Category: A NOTE FROM SONGAMBELE

  • Tai Anatufundisha Somo Hili Kubwa Kuhusu Maisha Ya Mafanikio

    Tai Anatufundisha Somo Hili Kubwa Kuhusu Maisha Ya Mafanikio

    Siku ya leo nataka tujifunze kutoka kwa tai. Kuna mengi ya kujifunza Kutoka kwa tai ila kwa leo acha twende na hili. Tai akitaka kumla nyoka anamnyanyua kwa nguvu na kwa spidi kali ambayo nyoka hawezi kuhimili mpaka juu, Kisha anamwachia. Nyoka akiwa bado hajaelewa kinachoendelea tai anamdaka haraka kabla hajadondoka chini na kupanda naye…

  • Amsha Uungu Ulio Ndani Yako: Siri Kuu Ya Mafanikio Kutoka Kwa Socrates

      Socrates anaaminika kuwa miongoni mwa watu waliokuwa na busara katika ugiriki yote katika nyakati zake. Kipindi hicho kijana mmoja alimfuata kumwomba ushauri wa namna ya kufanikiwa. Kwa busara Socrates akamwambia njoo siku fulani. Yule kijana akawa kweli ametokea siku hiyo ili aambiwe siri ya mafanikio. Nadhani yule kijana alikuwa anataka njia ya mkato ya…

  • Kinachokukwamisha Wewe Kuandika Kitabu Chako Ni Hiki..

    Kama Kuna kitu watu wamekuwa wanasema kwamba halijakaa sawa ni mfumo wa elimu. Umekuwa unalalamikiwa kwaKukaririsha watu vituKutokujjenga watu wenye ujuziKutokuwaandaa wahitimu kwa ajili ya maisha baada ya chuo n.k. Kwenye hili naweza kusema kuwa Kuna kitu kimoja watu huwa wanakisahau. Kitu hiki ni namna mfumo wa elimu unavyozuia watu kutumia uwezo wao mkubwa wa…

  • Ugunduzi mkubwa kuwahi kufanyika hapa duniani

       Zimewahi kufanyika gunduzi nyingi sana hapa duniani. Na hata leo hii bado kuna gunduzi nyingi zinaendelea kufanyika. Hata hivyo, kuna ugunduzi mkubwa ambao ndiyo ugunduzi nambari moja kukiko ugunduzi mwingine unaoufahamu wewe. Na ugunduzi huu ni kuwa mtu anaweza kubadili maisha yake akibadili mtazamo wake. Hii ni kauli ya James Allen ambayo aliitoa kwa…

  • Huu Ndio Muda Ambao Unapaswa Kufanikiwa Kwa Viwango Vikubwa Sana

      Rafiki yangu hongera sana kwa siku hii ya kipekee sana.  Sku ya leo nilipenda tu nikueleze kuwa kuna muda ambao wewe hapo unapaswaa kufanikiwa kwa viwango vikubwa. Na muda huu ni pale ambapo unkuwa hauna kitu chochote kile cha kupoteza. Kama ndio kwanza unaanza na hauna vitu vingi ambavyo unaweza kusema kwamba utapoteza basi…

  • Kama Kuna Kitabu Ambacho Ungependa Kusoma Fanya Hivi

    Kama kuna kitabu ambacho unaona kwamba hakijaandikwa basi chukua hatua wewe hapo kukiandika. Kama kuna wimbo ambao ungependa kuusikiliza ila unaona kwamba haujaimbwa uimbe wewe hapo. kama kuna mchoro ambao ungependa kuuona basi uchore wewe, hapo. Usipoteze muda wako kujadili vitu ambavyo wewe mwenyewe unaweza kusbabisha na kuvileta kwenye uhalisia. Na kama huwezi kuvileta kwenyey…

