Category: A NOTE FROM SONGAMBELE

  • Jinsi ya kuandika KITABU kikubwa kwa namna ya kawaida

    Mwaka juzi nilitoa Kitabu CHANGU cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO. Kwenye Kitabu HIKI nimeeleza hatua kwa hatua jinsi ambavyo unaweza kufikia malengo na ndoto kubwa kwenye maisha. Mmoja wa wasomaji wa Kitabu hicho alinipigia simu baada ya kuwa anlmekisona na kuniambia kuwa ana ndoto ya kuandika tamthiliya. Niliongeaa Naye na kumtakia kila la kheri.…

  • Kitu kikubwa na muhimu kwenye ujasiriamali siyo kujua kutengeneza bidhaa

    Kitu kikubwa na muhimu kwenye ujasiriamali siyo kujua kutengeneza bidhaa. Siyo kabisa! Ingekuwa hicho ndio kitu kikubwa basi wengi wangekuwa wametoboa. Hiyo ni sehemu ndogo tu… Juzi tu hapa nilikuwa naongea ndugu mmoja ambaye anakaribia kuhitimu chuo. Kama ilivyo kawaida yangu nilimwuliza una mpango gani na maisha baada ya chuo…! Hili ni swali ambalo nimewauliza…

  • Kitu gani unaenda kufanya wiki hii ili kujisogeza karibu na malengo yako?

    Kwenye kitabu changu cha KUTOKA SIFURI MPAKA KILELENI, nimeeleza kwamba kadiri unavyokuwa unafanyia malengo yako, yenyewe yanakuwa yanasogea karibu pia. Hivyo, Kuna sehemu mtakutana ambayo ndiyo pointi ya wewe kufikia melengo yako. Sasa wiki mpya tayari imeanza, ni kitu gani unaenda kufanya wiki hii ili usogee karibu na malengo yako? Hakikisha unafanya kitu. Bila kufanya…

  • Namna ya kufanya usomaji wa vitabu uwe sehemu ya pili ya maisha yako

    Kusoma ni tabia. Na tabia yoyote hujengwa.  Kuna tabia ambazo unazo sasa hivi unazifanya ila hujiulizi mara mbili kama uzifanye au uache. Kwa mfano kila siku unapiga mswaki ila hujiulizi mara mbili kwamba upige au usipige leo utapiga mswaki kesho. Yaani, kupiga mswaki kumeshakuwa tabia yako ya pili. Sasa hata kusoma kunapaswa kuwa tabia yako…

  • Zama Zimebadilika (Part 1)

    UTANGULIZI Dunia tunamoishi sasa imepitia katika nyakati mbali mbali kwa vipindi mbali mbali. Dunia hii imekumbana na vitu mbali mbali ambavyo vimekuwa vikiiweka hii katika vipindi kadha wa kadha ambavyo tunaviita zama. Zama ni nini? Kamusi ya Kiswahili sanifu inazizungumzia zama kama nyakati. Kwa hiyo tungeweza kusema kwamba nyakati sasa zimebadilika badala ya kusema kwamba…

  • KUTOKA KWENYE AJIRA MPAKA KUJIAJIRI

    Nakumbuka juzi nilikushirikisha safari ambayo unapaswa kuifuata ili uweze kujiajiri kama umeajiriwa kwa sasa. leo hii naomba kuendelea tena kwa kukushirikisha vitu zaidi kwenye suala zima la ujasiriamali na kujiajiri.  Na leo ninakushirikisha machache niliyopata kutoka kwenye kitabu cha Employee To Entrepreneur Moja ya ushauri ambao umekuwa unatolewa kwa watu wengi ni ushauri wa kwamba…

  • Ushauri Mzuri Ambao Nimewahi Kupokea Maishani Mwangu

    Nakumbuka mwaka 2016 hivi wakati naendelea na masomo yangu ya chuo. Nilikuwa njia panda nikifikiria niache chuo niendelee na biashara na uandishi au nifanyeje? Uamuzi wangu ulikuwa kuacha chuo… Baadaye katika kuwashirikisha watu wangu wa karibu; mmoja wao aliniambia hivi; Godius fanya vyote, endelea na kusoma, andika na fanya biashara. Ukifanikisha vyote vitatu utaonekana shujaa…

  • Nguvu Ya Kuwa Na Ratiba Na Mambo Matano Ya Kujifunza Kutoka Kwa Benjamin FranklinKila Mara nimekuwa

    Kila mara nimekuwa nikisisitiza juu ya umuhimu wa kuwa na ratiba. Ukiamka asubuhi pangilia siku yako kwa namna ambavyo ungependa iwe. Andika vitu ambavyo utafanya na hata vile ambavyo hutafanya. Lakini pia kuna vitu ambavyo vinajirudia kila siku katika ratiba yako. Na hapo ndipo unapaswa kuwa na mfumo fulani ambao unaufuata. Mfumo huu utakuwezesha wewe…

  • TAARIFA: Masomo Na Uchambuzi Kuhusu Soko La Hisa Kwa Siku 30 Zijazo

    Leo rafiki yangu nina habari njema Sana. Unajua ni habari gani? Ewaaa! Ni kuhusu uwekezaji kwenye soko la hisa. Kwa siku 30 zijazo kuanzia tarehe tarehe 1 aprili nitafanya kimoja kati ya vifuatavyo.1. nitatoa uchambuzi Kuhusu mwenendo wa soko la hisa2. Nitatoa mafunzo kuhusu soko la hisa3. Nitajibu maswali yanayoulizwa kuhusu uwekezaji na soko la…

