-
Ufanyeje pale bidii yako inapotumika kama mtaji kwa watu wengine
Siku moja kuna rafiki yangu aliniuliza swali, alitaka kujua kuwa unafanyaje pale ambapo unakuwa na bidii na watu wanajua kuwa una bidii ila wanataka wakutumie. Leo ningependa kujibu swali hili kwako wewe ambaye unaona kwamba una bidii na watu wanaitumia hovyo. Kwanza ningependa kwa kuanza kusema kwamba unapaswa kuwa na bidii kwenye kazi zako. hakikisha…
-
Karibu Kwenye Semina Ya Kufanya Makubwa Mwaka 2023: Fanikisha Ndani Ya Miezi Sita Kile Ambacho Wengine Huwa Wanafanya Kwa Mwaka Mzima
Rafiki Yangu mpendwa, bila shaka unaendelea vizuri kabisa. Moja ya jambo la msingi kabisa ambalo unahitaji kuhakikisha kwamba umelifanya kwenye maisha yako ni kujenga utaratibu wakujifunza. Kujifunza kunaweza kuwa kupitia kusoma vitabu, kusikiliza mafunzo ya sauti au mafunzo ya vitendo pamoja na semina. Kwa kulitambua hili, mwaka huu tutakuwa na semina ya ana kwa ana…
-
Jinsi Ya Kujenga Mafanikio Makubwa Hata Kama Hauna Kitu
Hapo zamani za kale, ili kujenga utajiri ulipaswa kuwa na ardhi kubwa, ng’ombe na vitu vingine vinavyoendana na hivyo. Ulipokuwa na vitu vya aina hiyo, hapo sasa ndipo watu walikuwa wanasema kwamba mtu fulani ni tajiri. Ila leo hii mambo yamebadilika. Baadaye ilikuwa inaaminika kwamba ili kujenga utajiri unapaswa kuwa walau na konekisheni na ndugu…
-
Kitu muhimu ambacho kila mtu anapswa kukifhamu
Rafiki yangu, najua kuna vitu vingi ambavyo unahitaji kufahamu. Ila siyo kila kitu unachokifahamu kina manufaa chanya kwako. kwa mfano unaweza kufahamu kuwa kuna ajali fulani sehemu fulani, ila siyo kwamba hiyo ajali ina manufaa yoyote kwako. au kwa wewe kufahamu kuwa kuna vita sehemu fulani, hilo kwa kupande wako siyo kwamba linakuwa na matokeo…
-
Wewe unapenda kitu gani?
Kati ya vitu vyote, nilipenda vitabu zaidi– Nikola Tesla Wewe unapenda kitu gani? Nadhani hili ni swali ambalo ukiuliza kwa vijana kama sisi wa siku hizi utapata majibu ya ajabu Sana. Kama unaweza kuvumilia *pressure,* Basi uliza hilo swali. Ila Kama una *pressure* ya haraka basi usiliuze labda Kama umechoka kula ugali. Hahaha Nakwambia hivyo,…
-
Hiki kitu kimoja tu kinaweza kukufanya ulipwe zaidi ya unavyolipwa Sasa
Rafiki yangu, najua Mara kwa mara huwa nakwambia njia mbalimbali za kukusaidia KUONGEZA kipato chako. Nafanya hivyo kwa sababu nakupenda. Najua wazi kuwa haupaswi kutegemea chanzo kimoja cha kipato. Lakini pia najua wazi kuwa kama chanzo chako kimoja ni ajira Basi maana yake unapaswa kuhakikisha kwamba umepanbana na kuongeza vingie zaidi zaidi ili vitakavyokuingizia kipato…
-
Hiki kitu kimoja hakiwezi kukupa mafanikio unayotaka
Watu wengi wanapenda kupata mafanikio kiasi kwamba ukiingia kwenye chumba Chenye watu kumi na Kuuliza wangapi wanapenda kufanikiwa? Utashangaaa kuona mikono zaidi ya kumi ikiwa imenyooshwa juu. Kwa Nini? Kwa sababu baadhi ya watu wanapenda Sana mafanikio kiasi kwamba wanakuwa tayari kunyoosha mikono miwili juu. Japo watu wengi wanapenda mafanikio, Ni wachache Sana ambao wanakuwa…
