Home


  • Una habari ya semina yetu ya Juni, 29 2024

    Rafiki yangu wa ukweli, salaam. 

  • Unafeli wapi wewe Mzee mama. Mzee mama uko wapi?

    Unafeli wapi wewe Mzee mama. Mzee mama uko wapi? Twende zetu Land mark hotel Juni 29. Maelelezo hayo hapo. Thibitisha ushiriki wako sasa

    https://chat.whatsapp.com/CAdCnW82i8N0clD2fDvn7v

  • Jichukulie wewe kama kampuni

    Jichukulie wewe kama kampuni, kama ungekuwa kampuni watu wangekuwa wanahamasika kuwekeza katika kampuni hii (ambayo ni wewe) au wasingekuwa na hamu kabisa.

    na swali tamu sana kuhusi hili kwamba je, ungekuwa unawekeza kwenye kampuni ambayo ni wewe, ungewekeza kwenye wewe?

    SOMA ZAIDI: 

  • Kitabu hicho hapooo. Jinsi Ya kuongeza thamani yako

    Kitabu hicho hapooo. Jinsi Ya kuongeza thamani.

    Kisome, uongeze thamani yako zaidi ya sasa. Fanyia kazi utakayojifunza uanze kulipwa mara kumi zaidi ya sasa. Zijue aina za unzip mazopaswa kuanza kufanyia kazi sasa hivi. Zinalipa sana

    😊

    Zifahamu njia za kuongeza thamani yako, kazini, ofisini au sehemu yoyote ile.

    Na huo ndio mwanzo rafiki yangu Kitabu hiki kimesheheni mengi Kinapatikana kama softcopy. Hardcopy na audio.

    Utalipia 25,000/- kupata hardcopy 10,000/- kupata softcopy au Audioboook Wewe unaenda kuchukua kipi leo? Lipia sasa kwa 0684408755 jina ni GODIUS RWEYONGEZA sasa

  • Semina ya kukuza uchumi na biashara

  • Vitu 33 Unavyopaswa Kuanza Kufanyia Kazi!

    Unataka kuwa na mwanzo wa kushangaza kuelekea mafanikio? “Nguvu ya Kuchukua Hatua ya Kwanza” kitabu kilichoandikwa na Godius Rweyongeza kina vitu 33 ambavyo unaweza kuanza kufanyia kazi leo!

    📘 Sura ya Tano inafichua vitu hivi muhimu na jinsi ya kuvifanyia kazi.

    🚀 Pata mbinu za kujenga tabia bora na kuanza kuchukua hatua mara moja.

    🌟 Anza safari yako ya mafanikio kwa kufanya mabadiliko madogo yenye athari kubwa.

    📚 Bei: Tsh 25,000/-

    📱 Lipa kwa Airtel Money kwa namba 0684408755, jina: GODIUS RWEYONGEZA. Chukua hatua kubwa leo! Nunua kitabu na pambana na vitu vyako 33 kuelekea mafanikio. #HatuaYaKwanza #NguvuNaMafanikio

  • Namba Zetu Za Malipo

    Namba za malipo ya vitabu:

    Namba za lipa

    TIGO PESA: 19016638 Jina ni SONGAMBELE CONSULTANTS

    M-PESA: 5564517 jina ni GODIUS GORDIAN RWEYONGEZA

    Namba za kawaida

    AIRTEL MONEY: 0684408755
    TIGO PESA: 0655 848 392
    M-PESA: 0745 848 395

    Kote jina ni GODIUS RWEYONGEZA

    NB: Kama namba ya malipo anatumiwa mtu ambaye yuko nje ya nchi. Iandikwe Kwa kuanza na +255

    Kwa hiyo namba zinazotumwa nje ya nchi zitakuwa
    Airtel money: +255 684 408 755
    TIGO PESA: +255 655 848 392
    M-PESA: +255 745 848 395

    KOTE Jina ni GODIUS RWEYONGEZA

    Kama malipo yatakuwa yanafanyika kupitia benki.

    Yafanyie kupitia

    1. CRDB BANK: 0150770710200
    2. NMB BANK: 22110047274

    Kote jina ni GODIUS GORDIAN RWEYONGEZA

  • Karibu Kwenye Programme Ya Uandishi (CHUO CHA WAANDISHI)

    Karibu kwenye programme ya uandishi (CHUO CHA WAANDISHI)

    Hii Ni programme maalumu kwa ajili yako wewe unayetaka kujifunza uandishi wa vitabu, makala pamoja wewe unayetaka kuandika (historia ya maisha yako).

    Je, wewe ni mtu wa aina hii, basi soma kwa umakini hapa ili uweze kung’amua mambo mengi mazuri kwa ajili yako!

    Kozi hii inaendeshwa kwa njia ya mtandao chini ya mwandishi mahiri wa vitabu Godius Rweyongeza. Godius Rweyongeza ameandika vitabu zaidi ya 20, na kwa siku nyingi sasa amekuwa akisadia watu mbalimbali kuandika na kukamilisha vitabu vyao. Watu wengi wamenufaika na kile ambacho amekuwa anawaelekeza kuhusu uandishi.

    Hiki kitu kimefanya watu wengi zaidi wapende kujifunza zaidi, huku wengine wakimwomba awafundishe na kuwaelekeza watu wao wa karibu ili na wao waweze kuandika.

    Kwa kuwa hii ni huduma ambayo watu wengi wanataka kupata, ameona arahisishe upatikanaji wake, ili na wewe uweze kunufaika na program hii ambayo mwanzoni ilikuwa ni kwa ajili ya watu maalumu.

