Category: A NOTE FROM SONGAMBELE

  • Watu ambao wanapata wazo  bora la biashara huwa wafanya hivi

    Usije ukafanya kosa la kukaa chini, na kuanza kusubiri upate wazo bora. Wazo bora halipatikani kwa kukaa chini n akuumiza kichwa. Muda mwingine wazo bora linapatikana kwa kufanya kazi. Ebu kwa mfano, hakuna mtu ambaye alikaa na kuumiza kichwa ili aje na wazo la tairi. Ugunduzi wa taili ulikuwa ni miongoni mwa mapinduzi makubwa, ambayo…

  • Kwa Nini Watu Wengi Na Hasa Vijana Wanashindwa Kuzifikia Ndoto Zao

      Juzi niliomba watu wapendekeze mada ambazo nitaandikia kwenye blogu yangu kupitia status yangu ya whatsap. Nilipokea maombi kadha wa kadha ambayo nitakuwa nayafanyia kazi moja baada ya jingine. Ombi mojawapo lilikuwa ni kuandika makala maalumu kueleza kwa nini watu wanashindwa kufikia NDOTO zao. Kabla sijaenda mbali nataka ufahamu kuwa tayari nimeandaa makala nyingi kuhusu…

  • Chukua Mambo Haya 10 Kuhusu Namna Ya Kuanza Kidogo Na Kufikia Pakubwa

    1. Mti wowote ule mkubwa haukuanza ukiwa hivyo, ulikua taratibu mpaka kufikia ulipofikia. Wewe pia kuwa tayari kuanza kidogo na kuendelea mbele zaidi. 2. Ukitaka kupanda ghorofa kuna njia mbili. Unaweza kupanda ngazi moja baada ya nyingine au unaweza kupanda lift. Ila fahamu kuwa njia ya kwanza itakuimarisha na kukufanya uwe bora zaidi. 3. Ukianza…

  • KUWA MABADILIKO UNAYOTAKA KUYAONA

    Kama kuna mabadiliko unataka kuyaona kwenye jamii yako wewe kuwa wa kwanza kuonesha njia. Badala ya kukaa na kulalamika kwamba unataka ufanyiwe kitu fulani. Onyesha njia. Fanya unachotaka kuona. Mabadiliko yanaanza na mimi na wewe. Ni mabadiliko gani unayotaka kuona? Picha hiyo hapo juu inaonesha kijana aliyetaka kufanya mabadiliko kwenye jamii yake kwa kuwasaidia kusoma…

  • Sifa Moja Kuu Ya Watu Wanaofanya Vitu Visivyo Vya Kawaida

    Wanaofanya vitu visivyo vya kawaida siyo kwamba wao wameshuka kutoka mbinguni au wana upekee ambao wewe huna. Ni watu tu kama wewe ambao wamejitoa kufa na kupona kuhakikisha kwamba wanafika mbali. Na huo ndio mwanzo wao wa kufanya vitu visivyo vya kawaida Godius Rweyongeza

  • Unawezaje Kupata Wazo La Biashara La Kipekee?

    Kwenye makala iliyopita nilikwambia kwamba huwezi kupata wazo la kipakee la biashara. Ni vigumu kupata wazo ambalo halijawahi kufanyika kabisa. Unachohitaji sana wewe, siyo wazo la kipekee ambalo halijawahi kufanyika. Unachihitaji ni kUchagua kitu kimoja na kuhakikisha kwamba unashughulika na hicho. Angalia jamii yako ina tatizo gani kisha tatua hilo tatizo. Ebu fikiria kuhusu sehemu…

  • E-BOOK MPYA: KIPAJI NI DHAHABU: Jinsi Ya Kukigundua, Kukinoa Na Kutumia Kipaji Chako Kwa Manufaa

    Najua umekuwa unajiuliza, hivi mimi nimezaliwa na kipaji? Kipaji changu Ni kipi?Nawezaje Kukigundua? Nakiendelezaje na kinawezaje kuninufaisha? Kwa majibu ya maswali yote hayo na zaidi, karibu usome ebook ya kipaji ni dhahabu. Ebook hii ya kipekee sana imejaa mambo mengi muhimu kuhusu kipaji, unavyoweza kukinoa, kukiendeleza mpaka kikakufikisha mbali. E-book hii ya kipekee itakusaidia wewe…

  • Ungekuwa wewe umewekeza kwenye hii kampuni ungefanyaje?

