Category: A NOTE FROM SONGAMBELE

  • Jinsi Ya Kufungua akaunti ya mfuko wa FAIDA (FAIDA FUND)

    Juzi niliandika makala kuhusu mfuko wa FAIDA (FAIDA FUND). Swali ambalo nilipokea kutoka kwa wengi waliosoma makala hii lilikuwa ni kwa namna gani naweza KUFUNGUA akaunti kweye mfuko huu wa FAIDA. KITU hiki kimenisukuma nikuandalie Makala nyingine kukuonesha ni kwa namna gani unaweza KUFUNGUA akaunti kwenye mfuko huu wa FAIDA. Unajua unawezaje kufungua akaunti. Fanya…

  • Kitu Kimoja Kinachopaswa Kukufanya Usome Vitabu Vya Hardcopy badala ya Softcopy

    Rafiki yangu, linapokuja suala la softcopy au hardcopy watu wamekuwa wanakuwa na mtazamo tofauti. Wapo wanaopendelea hardcopy na wapo wanaopendelea softcopy na wengine wanapendelea audiobook kama huyu hapa Kwa upendeleo wowote atakaokuwa nao mtu, hakuna ambaye anakuwa sahihi wakati mwingine akiwa hayuko sahihi. Kitu kikubwa sana ni kupata maarifa yaliyo kwenye kitabu na kuyafanyia kazi.…

  • Jinsi ya kupata matokeo ya tofauti mwaka 2023

    Kuna kitu kimoja nakijua kuhusu wewe rafiki yangu. Na kitu hiki ni kwamba mwaka 2023, ungependa kupata matokeo ya tofauti. Matokeo ya tofauti kwenye kila eneo ambalo utakuwa ukilifanyia kazi. Kama unataka kupata matokeo ya tofauti mwaka 2023, basi hakikisha kwamba unakuwa tayari kufanya vitu vya tofauti. Yaani, vitu ambavyo hujawahi kufanya siku za nyuma.…

  • Njoo Uongeze Kipato Chako Mara Mbili Zaidi Mwaka 2023

    Kuna kitu kimoja nilicho na uhakika nacho juu yako rafiki yangu…Kitu hiki ni kwamba, ungependa kuongeza kipato chako walau mara mbili zaidi ndani ya mwaka 2023! Na hiki ni kitu ambacho ningependa kukusaidia ukifanikishe ndani ya mwaka 2023! Kuanzia tarehe 15 januari 2023, tutakuwa na semina ya kufungua mwaka mpya 2023, lengo kubwa la semina…

  • Mfuko wa FAIDA (FAIDA FUND): Unawekeza au Huwekezi?

    Watumishi Housing Investment (WHI) wameanzisha mfuko wa uwekezaji wa pamoja ambao wanauita MFUKO WA FAIDA au kama unaielewa vizuri lugha ya kigeni basi unasema FAIDA FUND. Mfuko wao ni mfuko ulio wazi (open-endend). Kama bado hujasoma kitabu changu cha maajabu ya kuwekeza kwenye hisa, hatifunagni na vipande lazima tu utakuwa unajiuliza mfuko ulio wazi maana…

  • SEMINA YA KUFUNGUA MWAKA: Karibu kwenye Semina ya kufungua mwaka 2023

    Kila mwanzo mwa mwaka na katikati mwa mwaka huwa Kuna semina ambayo huwa naiendesha. Mwakani wakati wa kufungua  mwaka mpya tunatarajia kuwa na semina ya kufungua mwaka ambayo itafanyika kuanzia tarehe 15. Na itadumu kwa siku 15 mfululizo. Semina hii ya kipekee ambayo itafanyika kwa njia ya mtandao, inalenga kukupa maelezo ya kina yatakayokusaidia kuuanza…

  • Maisha ndiyo hayahaya rafiki yangu

    Rafiki yangu wa ukweli, moja ya kitu ambacho watu huwa wanafanya kwenye maisha yao ni kusubiri kila kitu kiwe sawa ili waweze kufanyia kazi malengo na ndoto zao. Ila ninachotaka kukwambia rafiki yangu ni kwamba, hakuna hata siku moja ambayo kila kitu kitakaa sawa kwa ajili ya kukusubiri wewe ufanyie kazi malengo yako. Maisha ni…

