Category: A NOTE FROM SONGAMBELE

  • Naomba ushauri Nifanyeje?

    Bila shaka wamewahi kutokea watu wa kukuomba ushauri maishani mwako. Na pengine wewe ulitoa huo, ushauri. Ila sasa una hakika kuwa wewe ulikuwa hauhitaji huo ushauri? Kama huwa inatokea kuwa unatoa ushauri kwa watu ambao wewe mwenyewe unauhitaji. Hakikisha unaanza kuutumia mwenyewe. Ukimshauri mtu kuweka AKIBA, wewe mwenyewe weka akiba.Ukimshauri mtu kufanya mazoezi wewe mwenyewe…

  • Kitu kingine kimoja cha ziada kuhusu Masoud Kipanya

    Jana niliandika makala ndeeefu kuzungumzia gari la Masoud Kipanya.Nilifanya hivyo maksudi tu kwa ajili ya kupongeza juhudi za mtanzania mwenzetu, maana tumezoea kupromote vitu vya akina Jack Ma na wengine, Sasa anapotokea mtanzania akafanya vitu vya tofauti, kwa Nini tusiseme.. Au wewe hukupenda…. Nashukuru wengi waliipokea vizuri mkala ya Jana, hata hivyo leo nimeona nitaongeza…

  • Niseme kitu kuhusu Elon MuskΒ  Kununua Twitter Au Basi!πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ

    Udhaifu wangu mkubwa Ni kwamba ninapokuwa na kitu kikubwa kinachoweza kukusaidia wewe kufanya makubwa siwezi kukaa nacho! Nashindwa kabisa  kujizuia,  Ndio maana leo nikaona nikujuze habari za Elon Musk Habari zilizotawala vyombo mbalimbali vya habari na hasa mtandao wa intaneti siku ya jana ni kuhusu bilionea Elon Musk kuwekeza kwenye kampuni ya Twitter. Ambapo amenunua…

  • Leo Na Mimi Nataka Niseme Kitu Kuhusu Gari Ya Masoud Kipanya

    Watu wenye kichaa cha kutosha kiasi cha kufikiri wanaweza kuibadili dunia, ndio ambao huibadili-Steve Jobs kwenye tangazo la THINK DIFFERENT la mwaka 1997-2002 Takribani siku mbili zilizopita Masoud kipanya alizindua gari ya umeme ya kampuni ya Kaypee Motors. Kitu ambacho ni cha kipekee sana hasa kwenye mazingira yetu. Asubuhi ya leo nilipotazama hotuba yake wakati…

  • Njia Mpya Ya Kujenga Tabia Kwa Haraka

    Leo nataka nikwambie kitu kikubwa ambacho kitakusaidia wewe kuweza kujenga tabia mpya kwa haraka. Ebu fikiria tabia yoyote ile ambayo ungegependa kujenga miashani mwako. Ni tabia gani nzuri ambayo kwa siku umekuwa unatamani kuwa nayo? Je, ni kusoma vitabu? Je, ni kuandika Je, ni kufanya mazoezi? Au kuweka akiba? Ni kitu gani haswa unataka uwe…

  • Kwa nini wazazi wanawalazimisha watoto kusoma kozi wanazopenda wao

    Kila mwaka kikifika kipindi cha wahitimu wa kidato cha sita kuomba vyuo, huwa napokea simu za vijana ambao wanalazimishwa na wazazi kwenda kusomea kozi wasizopenda. Unakuta kijana anataka akasomee uhandisi, mzazi anataka akasomee human resources. Sasa leo kwa ufupi tu nataka niseme kwa nini, wazazi wanakuwa hivyo: Moja ni kwa sababu ilikuwa ndoto ya mzazi,…

  • Kozi gani nzuri ya Kusoma chuo inayolipa

    Sikumbuki ni mara ngapi watu wamekuwa wakinitafuta kwa ajili tu kuniuliza kozi gani ambayo mtu akisoma itamlipa. Nimejitajidi kujibu swali hili kadiri ninavyoweza kwa kila mtu, Sasa leo nataka nijibu swali hili mwanzo na mwisho. Jibu la swali hili halina exception. Haijalishi umehitimu kidato Cha nne na unataka kwenda chuo au umehitimu kidato Cha sita…