    Godius Rweyongeza ameamua kutoa nafasi chache tu kwa walio tayari ili aweze kuwasimamia mwenyewe kwenye safari yao ya uandishi. Na yale yote ambayo amekuwa akifundisha waandishi waliofanikiwa anaenda kukuelekeza na wewe unapoianza safari yauandishi wako.

    Programu hii ya uandishi inajulikana kama JIFUNZE UANDISHI, ambapo lengo lake ni moja, kukufanya wewe kuwa mwandisho mbobevu.

    Endapo utajiunga na progamu hii utaweza

    1. Kupata nafasi ya kuwa karibu na GODIUS RWEYONGEZA mwenyewe kwa kipindi chote cha program ambacho ni mwaka mzima.
    2. Godius Rweyongeza atapitia maandiko yako na kukupa mrejesho wa kitalaam baada ya kuwa amesoma maandiko yako. Kitu hiki kitakufanya uzidi kuwa bora zaidi kwenye eneo la kuandika.
    3. Siyo hilo tu, endapo utajiunga na program hii utapata kuwa karibu na waandishi wengine wanaoandika. Ndiyo umesoma vizuri hapo, utapata kuwa karibu na waandishi wanaoandika. Nakwambia hivi kwa sababu kuna watu wanajiita waandishi ila wenyewe hawajahi kuandika hata kitu kimoja. Sasa endapo utajiunga na hii program maana yake na wewe unaenda kuwa mwandishi ambaye anaandika.
    4. Halafu nilitaka kusahau kukwabia, habari njema ni kuwa utasimwmiwa kwenye kuandika kitabu chako mpaka kikamilike. Utajisikiaje kama wewe utaweza kuandika kitabu chako kikamilika.
    5. Na utapewa kitabu cha JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU bure kabisa

    Sasa unachotakiwa kufanya ili uweze kunufaika na program hii ni wewe kuthibisha ushiriki wako kwenye hii program., na kujiunga kwenye program hii ni rahisi sana.

    Ada yake ni 250,000 kwa kipindi chote cha programme (mwaka mzima)
    Namba ya malipo ni 0755848391.
    NB: Usilipie kabla hujaongea na mhusika kkwa namba ya simu 0678408755 li athibishe kwamba nafasi ipo. Maana watu wengi wanashambulia hizi nafasi.

    Kumbuka kwenye hii programme utachagua kujifunza kitu kimoja kati ya hivi hapa

    1.Uandishi wa makala
    2.Uandishi wa vitabu
    3.Uandishi wa WASIFU ( autobiography)
    Wewe kati ya hivyo ungependa kupata usimamizi wa karibu kwenye vipi

  • Mara yako ya mwisho kupima thamani ya utajiri wako ni lini?

    Nakumbuka siku za nyuma niliwahi kuandika makala iliyokuwa inakueleza hatua kwa hatu anamna ya kupima thamani ya utajiri wako. Kama hukupata kuisoma hii makala, unaweza kuisoma sasa hapa.

    Na kama uliisoma basi isome kwa mara nyingine leo kwa kUBONYEZA HAPA.

    Leo ningependa tu kujua mara yako ya mwisho kupima thamani ya utajiri wako ilikuwa ni lini?

    Kama bado hujajingea utaratibu wa kupima thamani ya utajiri wako, sasa ndiyo muda mzuri wa kupima thamani ya utajiri wako.

    Anza sasa hivi, kuwa unapima thamani ya utajiri wako.

    Hili litausaidia kila mara kuwa unajua uko wapi?

    Lakini pia litakusaidia kujua kama unaosogea mbele kwenye kulifanyia kazi lengo lako au umekwama.

    Muhimu zaidi, ni wewe kujiwekea kiwango cha utajiri ambacho ungependa kufikia. Na kukifanyia kazi hicho kiwango kila siku ili uweze kukifikia.

    SOMA ZAIDI:

    Najua kuwa ungependa kupata ushauri wa karibu zaidi moja moja kwa moja kutoka kwangu.

    Nitafute tuone ni lini nitakuwa na muda, ili nikupangie ratiba ya kuongea na wewe. Utalipia kiasi kidogo tu.

    Saa moja ni laki moja mazungumzo kwa njia ya mtandao.

    SAA MOJA NI LAKI MBILI NA NUSU MAZUNGUMZO YA ANA KWA ANA. Malipo yanafanyika kwanza, kisha unapewa tarehe (appointment) tutakapoweza kuongea.

    Tumia namba ya simu +255 755 848 391 kuwasiliana nami.

    Makala hii imeandikwa na Godius Rweyongeza ambaye anaishi Morogoro nchini Tanzania.

    Unaweza kujifunza zaidi kutoka kwa Godius Rweyongeza kupitia youtube channel yake hapa

    Kwa ushauri niandikie songambele.smb@gmail.com

    Kupata vitabu ambavyo ameandika Godius Rweyongeza, wasiliana naye kwa +255 684 408 755 na orodha ya vitabu vyenyewe unaweza kuiona HAPA. Chagua unachopenda, kisha twanga,  +255 684 408 755

    Kujiunga na programu yetu ya uandishi. Wasiliana na +255 678 848 396

    For Consultation only: +255 755 848 391  au godiusrweyongeza1@gmail.com

  • Mwandishi ni nani

    Mwandishi ni yule anayeunda fikra na kugusa mioyo ya watu…

X