  • Kwa nini hufikii ndoto zako

    Umekuwa na ndoto kubwa Ila bado hazifanikiwi? Unajua kwa nini? Najua kwa asili sisi ni viumbe wenye ndoto kubwa. Ndio na hili naweza kuliona kwa watoto wadogo. Maana mtoto mdogo haogopi kusema waziwazi kuwa siku moja atakuwa daktari au kuwa siku moja atakuwa rubani. Mtoto akiona ndege anasema ni ya kwangu au ya baba yangu…

  • Kinachowatofautisha Wanaofikia Ndoto Zao Na Ambao Hawazifikii

    Kitu kimoja kikubwa ambacho kinawatofautisha wanaofikia ndoto zao na ambao hawazifikii ni vitendo. Wanaofikia ndoto kubwa ni watu wa vitendo. Siyo watu wa kukaa mtandaoni na kuanza kuzungumzia ndoto zao. Bali vitendo vyao ndivyo vinaongea. Wewe pia kama unataka kufikia ndoto zako. Tenda zaidi ya unavyoongea. Hivyo tu. Anza leo.

  • Ulipata kitabu cha bure?

    Rafiki yangu kwa siku Sasa nimekuwa natoa kitabu cha bure. Itasikitisha sana endapo hutachangamkia hii ofa na kuchukua hiki kitabu. Yaani, wewe ushindwe kupata kitabu cha kununua. Ushindwe hata kupata cha bure. Kweli? Ebu chukua hatua Sasa hivi…. Kipate hapa

  • Njia nzuri na ya pekee ya kupata matokeo yadumuyo

    Kama kuna mtu ambaye amekufikisha wewe juu, mtu huyohuyo anaweza kukuangusha chini. Kama umetumia njia ya mkato, njia hiyohiyo inaweza kukurudisha chini Njia nzuri na ya pekee ya kupata matokeo yadumuyo ni kufuata mchakato.Mchakato unakujenga.Hata ukianguka unaweza kusimama tena maana unakuwa unaujua mchakato. Rafiki yangu, kazana kuujua mchakato, kisha ufuate.

  • Mwongozo Sahihi Wa Kufikia Malengo Na Ndoto Zako

    Ebu kwa mfano fikiria hili Umezaliwa na kukua katika mazingira ambayo wewe mwenyewe kabisa unaona huyapendi. Baadaye unasikia kuwa ukitaka kufanikiwa unapaswa kuweka malengo. Unaweka malengo lakini bado huoni matokeo makubwa, badala yake ni kama umeamua kujifukia kwenye shimo. Habari za kuwa unapaswa kuwa mvumilivu zinakufikia. Unasema ngoja niwe mvumilivu kwanza.Lakini bado hola! Unafanyaje sasa?…

  • Wateja wako wasikusahau

    Hakikisha kila mara unawasiliana na wateja wako. Usipowasiliana na wateja wako mara kwa mara watakusahau na hata kushindwa kuja kununua kwako. Kitu hiki kinaweza kupekelekea wateja wako kwenda kununua kwa washindani wako. Weka utaratibu wa kuwasiliana na wateja wako kila mara. Tafuta sababu (excuse) nzuri ya kuwasiliana na wateja wako.Mfano siku ya kuzaliwa kwao wapigie…

  • Ushauri: Mbinu Za Kuuza Kitabu Kwa Mafanikio Makubwa

    Unaendeleaje rafiki yangu. leo hii ninaenda kuwa najibu swali nililoulizwa na mmoja wetu ambaye anapitia kwenye changamoto baada ya kuwa amezindua kitabu chake na hakijafanya vizuri. Ebu kwanza tuone anachosema; Habari yako kaka kwa mara nyingine!!! Pole na hongera kwa kuendelea na wajibu ulokuleta duniani. Ni takribani wiki 1 toka nitoe kitabu changu kiitwacho “THAMANI…

  • Gharama Sita Unazopaswa kulipa ili kufikia ndoto zako.

    Ukiwa na ndoto kubwa unapaswa kuwa tayari kulipa gharama. Ni vigumu kufikia ndoto kubwa bila ya kulipia gharama ndoto zako. Na linapoongelewa suala zima la gharama basi watu wengi wanadhani gharama ni pesa peke yake. Hapana. Hizi hapa ni gharama sita unazopaswa kulipa ili kufikia ndoto zako

  • Uhuru wa kifedha ni nini?

    Uhuru wa kifedha ni pale ambapo unakuwa na fedha za kukutosha kwa kutumia kipindi fulani. Kama wewe matumizi yako kwa siku ni shilingi elfu tano. Ukiwa na milioni moja maana yake utakuwa na uhuru wa kifedha wa  siku 200. Ila ukiwa na shilingi milioni moja na matumizi yako kwa siku ni laki moja maana yake…

  • KWA NINI UNAPASWA KUANZISHA BIASHARA

    1 zama zimebadilika Mambo yanabadilika aisee! Zamani ulikuwa hivi, ulitakiwa kwenda shule, kusoma kwa bidii ma baadaye ulikuwa na uhakika wa kupata ajira. Siku hizi mambo yamekuwa tofauti. Kuna watu wengi ambao wamehitimu na wapo mtaani ila kazi hawana. Kwa hiyo je, tuendelee kuwambia wanetu na washikaji zetu kuwa waende shule wasome kwa bidii ili…

  • Ndoto siyo ile unayoota ukiwa umelala, ndoto ni ile unayoona ukiwa macho

    Kama kuna kitu ambacho utapaswa kufanya maishani mwako na kikawa ni kitu chenye manufaa makubwa kwako ni kukaa chini na kuandika ndoto yako chini. Unaweza kuona kukaa chini kupanga vitu ambavyo ungependa kufikia maishani mwako kama ujinga, ila ukweli ni kwamba ukishindwa kupanga unakuwa unapanga kushindwa. Kiuhalisia muda ambao unatumia kupangani mdogo ukilinganisha na manufaa…

X