  • Mjasiriamali ni nani

    Siku hizi kumekuwepo na wimbi kubwa la vijana wanaojiajiri. Hiki ni kitu kizuri, hata hivyo wengi wamekuwa wanadhani kujiajiri tu kunakufanya uwe mjasiriamali. Kwa wengine ujasiriamali umekuwa unahusishwa na kutengeneza bidhaa kama vile sabuni, vitenge, viatu vya kimasai….. Ukiwa unatengeneza hivyo vitu, wewe ni mjasiriamali. Kama hutengenezi hivyo vitu wewe siyo mjasiriamali. Kitu ambacho siyo…

  • Siri Mbili Za kuwa Kiongozi Bora Kutoka Kwenye Kitabu Cha My Story Cha Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum

    1.Siri ya kuwa Kiongozi Bora kuwasikiliza watu wako na kuwa karibu na watu wako. Mwandishi anasema kwamba hiki Ni kitu ambacho alijifunza kutoka kwa babu yake na alikuja kukifanyia kazi yeye mwenyewe kwenye maisha yake. Ukiwa karibu na watu wako ni rahisi kujua matatizo yao na hivyo kujua wanataka Nini? 2. Unapaswa kubadilika la sivyo…

  • [eBOOK MPYA] NGUVU YA KUTOA (THE MAGIC OF GIVING)

    Utangulizi Rafiki yangu kuna nguvu kubwa sana katika kutoa. Hii ni tabia ambayo unapaswa kujifunza na kuifanyia kazi kila siku. Nadhani utakuwa umewahi kusikia kuwa matajiri wana hadi mashirika ambayo yanahusika na utoaji. Kwa mfano, Bill Gates ana shirika la GATES AND MELINDA FOUNDATION. Elon Musk ana shirika la MUSK FOUNDATION na mabilionea wengine pia…

  • 1. UCHAMBUZI WA KITABU CHA THE 5 SECOND RULE

    Una sekunde tano tu za kuanza kufanya kitu. Kitabu cha the 5 second rule kinakuonesha nguvu ya sekunde tano katika kufanya majukumu yako na kuepuka kughairisha. Kama umelala kitandai na alarm ya kuamka ikalia. Hesabu tano, nne, tatu, mbili, moja, kisha toka kitandani.. Kwenye kitabu hiki Mel Robbins anaenda kukuonesha namna ambavyo utaepuka kughairisha majukumu…

  • Kitu Ambacho Hakuna Mtu Yeyote Anaweza Kufanya Kwa Ajili Yako

    Pigana kwa ajili ya ndoto zako maana hakuna mtu yeyote ambaye anaweza kufanya hivyo kwa ajili yako. Hakuna mtu wa aina hiyo. unajua kwa nini? Kwa sababu hakuna mtu AMBAYE anaweza kuiona ndoto yako kwa usahihi Kama ambavyo wewe mwenyewe unaiona. Wewe ndiwe unaona ndoto yako kwa usahihi. Pili, kama wewe mwenyewe tu utashindwa kupambana…

  • KITABU CHA KISWAHILI CHA BURE

    Abraham Lincoln aliwahi kunukuliwa akisema kuwa, rafiki yangu wa kweli ni yule ambaye atanipa kitabu. Nadhani huu usemi una maana kubwa katika ulimwengu wa leo kuliko hata alipousema.Ebu fikiria katika ulimwengu wa sasa ambapo kila mtu anapenda kupewa simu mpya na ya kisasa kama zawadi.Ulimwegu ambapo watu wanapenda kupewa zawadi ambazo ukifungua utaonekana kwa nje…

  • Jinsi Ya Kupakua Vitabu Bure Mtandaoni-2

    Kama umekuwa unajiuliza unawezaje kupakua vitabu mtandaoni, leo nimekuja na maelekezo yanayojieleza moja kwa moja kuonesha namna ambavyo unaweza kupakua vitabu mtandaoni. Kuna video ya kwanza ambayo ilitangulia hii.Kwa hiyo unaweza kutumia video hii ya kwanza au ukatumia video hii ya pili. Ila sana sana nashauri utumie hii ambayo nimekushirikisha hapa. Kila la kheri.