    Brown Unaendeleaje? Bila shaka umeamka salama  kabisa. Leo ninataka niongee na wewe kuhusu uwekezaji. Kwanza ebu niambie mimi, Ni kampuni gani unaikubali hapa Tanzania? Ni kampuni gani ambayo kwa vyovyote vile unapenda  huduma zake na kamwe huchoki kwenda kwao. Ebu niambie ni ipi hiyo? Inaweza hata isiwe kampuni kubwa, ikawa biashara yoyote ya kawaida tu,…

  • KIPAJI NI DHAHABU: Jinsi Ya Kukigundua, Kukinoa Na Kutumia Kipaji Chako Kwa Manufaa

    Nakumbuka mwaka 2013 nilikutana na vijana wenzangu ambao walikuwa kwenye mjadala mkali kuhusiana na Messi, Ronaldo na Neymar. Kwenye mjadala huu walikuwa wakijadili kuhusiana na uwezo wa wachezaji hawa, huku wengine wakisema kwamba Messi na Neymar wana kipaji ila Ronaldo akiwa anatumia nguvu. Nadhani kama wewe ni mpenzi wa soka, mijadala kama hii utakuwa unaifahamu…

  • Kipaji Ni Dhahabu: Jinsi Ya Kukigundua, Kukinoa Na Kutumia Kipaji Chako Kwa Manufaa

    Nakumbuka mwaka 2013 nilikutana na vijana wenzangu ambao walikuwa kwenye mjadala mkali kuhusiana na Messi, Ronaldo na Neymar. Kwenye mjadala huu walikuwa wakijadili kuhusiana na uwezo wa wachezaji hawa, huku wengine wakisema kwamba Messi na Neymar wana kipaji ila Ronaldo akiwa anatumia nguvu. Nadhani kama wewe ni mpenzi wa soka, mijadala kama hii utakuwa unaifahamu…

  • Kitu Kimoja Muhimu Usichokijua Kuhusu Darasa Rasmi La Uandishi Mwaka 2022

    Kuanzia tarehe 16 machi, 2022 tutakuwa na darasa rasmi la uandishi. Darasa hili maalumu litahusisha watu wachache tu. Watu 10. Ukihudhuria darasa hili: 👉Utaandika kitabu chako na kitakamilika ndani ya siku 30. 👉 Nitakusimamia na kusoma kazi zako unazoandika kila siku na kukusaidia kuziboresha. 👉 Nitakufungulia blogu ya bure. 👉 Utajifunza mengi kutokana na yale…

  • Maswali Unayopaswa kuwauliza watu waliofanikiwa

    Ukikutana na mtu ambaye amefanikiwa, usitoke bure kwake. Kuwa mdadisi ili uweze kujua ni kitu gani ambacho kimeweza kumpa mafanikio makubwa. Yafutayo ni maswali ambayo unapaswa kuwauliza watu waliofanikiwa? 1. Imekuwaje umefanikiwa wakati wengine huona siyo rahisi kufanikiwa maishani? 2. Unawezaje kuendesha miradi mikubwa wakati mimi nahangaika na miradi midogo? 3. Nini siri ya mafanikio…

  • Je, kizazi kijacho cha Mabilionea wa Afrika kitatokea wapi?

