Category: A NOTE FROM SONGAMBELE

  • Wanawake Watano Walioshindwa Karibia Kwenye Kila Kitu Na Bado Wakashinda Kwa Kishindo

    kuna usemi wa wahenga wetu wanaosema kuwa kukatika kwa jamvi sio mwisho wa mazungumzo. Jamvi linaweza kukatika na bado mazungumzo yakaendelea, tena vizuri tu. Sasa leo, natakata niongee nawe kuhusu hili suala na hasa wewe mwanamke.Leo nimekuandalia Makala maalumu, huku nikitaka uchukue masomo makubwa kutoka kwa wanawake walioanguka na bado wakainuka na kushinda kwa kishindo…

  • Nguvu Ya Jina (jina la biashara, jina lako na Jina la brand yako)

    Bidhaa mbalimbali huwa zinatambulika kwa majina. Kila mtu huwa anatambulika kwa jina lake. Hata hivyo iko wazi kuwa baadhi ya majina yakitajwa, yanakuwa na nguvu ukilinganisha na majina mengine. Kuna kampuni ikizindua bidhaa fulani, watu wataikimbilia kuinunua na kampuni nyingine inaweza kuzindua bidhaa ya aina hiyohiyo ila watu wakawa hawajaikimbilia. Na ukifuatilia kiudani zaidi unaweza…

  • Kitu Cha Kufanya Ndoto Yako Inapohusisha Watu Wa Nje

    Kuna nyakati ndoto na malengo yako yanahusisha watu wa nje. Yanahusisha taasisi za serikali, makampuni fulani au hata mataifa mengine ambayo yana taratibu zake, utendaji kazi wake na kila kitu cha kwake. Watu hawa utakuta kwamba wana njia zao kutenda na kushughulika na vitu vyao katika namna ambayo inaweza isiwe rafiki kwako. Kwa mfano, unaweza…

  • Vitu Vya Kuepuka Ili Uweze Kuishi Maisha Mazuri

    Kwanza kabisa, hakikisha unaepuka kulalamika. Ukilalamika unakuwa unawanufaisha wale ambao wanakusikia. Epuka kufuatilia maisha ya watu wengine Epuka kutumia fedha yako yote ulyonayo bila kuweka akiba Epuka kukopa. Tumia dfedha yako Epuka kutumia fedha zaidi ya kipato chako Epuka kumezwa na mitandao ya kijamii Epuka kuianza na kuimaliza siku yako bila ya kuwa na malengo…

  • Anza Na Kina Kile Ulichonacho

    Kabla hujasema kwamba haiwezekani na wala siwez i kufanya kitu fulani, jihoji kiundani na uangalie ni kitu gani unaweza kufanya. Kuna vitu vingi unaweza vizuri tu Kabla hujasema kwamba, sina cha kuanza nacho, angalia vizuri ikwenye mazingira yako ni kipi ulicho nacho ambacho unaweza kuanza kutumia sasa hivi. Kuna vitu ulivyo navyo ambavyo unaweza kuanza…

  • Njia Tano Rahisi Za Kukuza Biashara Kwenye Zama Hizi Za Mtandao

    Rafiki yangu hongera sana kwa siku hii nyingine na ya kipekee sana. Siku ya leo ningependa nikuelekeze njia tano tu ambazo zitakusaidia wewe kukuza biashara yako kwenye zama hizi za intaneti. Njia hizi ni rahisi kufanyika na unaweza kuzifanyia kazi popote pale ulipo Kwanza hakikisha kwamba biashara yako ipo kwenye mtandao. Kwenye zama hizi hapa…

  • NGUVU YA NENO: MANENO HUUMBA NA KAULI 101 UNAZOPASWA KUZIEPUKA ILI KUFANIKIWA

    UTANGULIZI Maneno huumba. Ni usemi mfupi wa wahenga ila wenye maana kubwa sana. ni ukweli kuwa maneno yana uwezo wa kuumba kitu chochote. Ukitaka maneno yakuumbie kitu kizuri, basi unaongea maneno chanya. Ukitaka maneno yakuumbie kitu kibaya basi unaongea unaongea maneno hasi. Ni hivyo tu. Sasa kwenye kitabu hiki nimeona nikuletee kauli 101 ambazo unapaswa…

  • Kama Huna Fedha Basi Kuna Maeneo Haya Matano Unayakosea

    2. Sina fedha/sina hela Hii ni kauli ambayo moja kwa moja inakufunga na kukufanya usione upenyo wa kutoka. Ukisema sina hela maana yake unakuwa unainyima akili uwezo wa kufikiri nje ya boksi na kuona fursa gani zaidi unazoweza kupata. Badala ya kusema sina fedha, unaweza kujiuliza hivi hapa nawezaje kupata fedha? Au ni mbinu gani…

  • Ifahamu Kanuni Ya Asilimia Moja Na Jinsi Ya Kuitumia

    Hii ni kanuni ambayo ukiifahamu utaishi maisha mazuri na utafanya makubwa kwa nguvu kidogo sana. Yaani, itakuwa kama unagusa tu na mambo yanajipanga. Kulingana na kanuni hii ni kwamba, Kila siku kwako inapaswa kuwa ni siku ya kukua kwa asilimia moja tu. Kama umeweka malengo basi siku ya leo yafanyie kazi kwa asilimia moja, na…

  • Mitandao Ya Kijamii Kama Dozi

    Siku hizi mitandao ya kijamii imekuwa ni aina mpya ya dozi. Na dozi hii haitumiki mara mbili kwa siku au mara tatu.mtu anatumia dozi hii kadri anavyojisikia. Na kuna mwingine aina hii ya dozi anaitumia ikiwa ya kwanza anapoamuka na bado anaendelea kuitumia siku nzima mpaka kulala.Je, hayo ni matumizi sahihi ya mitandao? 1. Jiwekee…