  • Jinsi Ya Kuanzisha Biashara Bila Mtaji Tanzania

    Utangulizi Vijana wengi wamekuwa wakitamani kuanzisha biashara zao ila sasa wamekuwa wanakwama jinsi gani ambavyo wao wenyewe wanaweza kuanzisha hizo biashara bila ya mtaji.  Kila  ninapoongea na vijana nagundua kuwa wapo wengi wenye ndoto kubwa za kufanya makubwa ila kuna ambao kama bado wamefungwa hivi. Na kitu ambacho kimewafunga walio wengi ni kufikiri kuwa bado…

  • Jinsi Ya kupakua vitabu bure mtandaoni

    Mara kwa Mara nwatu wamekuwa wakiniuliza mi kwa jinsi gani wanaweza kupakua vitabu mtandaoni. Wengine huwa wananiomba niwattumie vitabu fulanifulani. Binafsi huwa sipendi kumtumia mtu kitabu wakati najua anaweza kukipata mwenyewe. Ni mpaka pale ninapokuwa Nina uhakika kuwa huyu mtu hawezi kukipata kitabu fulani ndio namtumia. Kwa leo sasa ningependa wewe ujue namna unavyoweza kupakua…

  • Kitu kimoja kinachounganisha washindi wote

    Kama una ndoto za kuwa mshindi na kufanya makubwa unapaswa kufahamu kitu hiki kimoja ambacho kinaunganisha washindi wote na watu wote ambao wanafanya makubwa. Kitu hiki ni kuwa na ndoto kubwa. Na siyo ndoto kubwa tu, bali ndoto kubwa ambazo wapo tayari kuzifanyia kazi mpaka zikatimia. Bila ya kuwa na ndoto kubwa utakosa msukumo wa…

  • AMRI KUMI ZA MAISHA

    Huwa likitajwa neno Amri mara nyingi huwa linahusishwa na Amri za Mungu ambazo ndizo amri maarufu. Leo nataka nikwambie pia amri za maisha. Hizi amri hizi hakuna mtu yeyote ambaye anakubembeleza kuzifuata au kuzivunja. Ni au unazifuata kwa faida yako au unazivunja kwa hasara yako. Kama umewahi kusikia usemi kwamba malipo ni hapahapa duniani. Ukizifuata …

  • Kitu muhimu unachopaswa kufahamu kabla ya kuajiri

    Ukiingia kwenye ujasiriamali ni wazi kuwa itafikia hatua ambapo utahitaji kuajiri. Iwe Ni msaidizi wa kaziMtu wa masokoMtu wa mauzoAu yeyote yule.. Kwa vyovyote vile utapaswa kuajiri… Sasa kabla ya kuajiri jiulize je, kuna mashine au kitu ambacho kinaweza kufanya hii kazi? Kama hiki kitu kitumie kwanza badala ya kuajiri. Kama hakuna mashine wala kifaa…

  • Hata kama itatokea ukasahau vyote maishani, Ila hakikisha hausahau kufanya hivi vitu

    1. Usisahau kuweka AKIBA. Kwa kila kipato chako unacjopata weka akiba ya asilimia 10. 2. Usitumie fedha zaidi ya unavyoingiza. 3. Usifanye vitu kuwaridhisha watu. 4. Usitegemee chanzo kimoja cha kipato na hasa mshahara. 5.  Mara zote kuwa na kitabu na soma vitabu. 6. Hakikisha unakuwa na malengo na unayafanyia kazi. 7. Ukitaka kuibadili dunia.…

X