  • Bei kisiwe kigezo cha wewe kuuza

    Moja ya dhana ambayo watu huwa wanatumia kwenye kuuza ni kuuza kwa bei ya chini. rafiki yangu, nataka kukwambia kitu kimoja muhimu sana, kwamba mara zote usishindane kwa bei. Maana kadiri unavyopunguza bei, mara zote utakuta kwamba kuna mtu anawezakupunguza bei zaidi yako. Hivyo, bei kisiwe ndiyo kigezo pekee cha wewe kuuza.

  • Wafanyakazi na mfumuko wa Bei

    Kila tarehe 1 mwezi Mei. Macho na masikio yote ya wafanyakazi huwa yapo kwa kiongozi mkuu wa nchi kuona kama atawaongezea mshahara. Unajua kwa nini huwa wanataka ongezeko la mshahara? Ni kwa sababu kile kipato wanachokuwa nacho mwanzoni kinakuwa hakitoshi kuwafanya wamudu mahitaji ya kila siku. Hivyo, ongezeko la mshahara likiwepo kweli, linaweza kuwa suluhisho,…

  • Aina tano za uwekezaji ambazo kila kila kijana anapaswa kufanya

    Habari ya siku hii ya kipekee rafiki yangu. Bila shaka unaendelea vyema kabisa,Siku ya leo ningependa nikwambie Aina Tano za uwekezaji ambao unapaswa kuhakikisha umezifanya. Huu ni uwekezaji ambao ukiufanya sasa hivi ukiwa kijana. Kadiri siku zinavyoenda wewe utavuna matokeo yake tu. Hakikisha unazitumia aina zote hizi za uwekezaji ukiwa bado kijana, maana ujana ni…

  • Kiashiria kuwa uwekezaji uliolfanya Siyo sawa

    Juzi Kuna mtu alinipigia simu na kuniambia kuwa Kuna uwekezaji ameufanya. Ila hawezi kuniambia uwekezaji huo kwenye simu mpaka tuonane. Nilipomuuliza kwa Nini, alisema hataki watu wawepo maana uwekezaji wenyewe ni siri. Rafiki yangu, kama uwekezaji uliofanya wewe mwenyewe unaogopa kuusema mbele ya watu basi jua tayari umeshaliwa😂😂. Simaanishi kwamba ufanye uwekezaji halafu uende mbele…

  • Uchambuzi wa Kitabu: Atomic Habits; Tiny Changes, Remarkable Results

    Mwandishi: James Clear Mchambuzi: Hillary Mrosso Simu: +255 683 862 481 UTANGULIZI Tabia hujenga maisha tuliyonayo, tabia huamua mafanikio kwenye maisha yetu. Ubora wa maisha yetu ya sasa na ya baadaye yanategemea sana tabia tunazoziishi kila siku. Mara zote tumejikuta kwenye jamii ambayo inaishi na kuamini kwenye tabia fulani ambazo kwa kiasi kikubwa ndio tabia…

  • Ni nani anaruhusiwa kununua hisa na kwa Nini?

    Mwaka juzi nilikuwa naongea na ndugu mmoja kuhusiana na hali yake ya kiuchumi. Alikuwa katika hali mbaya kiuchumi. Nilimwuliza kama huwa ana tabia ya kuweka akiba. Akaniambia huwa anaweka akiba Ila huwa anaitumia siku chache mbeleni. Nikamwambia kuwa kwa Hali hiyo utapaswa kufungua akaunti benki ili uwe unaweka fedha zako huko. Lakini kikubwa zaidi nikamwambia…