  • Jinsi Ya Kulipwa Kwa Kufanya Kile Unachopenda

    Unaendeleaje rafiki yangu. Leo ni siku ya kipekee sana. binafsi nimeona nije kwako kwa lengo la kukueleza kitu kidogo tu, namna ambavyo wewe unawezakulipwa kwa kufaya kitu unachopenda. Zamani mambo yalikuwa shaghalabaghala. Ulikuwa unatakiwa kusoma kozi fulani na baadaye kwenda kufanya kufanya kazi hata kama kozi au sekta husika ulikuwa huipendi. Ila leo hii mambo…

  • Jipatie zawadi ya kitabu cha BURE hapa

    Unaendeleaje rafiki yangu, Bila shaka siku ya leo imeanza vyema kabisa. Siku ya leo nimeona nikupe zawadi ya kitabu. Hiki hapa Sitaki nitoe maelezo mengi kuhusu hiki kitabu, Ila nataka wewe ukisome kisha urudi hapa kutupa mrejesho. PATA KITABU CHAKO HAPA

  • Vitabu Viwili Vya Kusoma Mwezi Machi 2022

    Unaendeleaje rafiki yangu wa ukweli. mwaka 2022 unaendelea kusogea mbele. na ninajua tangu mwaka huu unaanza moja ya lengo lako kubwa lilikuwa ni kuhakikisha kwamba unasonga mbele na unafanya makubwa. Leo nataka nikueleze kuhusu vitabu viwili ambavyo vitakusaidia wewe kufanya makubwa, vitabu hivi ni THE PYSCHOLOGY OF MONEY NA  KIPAJI NI DHAHABU Hivi ni vitabu…

  • Inawezekana Kuvunja Rekodi

    Kabla ya mwaka 1954 watu waliamini kuwa mtu hawezi kukimbia maili moja (1500m) chini ya dakika. Waliamini mtu akifanye hivyo anaweza kufa. Hata hivyo, mwaka 1954 Roger Bannister alivunja rekodi kwa kukimbia mita 1500 kwa dakika 3:59:4.Kwa Mara ya kwanza kitu kilichotokea kinaonekana hakiwezekani, kiliwezekana. Kutokea hapo maelfu kwa maelfu wamevunja rekodi hiyo.Hali kama hii…

  • Jinsi Ya Kuanza Biashara Na Mtaji Kidogo Mpaka Kuikuza Kuwa Bisshara Kubwa

    Siku moja nilikuwa naangalia mtandaoni, nlikutana na picha iliyokuwa inaonesha kampuni ya azam ilivyoanza kama mgahawa, ambao ulikuwa unahudumia katika mkoa wa Dar Es Salaam. Ambapo walikuwa wanafanya huduma za Catering na huduma nyingine zinahousisha hilo. Picha hiyo ilikuwa ni picha ya tangazo ambalo walifanya mwaka huo. Kama sijakosea ule mwaka uliooneshwa kwenye ile picha…

  • Uchambuzi wa Kitabu: The Psychology of Money: Mambo 94 niliyojifunza katika kitabu hiki.

    Mwandishi : Morgan Housel Karibu katika uchambuzi wa kitabu hiki muhimu sana kuhusu masuala ya fedha, tamaa, na tabia za watu wanazozionyesha wanapokuwa na fedha, kwenye uchambuzi huu utaelewa kwa kina kwanini tabia zina mchango mkubwa kukufanya kuwa tajiri au kuwa masikini. Yote haya tutajifunza katika uchambuzi wa kitabu hiki. Karibu! Linapokuja suala la fedha…

  • Jinsi Ya Kupata Mtaji Wa Biashara

    Siku ya leo tunaenda kuona ni kwa namna gani unaweza kupata mtaji wa biashara. Mtaji wa biashara kimekuwa ni kitu ambacho vijana wengi wanahangaika nacho. Wengi sana wamekuwawanauliza ni kwa jinsi gani naweza kupata mtaji wa kuanzia biashara. Tayari nimeshaandika ebook inayoeleza mitaji 8 iliyokuzunguka na jinsi ambavyo unaweza kuitumia hiyo mitaji. Lakini siku ya…

  • Inawezekana

    Ndio, inawezekana kwako wewe kufanya na kufanikisha kitu chochote kile utakachotaka kwenye maisha. inawezekana wewe kufikia ndoto zako. inawezekana wewe kuwa utajiri na kuagana na umasikini kiufupi inawezekana wewe kufanya kitu chochote na kukifanikisha.

  • Umeshapata ebook ya kipaji ni dhahabu? hivi ndivyo unaweza kuipata

    Juzi nilizindua ebook ya KIPAJI NI DHAHABU. Ebook hii imeeleza kwa kina mambo yote unayohitaji kujua kuhusu kipaji. Ndani yake Utajifunza kipaji ni Nini? Namna ya kugundua kipaji chako Namna ya kukiendeleza. Jinsi ya kutengeneza fedha kwa kutumia kipaji chako. Kipaji katika karne ya 21. Jinsi ya kutumia mtandao wa intaneti kwa manufaa na namna…

  • Kitu hiki tu kinakwamisha watu wengi Sana

    Moja ya kitu ambacho kinakwamisha watu wengi kwenye kufanyia kazi malengo ni kutojiwekea viwango. Unapaswa kuishi kwa viwango. Kampuni huwa zinajiwekea viwango vya uzalishaji wa bidhaa zake. Na muda mwingine viwango hivi huwa vinaangaliwa na watu wa ndani ya kampuni na nje ya kampuni. Kwenye kampuni unakuta kuna mkurugenzi anayehakikisha bidhaa zinazozalishwa ni bora. Wengine…

X