-
Vitu Saba vya KUZINGATIA unapokuwa na miadi na watu
Rafiki yangu wa ukweli, siku ya leo Ningependa nikwambie vitu saba unavyopaswa KUZINGATIA pale unapokuwa na miadi na watu. Kwenye ulimwengu wa Biashara, miadi Ni jambo ambalo haliepukiki. Utahitaji kukutana na Wateja. Utahitaji kukutana na wasambazaji, utahitaji kukutana na washirika, utahitaji kukutana na wafanyakazi na wengineo wengi… Sasa yafuatayo ni mambo saba ya kuzingatia Kwanza.…
-
Kwa nini vijana wengi hawawekezi kwenye soko la Hisa, hatifungani na vipande
Mwishoni mwa mwaka Jana nilipata kuhudhuria mkutano mkuu wa mwaka wa mfuko wa umoja kwa njia ya mtandao. Mkutano huu ulikuwa unafanyika kwenye ukumbi wa Mwalimu Nyerere UBUNGO lakini pia ulikuwa ulifanyika kwa njia ya mtandao. Kitu kikubwa kilichokuwa kinaongelewa kwenye huu mkutano ilikuwa ni ripoti ya mwaka 2021/2022 ya mfuko wa umoja. Baada ya ripoti…
-
KUWA IMARA
Tunaishi katika dunia ambayo haipendi vitu ambavyo siyo imara. Na hili jambo la KUWA imara halijaanza leo. Limekuwepo kwa siku nyingi sana. Vitu ambavyo vimekuwa imara kwa miaka mingi ya nyuma, ndivyo ambavyo viliendelea kuishi, huku vile ambavyo siyo imara vikidhoofu na kufa. Watu wanyonge, mimea minyonge, wanyama wanyonge havina nafasi kubwa ya kuishi Kama…
-
Maisha Yako Ni wajibu wako
Maisha Yako Ni wajibu wako, usisubiri MTU aje akusaidie wewe kufanya vitu ambavyo wewe mwenyewe unapaswa kufanya. Ebu chukulia vitu vya kawaida tu Kama KUTUNZA mudaKuweka akibaKuamka mapemaKufanya Kazi kwa bidiiKusoma vitabu na kufanyia kazi Yale unayojifunza. Je, hivi unahitaji mtu akusaidie kuvifanya? Na hivi unalalamika kwamba serikali haijavifanya kwa niaba yako? Hivi kweli uko…
-
Kitu Chenye Thamani Unachopaswa Kuwa Nacho Kuanzia Leo Hii
Rafiki yangu ili uweze kuishi vizuri kwenye dunia ya sasa. Ni vizuri sana ukihakikisha kwamba una ujuzi wa kufanya jambo au kitu fulani. Hiki ni kitu ambacho wewe mwenyewe unaweza kujenga. Ujuzi wako unaweza kukutambulisha popote na kwa yeyote. Ujuzi wako unaweza kukulipa. Kama hauna ujuzi ni muda wako sasa wa kuhakikisha kwamba unaanza kujenga…
-
Kama Unatumia Nguvu Kubwa Kujitambulisha…
Kama unatumia nguvu kubwa kujitambulisha jua bado unapaswa kuweka nguvu kubwa kwenye kufanya kazi kwa bidii pia. Unajua kwa nini? Kwa sababu watu hawakujui. Pata picha Sasa hivi umepigiwa simu naSamia Suluhu HassanVile tu akijitambulisha kwako, hutahitaji KUANZA KUMWULIZA maswali mawili au matatu. Utakachofanya utaanza kumsikiliza anataka kusemaje? Lakinj he, vipi wewe kwa upande wako.…
-
Tofauti Kati ya wale wanaofanya makubwa na wale wanaofanya vitu vya kawaida