  • HAKIKISHA UNAZIMA KIFAA CHAKO CHA KIELETRONIKI UNAPOENDA KULALA

       Rafiki yangu hongera sana kwa siku hii nyingine ya leo. Siku ya leo nina ujumbe mfupi tu kwako ambao ningependa uufahamu. Na ujumbe huu ni kuwa hakikisha unazima kifaa chako cha kieletroniki kila unapoenda kulala. Kwenye zama hizi imekuwa ni tabia ya watu kuwa mtu anapoamka asubuhi, mpaka usiku anapoenda kulala, anakuwa amefungulia vifaa…

  • Fursa Ya Wazi Ambayo Unaichezea

    Kuna fursa ambazo naona wazi vijana hawazitendei haki. Na pengine wanachukulia poa hii fursa.  Lakini pengine fursa hii wangeipata mababu wetu, basi wangefurahi sana. Au kama hao mababu wetu wangekuwa leo hii wanakuja na kuona jinsi wewe  unavyoamua kuchezea fursa hii wangekupiga Kofi.  Fursa hii sio nyingine, Bali fursa ya mtandao wa intaneti. Mtandao umekuja…

  • Vitabu Nane (08) Nilivyosoma Mwezi Wa Saba

    Hiki ni kitabu cha TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA Kuanzia mwezi huu nimeanzisha utaratibu mpya ambao utakuwa unaniwezesha mimi kukushirikisha vitabu ambavyo nimesoma ndani ya mwezi uliotangulia. Kutoka kwenye orodha hiyo, nitakuwa nakuelekeza kitabu kimoja utapaswa kusoma Hivyo leo hii ninaenda kukushirikisha vitabu NANE ambavyo nilisoma mwezi uliopita. Kila kitabu nitapata nafasi ya kukiongelea kidogo, na…

  • ACHA KUUA BIASHARA YAKO KWA KUFANYA VITU HIVIA HAPA. Vitu Saba (07)Ambavyo Unafanya Ila Vinaua Biashara Yako

    Nichukue nafasi hii kukushukuru wee rafi ki yangu ambaye umekuwa unatembelea blogu kila mara.  Asan te sana. wewe ndiwe unanifanya niendelee kuandika kila siku na kuweka masomo mapya hapa bila kuchoka. Nafurahi kuona kwamba blogu hii inawafikia maelfu ya watu kila mwezi. Ambao ninaamini wananufaika na hiki kinachoandikwa humu na hivyo kuendelea kuja zaidi ili…

  • Jijengee Utaratibu Wa Kusema Kidogo Na Kuwa Na Matendo Makubwa

    Kuna usemi kuwa ni rahisi kusema ila vigumu kutenda. Na katika ulimwengu huu ambao tunaishi sasa hivi wasemaji ni wengi. au watu wenye maneno ni wengi. unaweza kukuta watu kwenye mitandao yao ya kijamii wameandika kwamba wao ni wakurugenzi wa makampuni, wakiwa hawaweki juhudi za kuanzisha hayo makapuni.   Kitu pekee ambacho ninaweza kusema kwako…

  • Haya Ni Maajabu Yaliyojificha Kwenye Kutoa

      Rafiki yangu kuna nguvu kubwa sana katika kutoa. Hii ni tabia ambayo unapaswa kujifunza na kuifanyia kazi kila siku. Nadhani utakuwa umewahi kusikia kuwa matajiri wana hadi mashirika ambayo yanahusika na utoaji. Kwa mfano, Bill Gates ana shirika la GATES AND MELINDA FOUNDATION. Elon Musk ana shirika la MUSK FOUNDATION na mabilionea wengine pia…

  • Watu wanasukumwa na uroho wa kutajirika haraka linapokuja suala la fedha. Hivyo kwa sababu ya uroho huo wanajikuta kwamba wamewekeza fedha zao ambazo wamezitafuta kwa jasho kwenye mambo ambayo hata wao hawaelewi. Lengo lao likiwa ni kupata fedha nyingi kwa hara sana. rafki yangu u nakosea sana, tupo katika ulimwengu ambao paarifa mengi yanapatikana na…

