shida kupakua vitabu Mtandaoni. leo nimekuja na suluhisho. hakikisha unaagalia video hii Mpaka mwisho. BONYEZA HAPA KUIANGALIA kila la kheri.
-
Nani anapaswa kusoma vitabu na kwa nini
Kuna MTU kaniuliza swali hili, Nani anapaswa kusoma vitabu na kwa nini Jana kwa upande wangu imekuwa Ni moja ya siku moja bize Sana. niliamka saa nane usiku, nililala saa sita usiku. Na hapa nipo ikiwa Ni saa kumi alfajiri nimeahaamka. Ninachotaka kukwambia siku ya leo siyo kuamka mapema, Bali kusoma vitabu. Ninaamka mapema hivi…
-
Ushauri Huu Haufanyi Kazi Kwenye Uwekezaji
Mara kwa mara utasikia watu wanakwambia Kuwa unapaswa kuanza kwanza, mambo mengine utayajua wakati unaendelea na safari. Hicho kitu kinafanya kazi vizuri sana na nimekuwa nikikitumia kwa siku nyingi . Ila Sasa siku ya leo ningependa nikuongezee ushauri muhimu hasa kwa upande wa uwekezaji. Kwenye uwekezaji Ni muhimu kwako kufanya utafiti wa kina Kabla hujaamua…
-
App Itakayokusaidia Kutuma SMS baadaye, kupiga simu kwa wakati na kudai hela zako😂😂
Katika makala ya leo tunaenda kuona namna ya kuandaa ujumbe leo na ukautuma siku ya krismasi au mwaka mpya. HutahItajika kuuandika tena au kuutuma tenaTutaona namna ya kupanga kumpigia siku za mbeleni na ukampigia kwa uhakika bila kukosa hata dakika 1Tutaona namna ya kupangilia watu wa kuwasiliana nao.Tutaona njia nzuri ya kukukumbusha kufanyia kazi majukumu…
-
STRIVE MASIYIWA
STRIVE MASIYIWA Strive Masiyiwa ni bilionea wa Zimbambwe ambaye alizaliwa mwaka 1961 huko nchini Zimbambwe. Alikulia nchini Zimvambwe na baadaye alienda kusoma masomo ya chuo kikuu nchini Uingereza akisomea uhandisi. Baada ya masomo Strive Masiyiwa kama walivyokuwa watu wengine wazalendo wa kipindi kile alirudi nchini mwake kwa ajili na kuanza kufanya kazi na shirika la…
-
Makosa ambayo watu hufanya wanapotaka KUONGEZA chanzo kingine Cha kipato
Utakuwa umegundua kuwa wiki hii nimekuwa nikikushirikiaha nakala zinazoeleza ni kwa namna gani unaweza KUONGEZA chanzo kipato Cha ziada. Sasa Leo napenda kukwambia kuwa bado sijamaliza nilichokusudia kukwambia. Kwenye hii makala ya leo ningependa ujue makosa ambayo watu hufanya wanapotaka KUONGEZA chanzo kingine Cha kipato. Makosa yenyewe ni Kosa la kwanza wanaanzisha chanzo kwenye eneo…
-
Siri Hii Wanayoijua Matajiri Unapaswa Kuijua Pia
Tujifunze kwa bahari Kila mwaka huwa kuna mito na vijito ambavyo huwa huwa vina maji na baadaye hukauka. Wakati mito hivi na vijito, vikikauka, bahari huwa haikauki hata siku moja. Unajua kwa nini bahari huwa haikauki, moja ya kitu ambacho huwa kinafanya bahari isikauke ni kwa sababu huwa inapokea maji kutoka kwenye vyanzo vingi. Kadiri…
-
Baadhi Ya Vyanzo Vya Kipato Ambavyo Unaweza Kuwa Navyo
1. AjiraHiki ni chanzo maarufu ambacho wengi huwa wanakuwa nacho. Chanzo hiki huwa kinaingiza kipato (ujira) kila baada ya muda fulani (siku,wiki au mwezi). Kwa MTU yeyote ambaye hana sehemu ya kuanzia hakikisha walau unaanzia kwenye ajira. Ukipata ajira hakikisha unaifanya kwa uaminifu na kwa kujituma. Maana ajira inaweza kukupelekea wewe kupata vyanzo vingine zaidi.…
-
Viashiria Vinne Vya Uhuru wa kweli. Kama hauna hivi vitu jua huna Uhuru..
