Category: A NOTE FROM SONGAMBELE

  • Tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa wachina. Ni Pipi china, kuliko kuinunua kwa Mangi Mtaani Kwako!

    Siku siyo nyingi nilikuwa nikitafuta kipaza sauti cha kutumia kwa ajili ya kazi zangu. nilijaribu kuangaza hapa na pale kwa wasambazaji wa hivi vifaa hapa tanzania, ila kwa bahati mbaya sikufanikiwa. Hivyo, ilinibidi niagieze hivi vifaa kwa njia ya mtandao. Ilibidi niagize hivi vifaa moja kwa moja kutoka china. Kitu cha kwanza nilichokutana nacho ni…

  • Mada Muhimu Za Semina Ya JUNI, 29

  • Tatizo si rasilimali zilizopotea: Tatizo ni rasilimaliwatu tunaowapoteza

    Tatizo si rasilimali zilizopotea, ni kitabu ambacho kimeeleza kwa kina kuwa changamoto, matatizo au kitu chochote kile ambacho unapitia, chanzo chake siyo rasilimali zilizopotea, walizoiba wazungu au hata zinazopotea sasa hivi. Tatizo kubwa ni rasilimaliwatu tunaowapooteza sasa hivi. Tunawapotezaje? Na nini kinatakiwa kufanyika sasa hivi? Tuingie ndani kwenye hiki kitabu ili twende sawa. Kila la…

  • Ulipata KOZI ya kupakua vitabu bure mtandaoni.

    Rafiki yangu salaam. Hongera sana kwa siku hii ya kipekee sana.  Siku chache zilizopita tulizindua kozi fupi tu ambayo inakuwezesha wewe kupakua kitabu chochote kile mtandaoni. kwa kozi hii fupi, maana yake huu ndiyo unakuwa ni mwisho wa wewe kuendelea kulipia hela ili utumiwe kitabu chochote cha KIINGEREZA. Ni kozi fupi ambayo unaweza kujifunza muda…

  • UNATAKA KUJIFUNZA UANDISHI WA KITABU CHA KUVUTIA! !

    JINSI YA KUWA MWANDISHI MBOBEVU imekuwa chachu kwa wengi wanaotafuta kuvutia wasomaji wao. Sasa, pata nakala yako ya kitabu hiki kwa TZS 20,000/- tu! Anza kuandika kurasa zenye mvuto katika kitabu chako! Lipia kwa kutuma pesa kwenye namba: 0684 408 755 (Godius Rweyongeza) Endelea kufuatilia machapisho mazuri zaidi kupitia [Songambele](www.songambele.co.tz) na [Jifunze Uandishi](www.jifunzeuandishi.wordpress.com). Jiunge nasi…

  • Una habari ya semina yetu ya Juni, 29 2024

    Rafiki yangu wa ukweli, salaam. 

  • Unafeli wapi wewe Mzee mama. Mzee mama uko wapi?

    Unafeli wapi wewe Mzee mama. Mzee mama uko wapi? Twende zetu Land mark hotel Juni 29. Maelelezo hayo hapo. Thibitisha ushiriki wako sasa https://chat.whatsapp.com/CAdCnW82i8N0clD2fDvn7v

  • Jichukulie wewe kama kampuni

    Jichukulie wewe kama kampuni, kama ungekuwa kampuni watu wangekuwa wanahamasika kuwekeza katika kampuni hii (ambayo ni wewe) au wasingekuwa na hamu kabisa. na swali tamu sana kuhusi hili kwamba je, ungekuwa unawekeza kwenye kampuni ambayo ni wewe, ungewekeza kwenye wewe? SOMA ZAIDI:  Jambo Moja Kubwa La Kujifunza Kutoka Kwa Kampuni ya Alibaba JINSI YA KUMILIKI…

  • Kitabu hicho hapooo. Jinsi Ya kuongeza thamani yako

    Kitabu hicho hapooo. Jinsi Ya kuongeza thamani. Kisome, uongeze thamani yako zaidi ya sasa. Fanyia kazi utakayojifunza uanze kulipwa mara kumi zaidi ya sasa. Zijue aina za unzip mazopaswa kuanza kufanyia kazi sasa hivi. Zinalipa sana Zifahamu njia za kuongeza thamani yako, kazini, ofisini au sehemu yoyote ile. Na huo ndio mwanzo rafiki yangu Kitabu…

  • Semina ya kukuza uchumi na biashara

  • Vitu 33 Unavyopaswa Kuanza Kufanyia Kazi!

