-
Jinsi Ya Kushughulika Na Fedha Unazopata Kutokana Na Kipaji Chako
Limekuwa ni kama jambo la kawaida kusikia watu waliokuwa na vipaji na watu ambao wakati fulani walikuwa wakiingiza fedha nzuri kupitia vipaji vyao wakiwa hawana fedha. Vyombo vya habari, vimekuwa vikiripoti kuwa hawa watu hawana fedha na muda mwingine kupitisha mchango ili hawa watu waweze kupata mahitaji yao ya muhimu au hata kupata sehemu ya…
-
Jinsi Kizazi Kinachostaafu Kinavyoweza Kuandaa Kizazi Kijacho
Mara kwa mara nimekuwa nakutana na watu wazima wenye umri wa miaka 50 na zaidi au niseme watu walio kwenye umri wa miaka ya kustaafu, kila ambapo nimekuwa nikiongea na watu hawa kuhusiana na vipaji basi wenyewe moja kwa moja wamekuwa wakiniambia kuwa umri wao umeshaenda, hivyo kwao huu sio muda tena wa wao kunoa…
-
Ukipenda pesa, lazima upende na kazi
Rafiki yangu mpendwa, vitu vingi vilivyo hapa duniani huwa vinaenda viwili viwili.Mfano ukiongelea juu, lazima kuwepo chini.Ukisema mbele lazima kuna nyumaUkizungumzia kulia sharti kuwepo kushoto pia Sasa hiki kitu kina funzo kubwa sana kwetu na hasa kwenye kutafuta fedha na mafanikio.Na ujumbe ni kuwa ukipenda fedha lazima upende kazi. Ni wazi kuwa huwezi kupata fedha…
-
KIPAJI NI DHAHABU: Jinsi Ya Kukigundua, Kukinoa Na Kukitumia Kipaji Chako Kwa Manufaa
Kwenye kurasa za kitabu hiki nimeeleza kipaji kwa kina kiasi kwamba kama kitabu hiki anakisoma mtoto wa miaka sita aweze kunielewa. Kwenye sura ya kwanza nimeanza kwa kueleza kwamba kipaji ni kitu gani? Ambapo nimeeleza dhana nzima ya kipaji na jinsi kinavyofanya kazi. Kwenye sura ya pili nimeeleza namna ambavyo unaweza kugundua kipaji chako. Je,…
-
KIPAJI NI DHAHABU:Jinsi Ya Kukigundua, Kukinoa Na Kukitumia Kipaji Chako Kwa Manufaa
∞∞∞∞∞UTANGULIZI∞∞∞∞∞ Nakumbuka mwaka 2013 nilikutana na vijana wenzangu ambao walikuwa kwenye mjadala mkali kuhusiana na Messi, Ronaldo na Neymar. Kwenye mjadala huu walikuwa wakijadili kuhusiana na uwezo wa wachezaji hawa, huku wengine wakisema kwamba Messi na Neymar wana kipaji ila Ronaldo akiwa anatumia nguvu. Nadhani kama wewe ni mpenzi wa soka, mijadala kama hii…
-
Ugunduzi mkubwa wa Zama Hizi…
Rafiki yangu moja ya ugunduzi mkubwa wa Zama Hizi ni kuwa wewe unaweza kubadili maisha yako na kuwa vyovyote vile unavyotaka.Unaweza kuwa TajiriUnaweza kuufikia Uhuru wa KifedhaUnaweza kuwa na mahusiano mazuriUnaweza kuwa na familia bora n.k. Rafiki yangu yangu, hakuna ukomo wa vile unavyoweza kuwa au kufikia kwenye maisha. Labda tu ukijiwekea ukomo wewe mwenyewe.…
-
Usifanye kitu mara moja…
Kama unataka kubobea kwenye kitu, usifanye hicho kitu mara moja. badala yake kifanya mara kwa mara na kwa mwendelezo. Kadiri unavyofanya kitu au kazi mara kwa mara inakupa nguvu na ufanisi na hata kujiamini. Marudio yako kwenye kufanya kazi yanakufanya uzidi kubobea na hatimaye unakuwa bingwa. Mchezaji bora wa mpira wa miguu siyo yule ambaye…
-
Uchambuzi Wa Kitabu: 25 Hours a Day; Going One More to Get What You Want
Mwandishi: Nick BareMchambuzi: Hillary MrossoSimu: 255 683862481 UTANGULIZIKaribu katika uchambuzi wa kitabu bora sana cha 25 Hours a Day. Kikiwa na maana ya kwenda hatua moja zaidi kupata kila unachokitaka. Mwandishi ametumia uzoefu wake wa kijeshi kutengeneza nidhamu kubwa kwenye maisha yake binafsi, maisha ya biashra na mafanikio. Kama unavyojua jeshini kikubwa ni nidhamu ya…
-
Aina Tatu Za Ujuzi Unaohitaji Ili Kuongeza Thamani Yako Na Kula Mema Ya Nchi
Kwenye hii makala ningependa tuongelee aina tatu za ujuzi ambao ukiwa nao kwenye hizi zama ni wazi kuwa unaenda kufanya vizuri na hata kuweza kufikia viwango vikubwa na vya hali ya juu sana kuliko unavyotegemea. Najua umewahi kushauriwa kujifunza aina nyingi za ujuzi, ila kwenye aina hizo zote za ujuzi ambao umewahi kushauriwa kuwa nao,…
-
Kitabu ChaNGUVU YA VITU VIDOGO KUELEKEA MAFANIKIO MAKUBWA: Utangulizi wa kitabu kama ulivyoandika kwenye kitabu chenyewe