  • Hiki Ni Kipimo Tosha Kwamba Sasa Umekomaa Kwenye Fedha

    Kama unaweza kutembea na fedha, ukakutana na vitu vya kununua ila ukaacha kuvinunua japo una fedha, basi hapo ujue umeanza kukomaa. Kama hauna uwezo huu basi anza kuujenga. Tembea na kiasi fulani cha fedha, watu wakija kwako na vitu vya kukuuzia, wewe usinunue. Kila utakapopata kishawishi hiki, kishinde kwa kutoitumia hiyo fedha. Fanya hivyo kwa…

  • Hii Ni Tabia Moja MUhimu Ya Fedha Ambayo Unapaswa Kuifahamu

    Kuna tabia moja ya fedha ambayo ningependa uifahamu siku hii ya leo. Na tabiai hiii ni kwamba fedha huwa inawaendea zaidi wale wenye nazo na kuwakimbia wale ambao hawana. Kwa hiyo kama wewe una tabia ya kuwa unapokea fedha na kuitumia yote kwa mkupuo bila kubakiza kitu, unapaswa kufahamu kwamba fedha zitakuwa zinakukimbia mara kwa…

  • Hiki Ndicho Kitu Kinachofanya Watu Wakuombe Fedha

    Rafiki yangu bila shka umekuwa na siku bora sana. hivi umewahi kujiiuliza ni kwa nini ukiwa na fedh ndio watu wanajitokeza kukuomba fedha? Ila pale zikiisha tu watu wanaondoka mpaka pale utakapokuwa na fedha? Kuna kitu kimoja tu ambacho kinawafanya watu wakuombe fedha. Na kitu hiki ni kuwa wewe ukipokea fedha hautulii. Badala yake unakuwa…

  • Maneneo Sita (06) Ambapo Kila Kijana Mwenye Miaka 20-29 Anapaswa Kuwekeza

    Habari ya siku hii ya kipekee rafiki yangu, karibu sana kwenye makala hii ya siku ya leo. Ambapo tunaenda kujifunza maeneo sita kwa kjjana yeyote mwenye miaka kati 20-29 anapaswa kuwekeza.   Labda unaweza kujiuliza kwa nini leo niongelee kuhusu miaka 20-29. Jibu lake ni kwamba, hiki ni kipindi ambapo vijana wengi wanakuwa na ndoto…

  • Mafunzo Saba (07) Muhimu Kutoka Kwa Wajasiliamali Saba Waliofanikiwa Kibiashara Kwenye Karne Ya 19

    Siku ya leo ninaenda kukuletea masomo saba muhimu kutoka kwa wajasiliamali na wagunduzi bora a karne ya 19. Kutoka kwa watu hawa utaweza kujifunza mengi ambayo unaweza kuchukua hatua. Ujue ipo hivi rafiki yangu. Kwenye maisha unaweza kuamua kujifunza kutoka kwa watu waliofanikiwa au unaweza kuamua kujifunza ambao hawajafanikiwa. ubora wa kujifunza kwa watu waliofanikiwa…

  • Maeneo Matatu (03) Ya Kutembelea Unapokuwa Mtandaoni

    Usikose kutembelea maeneo haya matatu kila unapoingia mtandaoni kila siku. Ujue watu huwa wanaingia mtandaoni kwa kusukumwa na vitu mbalimbali. ila kwa jinsi ambavyo ninakufahamu wewe moja ya kitu ambacho kinakukfanya uingie mtandaoni ni kujifunza. si ndio? Kama ndio hivyo, basi hapa nina kuletea maeneo mawili muhimu ambayo hupaswi kukosa kutembelea kila siku unapoingia mtandaoni.…

  • Washindi Huwa Wanafanya Hivi Baada Ya Changamoto

    Mara nyingi unapoanza kufanya kitu mwanzoni matokeo mrejesho wake huwa ni mdogo sana. Kwa mfano unaweza kuanzisha biashara ukiwa na timu kubwa ya watu ambao wako nyuma yako na wanakuahidi kununua ila baada ya kuanzisha biashara ukawa huwaoni watu hao kwenye biashara. Au pengine unaweza kuanzisha biashara ukitemgemea kupata mwitikio mkubwa wa wateja kuanzia siku…

X