-
Kwa Nini Unapaswa Kuwa na Fikra za Kuwa Bilionea
Rafiki yangu mpendwa, salaam.Leo nataka Nikwambie sababu kuu Kwa Nini Wewe unahitaji kuwa na fikra za kuwa bilionea. Wengi wakifikiria juu ya hili Huwa wanaogopa sana na kuona kama kitu ambacho haiwezekani, ila ukweli ni kuwa kile anachofikiria mtu ndiyo anakuwa. Kama Leo hii unaingiza KIPATO chochote, hata kama ni kidogo, una nafasi kubwa ya…
-
NGUVU YA KUANZA
Habari na karibu sana kwenye video hii ya siku ya leo ambapo tunaenda kuwa tunaongelea nguvu ya kuanza na jinsi ambavyo tunaweza kuitumia nguvu hii ya kuanza kwa manufaa kwenye mambo mbalimbali na kazi mbalimbali ambazo tunafanyia kazi kwenye maisha yetu ya kila siku. Unaenda kujifunza nguuv ya kuanza kwenye maisha na jinsi ambavyo unaweza…
-
Utt ni Nini?
1. Utt ni Nini? 2. Ina faida gani? 3. Nani anaruhusiwa kuwekeza? 4. Unafunguaje akaunti? 5. Nikiwa mkoani nafunguaje akaunti? 6. Kiasi gani Cha pesa unahitaji ili kuanza kuwekeza utt? 7. Mfuko upi mzuri utakaonipa mrejesho mzuri? 8. Kwani utt na hisa utofauti wake ni Nini? 9. Mfuko wa Hatifungani wa utt ni sawa na…
-
Hii Ndiyo Gharama Halisi Unayopaswa Kulipa Ili Kufanikiwa Kwenye Biashara
Nyuma ya ushindi wa biashara kuna vitu ambavyo unapaswa kufanya ili uweze kuisogeza biashara yako mbele. Baadhiya hivi vitu vinahitaji ujitoe, kuliko mtu yeyote. #1. Kuchelewa kulala, hii mojawapo ya gharama ambazo unapaswa kulipa kama mfanya biashara katika kujenga biashar ayako. Kuna nyakati nyingi ambazo utahitaji kutumia muda mwingi kazini kwa ajili ya kukamilisha…
-
Njia za Kweli za Kuwathibiti Wakatisha Tamaa
Kuna watu wengi wanaokatisha tamaa kwenye maisha yetu ya kila siku. Hata hivyo, ni muhimu sana, kuwa kujua njia ya kujikinga na wakatisha tamaa. kama ambavyo kuna mavazi ambayo ni bullet proof, hivyohivyo kuna njia ambazo ukizitumia naweza kuthubutu kuziita, kukatishwa tamaa proof, yaani njia hizi zitakufanya uzidi kusongambele hata katikati ya wakatisha tamaa. Utakuwa…
-
Iko hivyo. Vitu ambavyo watu wanakwambia kinyume chake na nini chakufanya kuanzia leo hii
Nakumbuka kwenye hesabu za kidato cha tatu kulikuwa na hesabu fulani za maumbo, ambapo ulikuwa unatafuta ukubwa wa pembe fulani au urefu fulani. Sehemu ya kwanza kabisa ulipokuwa unaanzia ilikuwa ni kutumia zile pembe ambazo zinafanana. Mfano ungeweza kusema kwamba pembe ABC ni sawa na pembe EFG kwa sababu iko hivyo (its given). Kama yangekuwa…
-
Njia pekee ya kuongeza mshahara wako mara mbili
Biashara ndiyo njia pekee ya kuongeza kipato chako mara mbili kadiri muda unavyokwenda. Ni tofauti na njia nyingine zozote. Uongezwaji wa kipato kwenye ajira una kikomo, na mshahara kwenye ajira hauwezi kuongezeka mara mbili kila mwaka, lakini kwenye biashara, kama kweli utajifunza biashara kwa kina na kufanyia kazi yale unayotakiwa kufanyia kazi. Inawezekana. SOMA ZAIDI: …
-
Anza tu
Wewe anza, kisha endelea mbele. wanaokubeza leo, wanaoona kwamba huwezi leo, kuna siku watakushangilia huku wakisema kwamba nilijua tu mwamba lazima atafanikiwa
-
Njia Bora Na Ya Uhakika Ya Kunufaika Elimu Na Elimu Yako Ya Chuo
Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana ambao wanahitimu chuo huku wakiwa bado wakiwa hawana mwelekeo. na ambacho kimekuwa kinatokea ni kwamba hawa vijana ambao wamesoma chuo na kufaulu vizuri, baadaye wanaingia mtaani, wanakutana na maisha ya huku kitaani, yanawapiga, wanaishia kufanya kazi ambazo hata wao wenyewe walikuwa hawapendi. SIKU YA LEO nipo hapa kukuonesha namna…
-
Mambo ya kufanya kama bado hujaanzisha biashara Na kama una biashara tayari, fanya hivi
Kama bado hauna biashara, anzisha biashara. Kama tayari una biashara Ongeza juhudi ili uweze kuwafikia watu wengi zaidi. Ongeza mauzo Kuza biashara
-
Unakwepa Hatari Zipi?