    Unataka kuwa na mwanzo wa kushangaza kuelekea mafanikio? “Nguvu ya Kuchukua Hatua ya Kwanza” kitabu kilichoandikwa na Godius Rweyongeza kina vitu 33 ambavyo unaweza kuanza kufanyia kazi leo! Sura ya Tano inafichua vitu hivi muhimu na jinsi ya kuvifanyia kazi. Pata mbinu za kujenga tabia bora na kuanza kuchukua hatua mara moja. Anza safari yako…

  • Namba Zetu Za Malipo

    Namba za malipo ya vitabu: Namba za lipa TIGO PESA: 19016638 Jina ni SONGAMBELE CONSULTANTS M-PESA: 5564517 jina ni GODIUS GORDIAN RWEYONGEZA Namba za kawaida AIRTEL MONEY: 0684408755TIGO PESA: 0655 848 392M-PESA: 0745 848 395 Kote jina ni GODIUS RWEYONGEZA NB: Kama namba ya malipo anatumiwa mtu ambaye yuko nje ya nchi. Iandikwe Kwa kuanza…

  • Karibu Kwenye Programme Ya Uandishi (CHUO CHA WAANDISHI)

    Karibu kwenye programme ya uandishi (CHUO CHA WAANDISHI) Hii Ni programme maalumu kwa ajili yako wewe unayetaka kujifunza uandishi wa vitabu, makala pamoja wewe unayetaka kuandika (historia ya maisha yako). Je, wewe ni mtu wa aina hii, basi soma kwa umakini hapa ili uweze kung’amua mambo mengi mazuri kwa ajili yako! Kozi hii inaendeshwa kwa…

  • Mara yako ya mwisho kupima thamani ya utajiri wako ni lini?

    Nakumbuka siku za nyuma niliwahi kuandika makala iliyokuwa inakueleza hatua kwa hatu anamna ya kupima thamani ya utajiri wako. Kama hukupata kuisoma hii makala, unaweza kuisoma sasa hapa. Na kama uliisoma basi isome kwa mara nyingine leo kwa kUBONYEZA HAPA. Leo ningependa tu kujua mara yako ya mwisho kupima thamani ya utajiri wako ilikuwa ni…

  • Mwandishi ni nani

    Mwandishi ni yule anayeunda fikra na kugusa mioyo ya watu…

  • Kitabu Hiki Kinahusu Nini?

    Mara kwa mara napokea maswali kuhusu kitabu Cha MAAJABU YA KUSOMA VITABU. Maswali haya yanatokabkwa wale ambao hawajakisoma na wanapenda kujua kwa ufupi kinahusu Nini? Unaamzaje kumweleza mtu juu ya kitabu kilichosaidia maelfu ya watu KUJENGA tabia ya ya KUSOMA vitabu? Nadhani kwa ufupi kitabu hiki kinaeleza NGUVU YA KUSOMA VITABU na JINSI vitabu vinavyoweza…

  • Utajiri ni haki yako ya msingi

    Utajiri ni asili lyako, hivyo usiogopeshwe na wala usidanganywe na mtu yeyote anayekwambia kwamba utajiri siyo saizi yako au siyo kitu unachopaswa kuwa nacho. Fursa za kuwa tajiri zipo kwa usawa kwa kila mmoja. Zitumie hizo fursa vizuri haswa. Utajiri hauna ubaguzi. Haumpendelei mmoja na kumbagua mwingine. Unatoa fursa kwa usawa kwa watu wote Unapawa…

  • Vitabu vipya vya GODIUS RWEYONGEZA

      Godius Rweyongeza amezindua vitabu vipya. Na Kwa kuwa ndiyo kwanza amevizindua basi vitakuwa vinapatikana Kwa ofa. Chagua vitabu vitatu kati ya hivyo, utumiwe vitabu hivyo Kwa bei ya ofa Sasa hivi Vitabu vyenyewe ni: 1. TENGENEZA PESA KWA KILE UNACHOJUA 2. NGUVU YA KUFIKIRI KWA UKUBWA 3. FURSA AMBAZO VIJANA WA SIKU HIZI WANACHEZEA…

  • Jambo Moja Kubwa La Kujifunza Kutoka Kwa Kampuni ya Alibaba

    Picha hizi hapo ni picha za matangazo ya kampuni ya Alibaba ambayo binafsi nimekutana nayo mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii. Mtandao wa alibaba ni moja ya mtandao ambao unawekeza sana kwenye mtangazo. Ukiingia google unakutana na matangazo yao. Ukiingia youtube, unakutana na matangazo yao. Ukiingia facebook, matangazo yao pia yapo, Ukiwa instagrama matangazo…

  • Leo ni Siku ya Wafanyakazi Duniani!

    Asanteni na hongereni nyote kwa kujituma na kujitolea kila siku katika kazi na majukumu mnayofanya. Nyie ndiyo mnafanya taifa letu kuzidi kuwa Bora zaidi. Juhudi zenu zinathaminiwa sana na zinastahili pongezi kubwa mno! Tunathamini sana mchango wenu katika ufanisi maendeleo ya nchi yetu. Hongera kwa kazi nzuri mnayofanya! ” Leo Nina OFA Kwa ajili Yako…

X