Habari ya siku ya leo rafiki yangu, siku ya leo ningependa nikushirkishe Utangulizi wa kitabu cha NGUVU ya vitu vidogo kama ulivyoandikwa kwenye kitabu chenyewe. Nina hakika wewe mwenyewe utaufurahia, baada ya kuwa umesoma Utangulizi huu, usisite kujipatia nakala ya kitabu hiki kwa kuwasiliana nami mwandishi kwa simu 0755848391. Sasa utangulizi wenyewe huu hapa chini.…
-
Vitabu Viwili Unavyopaswa Kuhakikisha umesoma mwezi huu wa tisa
Habari ya leo rafiki yangu, siku ya leo ningependa kwa ufupi nikwambie vitabu vitano ambavyo unapaswa kusoma ndani ya mwezi huu wa tisa. Bila kupoteza muda, vitabu vyenyewe ni 1. The school of money Hiki ni moja ya kitabu muimu sana ambacho unapaswa kusoma hasa kuhusiana na suala zima la fedha. Kitabu hiki ndani yake…
-
JINSI UBUNIFU UNAVYOWEZA KUKUINUA KWENYE BIASHARA
Siku moja nilikuwa naongea na rafiki yangu Edius Katamugora, akawa ameaniambia juu ya kinyozi aliyekuwa anatengeneza app ya kuwakumbusha wateja kurudi kunyolewa. Yaani, app yenyewe ingekuwa inafanya kazi hivi, Pale Ambapo ungekuwa unaenda kunyoa kwa yule fundi kinyozi, angekuwa anachukua namba yako, saa chache baada ya kuwa umenyoa app ingekutumia ujumbe kukushukuru kwa kuja konyoa.…
-
Vitu vitano ambavyo hupaswi kuvipoteza kwenye safari yako ya mafanikio
Siku ya leo nataka nikwamie vitu viwili vikubwa sana ambavyo hupaswi kupoteza kwenye safari yako ya kufikia ndoto zako. Kwanza usipoteze ndoto yako kubwa Hiki ni kitu muhimu sana. ukipoteza ndoto zako maana yake unapoteza ile motisha na ile nguvu ya kukusukuma wewe kuweza kufanya kitu cha tofauti. Mara zote na sehemu zote hakikisha kwamba…
-
NGUVU YA KUFANYA MAZOEZI
Ukitoa jasho jingi wakati wa mazoezi, utavuja damu kidogo wakati wa vita Siku moja rafiki yake Kobe Bryant alimtembela Kobe, sasa wakati wanaongea wakawa wamekubaliana kuwa kesho yake alfajiri yule rafiki yake Kobe ambaye pia alikuwa kocha angekuja kushirikiana na Kobe kwenye kumsaidia kufanya mazoezi. Wakawa wamekubaliana muda wa kukutana ambao ulikuwa ni saa kumi…
-
Njia nzuri ya kuwaambia watu wakulipe katika kipindi hiki ambacho gharama za miamala zimeongezeka
Nakumbuka mwaka juzi baada ya kuwewa kwa tozo za miamala kwa njia ya simu niliandika makala moja ndefu sana kuhusiana na namna ambavyo tungeweza kukabialiana na hiyo hali kwa ustadi zaidi. Utakumbuka kwenye hiyo makala nilieleza wazi kuwa moja ya eneo ambalo tunapaswa kulitumia vizuri kwenye kuweka akiba katika kipindi hicho ambacho miamala ya simu…
-
Sehemu sahihi ya kuweka akiba yako
Jana kwa nyakati tofauti watu watatu walinipigia na kuniuliza swali ambalo kwangu lilikuwa ni kama swali moja tu. japo kila mtu alikuwa na namna yake ya kulitoa hilo swali, ila kilichonishangaza ni kuwa hilo swali lilikuwa na vipande vitatu muhimu ambavyo vinafanana. Kwanza kila mtu alitaka kuweka akiba sehemu nzuri Sehemu ambayo haina makato Sehemu…
-
Uchambuzi wako pendwa umesomwa kwa sauti (Kitabu cha how to stop worring and start living)
Wiki hii kweney blogu ya songambele tumefanya uchambuzi wa kitabu c ha How to stop worrying and start living. ni uchambuzi ambao umesomwa na watu wengi na wengi wameupenda. kutokana na hilo tumeona ni vyema ukasomwa kwa sauti, na hiki kitu ndicho kimenisukuma niulete hapa siku ya leo. huu hapa chini ndio uchambuzi wa kitabu…
-
Vitu Vitano Vitakavyokuzuia wewe kufanikisha malengo yako
Siku siyo nyingi nilipokea ujumbe kutoka kwa mmoja wa watu wanaofuatilia kazi zangu mtandaoni. Kitu kikubwa sana ambacho aliweza kuniambia ni kuwa anapata changamoto hasa anapoweka malengo, anashangaa siku zinaenda ila hayo malengo yake hayatimiii. Sasa siku ya leo kwa namna ya kipekee ningependa kumjibu huyu rafiki pamoja na watu wengine wengi ambao wanawakuwa na…
-
Uchambuzi Wa Kitabu: How To Stop Worrying and Start Living
NB: kusikiliza makala hii kwa njia ya sauti. Bonyeza hapa Kitabu: How To Stop Worrying and Start Living Mwandishi: Dale Carnegie Mchambuzi: Hillary Mrosso Simu: +255 683 862 481 Utangulizi Jina la kitabu hiki lenye maana ya Namna ya kuachana na hofu na kuanza kuishi. Ni kitabu bora sana kinachoelezea namna ya kukabiliana na hofu…
