Category: A NOTE FROM SONGAMBELE

  • Mshangao! Jinsi Muda Ulivyo wa Dhahabu Kwa Mfanyabiahsara na Mtu yeyote makini

    Leo nakuruhusu ufanye kitu kimoja tu, uzunguke popote pale hapa duniani, halafu  uje kuniambia ni wapi umekuta wanaweza kuongeza kiwango cha muda ndani ya siku. Ni wapi ambapo mtu anaweza kuwa na saa moja, lakini akaomba kuuongezewa saa jingine zaidi na akaongezewa? Ni wapi ambapo mtu anaweza kukopesha muda wake wa leo ili aje alipwe…

  • Mbinu Tano (05) Za Kudai Hela Uliyomkopesha Mzazi Wako

    1. SHERIA ya kwanza wazazi wape Hela ya kula2. SHERIA ya pili, usikopeshe Hela kama biashara Yako siyo kukopesha3. SHERIA ya tatu, wasaidie wazazi kuhakikisha wanakuwa na VYANZO vitakavyowaingizia KIPATO Ili wasikutegemee.4. SHERIA ya nne, ukimkopeshe mtu yeyote, mkopeshe Ile Hela ambayo wewe mwenyewe huihitaji.5. SHERIA ya Tano, kamwe watu wasijue lini Huwa unaingiza Fedha.…

  • Huu Ndiyo Ustaraabu Wa Hali Ya Juu Ambao Unapaswa Kuwa Nao

    Rafiki yangu wa ukweli, salaam. Hongera sana kwa kazi, siku ya leo, nataka kuongea na wewe kuhusu ustaraabu. Mara nyingi watu huwa wanapenda kuonesha ustaraabu kwenye maeneo tofautitofauti. Ila leo hii ninataka nikwambie kuhusu ustaraabu wa hali ya juu ambao unapaswa kuwa nao. Na aina hii ya ustaraabu ambayo unapaswa kuwa nayo ni kufanya kile…

  • Njia Tatu Za Uhakika Zitakazokusaidia Wewe Kuweka Akiba Bila Ya Kutoa (Namba 3 Ndiyo Yenyewe Haswa!)

    Wahenga wanasema kwamba ukiona vyaelea, basi ujue vimeundwa, hivyohivyo ndivyo ilivyokuwa kwa mji wa Babilon (Babeli) ambao kwa nyakati zake ulikuwa mji tajiri na wenye watu wenye utajiri. Simulizi zake na busara za nyakati hizo zimebaki vitabuni kwa ajli yetu sisi vijana wa miaka yetu kuzitumia kwa manufaa. Lakini moja ya kitu kimoja na kitu…

  • Imethibitishwa! Hii Ndiyo Kanuni Maalum Ambayo Unapaswa Kufuata Kwenye Biashara. Ifuate kwa faida yako,m ivunje kwa hasara yako

    Kila sehemu ina kanuni zake maalum ambazo kila mmoja anapaswa kuzifuata. Na kanuni huwa zikifuatwa, mara zote huwa zinaleta matokeo chanya, ila zikikiukwa au kupuuzwa, huwa unakuta kwamba unapata matokeo hasi. Mfano wa wazi kabisa kwenye hili ni kwenye kuendesha gari barabarani. Ukifuata kanuni za kuedesha gari barabaani, ni wazi kwamba utaweza kufika salama kule…

  • Hatutoki Hapa Mpaka Tushinde

    Kwenye makala ya jana, kama utakumbuka, niliekeza juu ya fikra ambavyo zinaweza kukupelekea wewe kupata au kutopata matokeo. Lakini niligusia hadithi fupi ya wanajeshi walioenda kupigana na jeshi kubwa, kapteni wa jeshi hilo akawa anawaambia kuwa hatutoki hapa mpaka tushinde. Leo hii nipo hapa Kwa mara nyingine KUELEZA zaidi juu ya hii dhana ya hatutoki…