  • Mambo Muhimu ya KUZINGATIA kabla hujawekeza fedha Yako

    Rafiki yangu mpendwa. Bila shaka unaendelea vizuri. Kila kunapokucha watu wanabuni njia mpya za kutaka kuondoka na kukaa na fedha zako. Watakuja kwako na maelezo mengimengi wakikushawishi uweze kuwapa fedha zako ambazo wewe mwenyewe umezitafuta kwa jasho na damu kubwa sana. Usipokuwa makini unaweza kujikuta unashawishika kutoa fedha zako kwa kila mtu anayekuja kwako kukwambia…

  • Hivi vitu ndivyo vinavyotofautisha uwekezaji kwenye hisa na uwekezaji kwenye maeneo mengine kama nyumba, kilimo cha miti na vito vya thamani

    Leo rafiki yangu nataka nikwambie vitu vinavyoafanya uwekezaji kwenye hisa kuwa ni uwekezaji wa kipekee kuliko uwekezaji wa maeneo mengine kama nyumba, kilimo Cha miti na vito vya thamani. Kinachotofautisha uwekezaji huu Ni: Moja, unaweza kuanza kuwekeza kwenye HISA kwa kiwango kidogo tu Cha fedha .Ili unielewe vizuri unapaswa kujua kuwa kiwango cha chini kabisa…

  • Hili ndilo kosa moja kubwa wanalofanya watu kuhusu kuwekeza

    Hili ndilo kosa moja kubwa wanalofanya watu kuhusu kuwekeza Rafiki yangu jamii yetu imejuwa haiewi vizuri uwekezaji. Kitu hiki kimewafanya watu wajihusishe na miradi feki na ambayo haieleweki na hata wakati mwingine kutapeliwa. Moja ya kosa ambalo watu wamekuwa wanafanya kuhusu uwekezaji Ni kusubiri mpaka watakapokuwa na fedha ili waanze kuwekeza. Ngoja nikwambie kitu rafiki…

  • Kitu kimoja ambacho watu hawajui kuhusu uwekezaji

    Rafiki yangu, najua Kuna aina mbalimbali za uwekezaji. Uwekezaji kwenye ardhi na NYUMBA (real estate), mali zisizo hamishika, uwekezaji kwenye kilimo cha miti, hisa, hatifungani na vipande  na uwekezaji mwingine. Hata hivyo kitu kimoja ambacho watu hawajui Ni kuwa, uwekezaji kwenye hisa, hatifungani na vipande ni uwekezaji ambao unaweza kuanza kuifanya hata kama huna mtaji…

  • Kitu Hiki Ndicho Kinawafanya wengi washindwe kufanya makubwa

    Habari ya leo rafiki yangu, bila shaka unaendelea vyema kabisa. Leo ningependa nikwambie kitu ambacho kimekuwa kinawakwamisha watu wengi na kuwafanya washindwe kufanikisha makubwa . Kitu Hiki siyo kingine bali ni kukosa malengo makubwa ambayo wanayafanyia kazi kwenye maisha yao. Ili uweze kunielewa vizuri hapa naomba nianze kwa kukupa mfano wa kawaida tu, unaweza kukuta…

  • Jinsi ya kupata mafunzo yenye hadhi ya chuo

    Brian Tracy anasema kuwa muda ambao tunautumia kwa siku tukisafiri na Kutembea kutoka eneo moja kwenda jingine, ukiuunganisha baada ya mwaka mmoja Ni sawa na semester moja ya chuo! Hii ndio kusema Kuwa ukiutumia vizuri huu muda, kujifunza. Baada ya mwaka utakuwa umepata kozi yenye hadhi ya semester ya chuo. Nataka hili likutafakatishe uanze kuona…

  • Leo ni siku ya waandishi duniani: Mambo mawii unayopaswa kufahamu

    Habari ya siku ya hii ya kipekee sana rafiki yangu. leo ni siku ya waandishi duniani. Mimi ni kiwa mmoja wa waandishi, hii siku inanihusu sana. lakini pia inakusu wewe, maana hakuna mwandishi bila msomaji. Hivyo, siku ya leo ni siku yetu sote. Kwa hiyo, nitakuwa sijakosea kusema kwamba kheri ya siku ya waandishi kwako!…

X