Kwenye kitabu cha 10X Rule Grant Cardone, anasema kwamba tofauti pekee Kati ya wale watu wanaofanya makubwa na wale wanaofanya mambo ya kawaida imelala kwwnye kanuni ya mara kumi zaidi. Kadiri ya kanuni hii Ni kwamba kama unataka kupata matokeo makubwa zaidi ya unavyopata sasa hivi, sharti uwe tayari kufanya vitu mara kumi zaidi ya…
-
Hii Ni Sanaa Unayopaswa Kuitumia Kila Siku Kwenye Maisha Yako
Rafiki yangu, nipe dakika moja tu nikufundishe Sanaa unayopaswa kuitumia kwenye maisha Yako kuanzia leo hii. Wakati tunasoma Sekondari tulikuwa tunasikia stori kuwa masomo ya sayansi yanalipa sana. Hivyo, NGUVU kubwa tukaiweka huko Nilipoingia chuoni, ni kozi ya horticulture. Hapa kitu Cha kwanza kabisa unachofundishwa, unaambiwa kuwa horticulture is an art and sayansi. Halafu kumbe…
-
Kama Kuna Kitu Unataka Kufanya Kifanye
Badala ya kukaa na kusubiri MTU au watu fulani waje wakusaidie kufanya na kukamilisha kitu au jambo fulani, nakushauri kwamba Kama Kuna Kitu unataka kufanya. Kifanye. Ukiendelea kumsubiri mtu au watu fulani waje wakusaidie kukifanya ukweli Ni kwamba utasubiri sana na hawa watu unaweza usije kuwaona maisha yako yote. Kwenye hii dunia kuna watu wa…
-
Hii Ndio Njia Pekee Ya Kuhakikisha Kwamba Unapata Upendeleo Popote Pale Utakapoenda
Hii ndio njia pekee ya kuhakikisha kwamba unapata upendeleo popote pale utakapoenda Sisi binadamu huwa tunapenda sana kuonekana mbele ya watu kama watu wa thamani sana. Tunataka tukikuta sehemu fulani tusianze kupanga foleni, badala yake tupite kwenye hiyo foleni na kuhudumiwa. Tunapenda tukiwa kazini tupandishwe vyeo. Tunapenda tukiwa kwenye foleni, gari letu lipishwe lipite haraka…
-
Jinsi Ya Kubobea Kwenye Kitu Chochote
Rafiki yangu habari ya leo. Bila shaka unaendelea vyama, siku ya leo ningependa kukwambia njia ambayo itakusidia wewe kuweza kubobea kwenye kitu chochote ambacho unafanya, na njia hii siyo nyingine bali ni kufanya kitu husika kwa marudio na mara kwa mara. Yaani, kama unataka kubobea kwenye kitu chochote kile usikifanye kitu hicho mara moja kisha…
-
Vitu Vitano Vinavyotofautisha watu wanaopata mafanikio ya kawaida na mafanikio makubwa
Watu wawili, wanaweza kuzaliwa na wazazi walewale, wakapata elimu ileile, chini ya walimu walewale. Na kwenye mazingira yaleyale. Ila mmoja akatokea kuwa mwenye mafanikio makubwa sana, huku mwingine akiwa na mafanikio ya kawaida sana au hata pengine kuishia kwenye umasikini. Unajua kwa nini kitu kama hiki kinatokea. Kwenye makala hii ya siku yaleo ninaenda kukuonesha…
-
Inawezekana kuondokana na madeni..
Madeni ni moja ya kitu ambacho kinawasumbua watu wengi na hivyo kuwafanya washindwe kuwa na uhuru lakini hapohapo kuwanyima mwanya wa kuufikia uhuru wa kifedha. Sasa ukweli ni kwamba, inawezekana wewe hapo kuufikia uhuru wa kifedha na kuondokana na madeni. Vifuatavyo ni vitu muhimu vya kufanya ili uweze kuondokana na madeni. Kwanza orodhesha madeni yako…