  • Vita Ya Maisha Anashinda Mtu Anayefikiri Anaweza

    Tarehe 25/9/2016 niliandika makala hii inayoeleza Jinsi Ya Kuepuka Kujiua Mwenyewe Kiakili Mwishoni nikahitimisha Kwa kusema kwamba vita vya maisha anashinda mtu ANAYEFIKIRI ANAWEZA. Leo hii nimerudia kuisoma hii makala, nilichogundua ni kwamba hii makala Bado Ina nguvu Leo hii sawa na nilivyoandika takribani miaka 7 iliyopita. Ukweli ni kuwa kile unachojaza kwenye akili Yako…

  • MAAJABU! Hii Ndiyo Siri Usiyoijua Kuhusu Watu Waliofanikiwa

    Rafiki yangu wa ukweli, salaam. Hongera sana kwa siku hii nyingine ya kipekee sana. Nina uhakika leo inaenda kuwa ni moja ya siku yako bora kabisa Moja ya kitu ambacho watu wengi wamekuwa hawafahamu ni siri kutoka kwa watu waliofanikiwa. Wengi hudhani kuwa hawa watu waliofanikiwa, basi wamekuwa hivyo aidha kwa kuzaliwa, au walikutana na…

  • INAUMIZA SANA! Kosa Kubwa Unalofanya Linaloathiri Ubongo Wako Na Namna yako Ya Kufikiri (Ukikabiliana na hili kosa, utabadili maisha yako kiujumla)

    Nimekuwa mkulima tangu nimezaliwa mpaka leo hii. Kiuhalisia nimekuwa nikiwaambia watu kuwa kitu ambacho kitanipa ubilionea ni kilimo. Na huu ndiyo ukweli, na kuthibisha hilo chuoni nilibobea kwenye kilimo, nikiwa najua kabisa Kilimo tu lazima kitanitoa siku moja. Moja ya kitu ambacho huwa tunakilinda sana kwenye kilimo ni bustani yako au shamba. Ukweli ni kuwa…

  • Hii Ndiyo Kanuni Ya Fedha Ambayo Inavunjwa Na Wengi

    Fedha ina kanuni zake ambazo unapaswa kuzifahamu na kuzitumia vizuri. Moja ya kanuni hii ni kanuni ya rasilimali na dhima. Hiii ni muhimu sana kwako eafiki yangu kifahamu ili usije ukaingia kwenye mtego. Kulingana na kanuni hii ni kwamba unapaswa kununua zaidi rasilimali (assets) kwa sababu hizi rasilimali ndizo zinakuingizia fedha mfukoni kuliko unavyonunua dhima…

  • Kwa nini pesa ina majina mengi

    Pesa, fedha, hela Ikiwa kanisani au kwenye nyumba za ibada inaitwa saka Ikiwa kwenye vyombo vya usafiri inaitwa nauli Ikiwa shuleni kwenye vombo vya kisheria inaitwa dhamana. Ikiwa chuoni inaitwa bumu Ikitoka kwa mfadhili inaitwa msaada Majina mengine ya pesa ni kodi, bili, ushuru, miamala, n.k Huku mtaanii kwetu wanaiita maokoto, mkwanja, mshiko, mapesa n.k.…

  • Elimu Ambayo Haifundishwi Shuleni (part 1)

    Tangu ukiwa mtoto unaambiwa kwamba nenda Shuleni, usome Kwa bidii Ili Uje Upate ajira. Umependa Shuleni, umesoma Kwa bidii SI ndio? Hongera sana. Leo nipo hapa kukwambia mbali na hayo yote tuliyojifunza Shuleni, Bado Kuna mambo ya msingi sana kwenye maisha ambayo hukufundishwa, na mambo Haya ni ya msingi mno, kiasi kwamba haupaswi kuyapuuza. Yajue…

  • Hivi Ndivyo Vitu Ambavyo Vinakukwamisha Wewe Na Nini Cha Kufanya

    UNAENDELEAJE RAFIKI YANGU WA UKWELI, Karibu Tena kwenye blogu yetu kwa ajili ya mafunzo mengine mazuri ambayo nimeandaa kwa ajili yako. Siku ya leo  nina ujumbe mfupi tu kwa ajili yako. na ujumbe huu siyo mwingine bali ninataka kukwambia kuwa; Asilimia kubwa ya vitu ambvyo vinakuzuia wewe kufanikiwa ni vitu ambavyo viko ndani ya uwezo…