Moja ya kitu ambacho huwa kinawakwamisha walio wengi ni kuogopa hatari. Wengi wanaogopa kuchukua hatua katika baadhi ya vitu kwa kuogopa hatari ambazo zinaweza kuwatokea kwenye maisha yao ya kila siku. Huwa napenda kuwaambia watu kuwa hatari kwenye maisha tunatembea nazo kila sehemu. Hatari tunazo kila wakati na hatari ni kama sehemu ya maisha yetu.…
-
Misingi Sahihi Ya Kujenga Urafiki Kwenye Biashara
Uache urafiki ubaki kwa ajili ya urafiki na wewe Fanya kazi na watu wanaojua kufanya kazi Fanya biashara na watu wanaojua misingi ya biashara na amba watakukwa tayari kuisimamia mara zote. Kwenye biashara, urafiki mzuri ni ule unaotengenezwa na biasahara. Ila siyo mtu mlikuwa rafiki halafu eti mnaanzisha biashara, mara nyingi mtajikuta mnaweka urafiki kwenye…
-
Mtu Pekee Atakayekusaidia Kufanikisha Makubwa, Cha Kushangaza Ni Kwamba Humtumii. Mfahamu Sasa
Ngoja nikwmabie kitu rafiki yangu. Kuna vitu ambavyo unapaswa kufanya mwenyewe. Siku za nyuma nimewahi kuandika hapa kwamba hakuna mtu anayeweza kupiga pushup kwa ajili yako. Makala hiyo bado ina nguvu kubwa sana kama ambavyo niliiandika miaka hiyo. Kama ulivyo ukweli usiopingika kuwa hakuna mtu anayeweza kupiga pushup kwa ajili yako. Hivyohivyo ni ukweli usiopingika…
-
Kama una Simu Janja na huingizi Kipato, Unakosea hapa. Rekebisha Mara moja
Siku Moja Robert Kiyosaki alisema kwamba kama una simu janja na Bado wewe ni maskini, basi fahamu wazi kuwa Kuna sehemu unakosea. Ukitafakari maneno ya Robert Kiyosaki unagudua Kuna ukweli mkubwa sana hasa katika ulimwengu wa Leo ambapo unaweza kufanya makubwa Kwa dhana ambazo zinetuzunguka. Kwa mfano ukiangalia 🌐 ChatGPT inapatikana bure 🔍 Google ni…
-
Madebe tupu huvuma
Leo kuna kauli mbili muhimu sana ambazo nataka tuzijadili kwa ufupi tu. Kauli ya kwanza ni kauli ya wahenga watu wanaosema kwamba, madebe tupu huvuma. Na kauli ya pili ni kauli inayosema kwamba, an idle mind is a devil’s workshop. ikiwa na maana kuwa akili tupu ni karakakana ya shetani. hizi kauli zote mbili zinatusisitiza…
-
Jinsi ya kuwakomesha watu wanaokukatisha tamaa kistaraabu kabisa (Ila Utakuwa Umewakomesha)
Ngoja nikwambie kitu rafiki yangu. Kama hujawahi kukutana na watu ambao wanakukatisha tamaa, inawezekana hujawahi kuthubutu kufanya kitu cha tofauti na vile vilivyozoeleka kwenye jamii au hufikirii kwa ukubwa kabisa. Ni hivyo tu. Ila kama unafanya vitu vya tofauti, ni wazi kuwa watu wataanza kukukatisha tamaa kwenye kile unachofanya. Inawezekana watu wakakukatisha tamaa moja kwa…
-
Sahau Yote Kwenye Pesa Na Fedha Zako Ila Usisahau Haya Matano (05) Tu
Kwenye fedha mengi ambayo unapasawa kuzingatia na kuhakikisha kwamba umeyafuata, wakati vyote vikiwa ni vya muhimu ila kuna kitu kimoja ambacho kamwe haupaswi kusahau hata siku moja. Na kitu hiki ni kwamba kamwei haupaswi kutumia pesa zaidi ya kipato chako pili haupaswi kuacha kuweka akiba tatu, hakikisha kwamba mara zote unawekeza na kuifanya fedha ikufanyie…
-
Siri Kuu Ya Mafanikio Ni Hii
Leo nataka nikujulishe siri kuu ya mafanikio ambayo watu wengine wamekuwa hawakwambii. Unaweza kufanya yote kuhusu mafanikio lakini kama utakosea, hili uje wazi kuwa utakuwa umekosea kweli. Na kitu hiki ni kurudia makosa ambayo watu ambao hawajafanikiwa wanafanya. Ukiona mtu ambaye hajafanikiwa, ujue kuna kitu ambacho watu waliofanikiwa wanafanya ila yeye hafanyi. Hivyo, njia pekee…
-
Kitu Kinachofanya Mabadiliko Kuwa Magumu Kwenye Biashara Yako
Rafiki yangu salaam, Hongera sana kwa siku hii nyingine ya kipekee sana. Siku ya leo ningependa kukwambia kitu kinachofanya mabadiliko kuwa magumu kwenye biashara yako. Kitu hiki siyo kingine bali ni kutaka wengine wabadilike huku wewe ukiwa hubadiliki. Mfano, unataka watu wawahi kufika kazini lakini wewe unachelewa. Unataka watu wafanyie kazi mabadiliko fulani lakini wewe…