Leo Ni tarehe 9 Disemba, ni siku uhuru hapa nchini Tanzania. Sikupanga kuandika chochote kuhusiana na uhuru, ila ngoja niandike haya machache kuhusiana na uhuru wako binafsi. Watu wengi huwa wanachanganya kuwa kwa kuwa nchi iko huru Basi na wao wako huru. Siyo kweli, Kuna viashiria ambavyo vinaweza kuonesha kuwa wewe uko huru au hauko…
-
Kwa Nini Unahitaji Kuwa Na Vyanzo Vingi Vya Kipato
Unahitaji Kuwa na vyanzo vingi vya kipato Moja ya Kitu Cha muhimu ambacho unahitaji kuhakikisha umekizingatia ni kuwa na vyanzo vingi vya kipato. Labda swali la kwanza la kujiuliza ni je, vyanzo vingi vya kipato maana yake nini? Vyanzo vingi vya kipato, Ni pale unapokuwa unaingiza kipato kwa njia zaidi ya moja. Yaani, siyo tu…
-
Jinsi Ya Kufungua akaunti ya mfuko wa FAIDA (FAIDA FUND)
Juzi niliandika makala kuhusu mfuko wa FAIDA (FAIDA FUND). Swali ambalo nilipokea kutoka kwa wengi waliosoma makala hii lilikuwa ni kwa namna gani naweza KUFUNGUA akaunti kweye mfuko huu wa FAIDA. KITU hiki kimenisukuma nikuandalie Makala nyingine kukuonesha ni kwa namna gani unaweza KUFUNGUA akaunti kwenye mfuko huu wa FAIDA. Unajua unawezaje kufungua akaunti. Fanya…
-
Kitu Kimoja Kinachopaswa Kukufanya Usome Vitabu Vya Hardcopy badala ya Softcopy
Rafiki yangu, linapokuja suala la softcopy au hardcopy watu wamekuwa wanakuwa na mtazamo tofauti. Wapo wanaopendelea hardcopy na wapo wanaopendelea softcopy na wengine wanapendelea audiobook kama huyu hapa Kwa upendeleo wowote atakaokuwa nao mtu, hakuna ambaye anakuwa sahihi wakati mwingine akiwa hayuko sahihi. Kitu kikubwa sana ni kupata maarifa yaliyo kwenye kitabu na kuyafanyia kazi.…
-
Jinsi ya kupata matokeo ya tofauti mwaka 2023
Kuna kitu kimoja nakijua kuhusu wewe rafiki yangu. Na kitu hiki ni kwamba mwaka 2023, ungependa kupata matokeo ya tofauti. Matokeo ya tofauti kwenye kila eneo ambalo utakuwa ukilifanyia kazi. Kama unataka kupata matokeo ya tofauti mwaka 2023, basi hakikisha kwamba unakuwa tayari kufanya vitu vya tofauti. Yaani, vitu ambavyo hujawahi kufanya siku za nyuma.…
-
Faida Tatu KUBWA unazopata pale unapowekeza kwenye hisa
Rafiki yangu, umewahi kuwaza kwamba ukiwekeza kwenye hisa utanufaika na kitu gani? Kuna faida nyingi za kuwekeza kwenye hisa, ila kwenye hii makala ya siku ya leo ningependa kuongelea faida mbili kubwa kwa haraka Faida ya kwanza ya kuwekeza kwenye hisa ni kupata ongezeko la thamani. Ongezeko la thamani ni pale unaponunua hisa kwa bei…
-
Njoo Uongeze Kipato Chako Mara Mbili Zaidi Mwaka 2023
Kuna kitu kimoja nilicho na uhakika nacho juu yako rafiki yangu…Kitu hiki ni kwamba, ungependa kuongeza kipato chako walau mara mbili zaidi ndani ya mwaka 2023! Na hiki ni kitu ambacho ningependa kukusaidia ukifanikishe ndani ya mwaka 2023! Kuanzia tarehe 15 januari 2023, tutakuwa na semina ya kufungua mwaka mpya 2023, lengo kubwa la semina…
-
Mfuko wa FAIDA (FAIDA FUND): Unawekeza au Huwekezi?
Watumishi Housing Investment (WHI) wameanzisha mfuko wa uwekezaji wa pamoja ambao wanauita MFUKO WA FAIDA au kama unaielewa vizuri lugha ya kigeni basi unasema FAIDA FUND. Mfuko wao ni mfuko ulio wazi (open-endend). Kama bado hujasoma kitabu changu cha maajabu ya kuwekeza kwenye hisa, hatifunagni na vipande lazima tu utakuwa unajiuliza mfuko ulio wazi maana…
-
SEMINA YA KUFUNGUA MWAKA: Karibu kwenye Semina ya kufungua mwaka 2023
Kila mwanzo mwa mwaka na katikati mwa mwaka huwa Kuna semina ambayo huwa naiendesha. Mwakani wakati wa kufungua mwaka mpya tunatarajia kuwa na semina ya kufungua mwaka ambayo itafanyika kuanzia tarehe 15. Na itadumu kwa siku 15 mfululizo. Semina hii ya kipekee ambayo itafanyika kwa njia ya mtandao, inalenga kukupa maelezo ya kina yatakayokusaidia kuuanza…
-
Maisha ndiyo hayahaya rafiki yangu
Rafiki yangu wa ukweli, moja ya kitu ambacho watu huwa wanafanya kwenye maisha yao ni kusubiri kila kitu kiwe sawa ili waweze kufanyia kazi malengo na ndoto zao. Ila ninachotaka kukwambia rafiki yangu ni kwamba, hakuna hata siku moja ambayo kila kitu kitakaa sawa kwa ajili ya kukusubiri wewe ufanyie kazi malengo yako. Maisha ni…
-
Bei kisiwe kigezo cha wewe kuuza
Moja ya dhana ambayo watu huwa wanatumia kwenye kuuza ni kuuza kwa bei ya chini. rafiki yangu, nataka kukwambia kitu kimoja muhimu sana, kwamba mara zote usishindane kwa bei. Maana kadiri unavyopunguza bei, mara zote utakuta kwamba kuna mtu anawezakupunguza bei zaidi yako. Hivyo, bei kisiwe ndiyo kigezo pekee cha wewe kuuza.
-
Wafanyakazi na mfumuko wa Bei
Kila tarehe 1 mwezi Mei. Macho na masikio yote ya wafanyakazi huwa yapo kwa kiongozi mkuu wa nchi kuona kama atawaongezea mshahara. Unajua kwa nini huwa wanataka ongezeko la mshahara? Ni kwa sababu kile kipato wanachokuwa nacho mwanzoni kinakuwa hakitoshi kuwafanya wamudu mahitaji ya kila siku. Hivyo, ongezeko la mshahara likiwepo kweli, linaweza kuwa suluhisho,…