  • Mambo 15 ambayo Godius Rweyongeza anashauri Uanze Kuyafanyia kazi Mara Moja

    Habari ya Leo. Hongera sana Kwa siku hii nyingine njema sana 1. Tuitumie Leo kufanya makubwa. Kila mmoja Kwa jukumu lake analopaswa kufanya, alifanye Kwa weredi mkubwa 2. Mabadiliko Unayotaka kuyaona Anza kuyasababisha mwenyewe siku ya Leo Kwa kufanya jambo lolote hata kama ni Dogo. 3. Ukitimiza wajibu wako na Kila mmoja akatimiza wajibu wake,…

  • Kwa Nini tunahitaji HAMASA Kila siku

    Siku Moja Zig Ziglar alikuwa anaongea mbele ya umati, ndipo kijana. Mmoja akasimama na kumuuliza swali gumu Kwa kusema, Kwa Nini hizi HAMASA Huwa hazidumu? ZigZiglar alimjibu Kwa kusema kwamba HAMASA ni kama kuoga. Hauogo TU mara Moja na kuacha, Bali unaoga Kila siku, kwako Kila siku, inakuwa ni sehemu ya kuoga. HAMASA ni kama…

  • Jinsi Ya Kutengeneza Mshahara Nje Ya Mshahara

    JINSI YA KUTENGENEZA MSHAHARA NJE YA MSHAHARA ni kitabu kilichoandikwa na Godius Rweyongeza kinachoeleza namna mtu yeyote anavyoweza 1. Kuongeza kipato chake Cha Sasa hivi 2. Kufanya uwekezaji 3. Kutengeneza KIPATO chenye hadhi ya MSHAHARA wake wa Sasa. Kinapatikana Kwa nakala ngumu na nakala laini. Wasiliana na +255 684 408 755 kupata nakala Yako sasa

  • Njia Tano (05) Za kuwa na Ukuaji Kwenye Maisha, Biashara na Kila kitu unachofanya

    Rafiki yangu, hongera sana kwa siku hii ya kipekee. Leo ni siku nyingine bora kwa ajili yako. Hakikisha kwamba unaitumia vyema siku ya leo. Na moja ya kitu muhimu sana ambacho unapaswa kukifanyia kazi kuanzia leo ni kukua. Ukuaji ni moja ya kitu muhimu sana hasa unapokuwa unataka kufanya makubwa. Unaanzia hapo hapo ulipo, unafanya…

  • Huu Ndiyo Uwekezaji Bora Ambao Unapaswa Kuupa KIPAUMBELE sasa

    Hata kutunza familia ni uwekezaji. Ila uwekezaji baba ambao unapaswa kufanya mara zote ni 1. KUWEKEZA KWENYE biashara. Huu ni uwekezaji Muhimu ambao Kila mmoja anapaswa kuufahamu. Sote tunamfahamu Warren kama mwekezaji Bora kuwahi kutokea, ila ukweli ni kuwa Warren Buffett siyo TU mwekezaji kwenye solo la HISA,Bali amewekeza kwenye biashara yake. Hivyo, WEKEZA kwenye…

  • Huu ndio uwekezaji Bora kuliko wote

    Rafiki yangu, Kuna uwekezaji Bora kabisa kuliko uwekezaji wowote. Unajua uwekezaji huu ni upi? Ni KUWEKEZA KWENYE maarifa. Huu ndiyo uwekezaji Bora kabisa. WEKEZA kwenye maarifa mara zote WEKEZA kwenye maarifa. WEKEZA kwenye KUSOMA VITABU Hu ndiyo uwekezaji Bora kwako Kufanya.

  • Nimeandaa kozi fupi kwa ajili yako

    Rafiki yangu……………. Moja ya kitu ambacho ninapokea karibia kila siku, ni ombi la watu wakiniomba vitabu mbalimbali vya kiingereza. Wapo wanaoomba niwatafutie hivi vitabu kwa njia ya mtandao, halafu niwatumie. Sasa kitu kimoja ninachojua ni kwamba, nikipakua kitabu nikakutumia, ninakuwa sawa na mtu ambaye nimekupa samaki. Unajua ninaposema kwamba ninakuwa kama mtu ambaye nimekupa samaki…

X