    Takwimu zilizotolewa na gazeti la Forbes ni kwamba karibia bilionea mmoja anatengenezwa kila baada ya dakika moja. Hii Ndio kusema kwamba fursa za kutengeneza mabilionea zaidi zinazidi kuongezeka. Nafasi ya wewe kutengeneza ubilionea pia ipo, lakini endapo tu utaifahamu na kuiishi misingi na kanuni za kibilionea. Sababu Tano Kwa Nini Afrika Ndiyo Eneo Pekee Unapoweza…

  • Kama Bado Hujapata Nafasi Ya Kushiriki Darasa La Uandishi Kwa Mwaka 2022 Chukua Hatua Sasa Hivi

    Tunategemea kuwa na darasa rasmi la uandishi kwa mwaka 2022. Darasa hili la kipekee litaanza rasmi tarehe 16 machi. Kama ulikuwa huna habari basi taarifa rasmi  ilitolewa HAPA HAPA na BAADAYE ikatolewa hapa. Idadi ya watu ambao watashiriki kwenye darasa hili hapa la kipekee Ni kumi tu, na nafasi zinazidi kupungua kila kukicha. Hivyo, kama…

  • Umuhimu Wa KUWEKEZA Kwenye Hisa

    Kwa Tanzania kumekuwepo na hiki Kitu kinaitwa Vicoba na michezo. Wengi wamekuwa wanaweka fedha zao kwenye hii michezo, ambapo muda mwingine wanalizwa kwa kutopewa fedha zao. Na muda mwingine wanaweka fedha kwa pamoja BAADAYE zinaibiwa na mtu mmoja, wahusika walio wengi wanaishia kulia. Nadhani huku ni kuangamia kwa kukosa maarifa.  Hivi wewe ushawahi kusikia kitu…

  • Kama Unataka Kubadili Dunia Fanya Haya Hapa

    Unaendeleaje rafiki yangu Nimekutana na watu wengi wanaopenda kubadili dunia. Hata hivyo, cha kushangaza wamekuwa hawachukui hatua. siku leo, nimeona siyo vibaya, ngoja nikuandalie kitu kuhusu mabadiliko, kama unataka kubadili dunia fuatilia haya mafunzo. 1. Kama unataka kubadili dunia, tandika kitanda chako vizuri.(KITABU) Huu ni uchambuzi wa kitabu cha Make Your Bed kilichoandikwa na William…

  • Je, Viwanja Vya Zama Hizi Vimehamia Mtandaoni

    Leo nimeona nifunguke mambo ya muhimu sana baada ya kuona kwamba dunia inazidi kubadilika kwa Kasi sana wakati Watanzania wenzangu wakiwa wanaendelea kuishi kama vile hakuna kinachotokea. Zamani ilikuwa kwamba mtu akiwa na mashamba makubwa au viwanja basi alikuwa anahesabika kuwa ana utajiri mkubwa sana. ila siku hizi hali inaonekana kama imebadilika. Nadhani wewe mwenyewe…

  • Kwa Nini Mpaka Sasa hivi huanzishi biashara yako?

    Ngoja kwanza! Si ulisema mwaka 2020 kwamba utaanzisha biashara? Ilikuwaje? Nakumbuka mwaka 2021 ulisema ndio mwaka wako wa kufanya makubwa! Uliishia wapi? Mbona hilo wazo lako la kuanzisha biashara unarudia kulisema kila mwaka huku ukiwa huchukui hatua? Siku ya leo nataka nikudadavulie vitu vinavyokuzuia wewe kuanzisha biashara yako mwaka hadi mwaka na hatua unazoweza kuchukua.…

  • Dhana Ya Riba Mkusanyiko Kwenye Kipaji

    Hakikisha unasoma: Kipaji Ni Nini? Mwanasayansi Albert Einstein aliwahi kunukuliwa akisema “riba mkusanyiko (compound interest) ni moja kati ya maajabu saba ya dunia”. Dhana ya riba mkusanyiko imejengwa kwenye msingi kwamba vitu vidogo vidogo vidogo vinapokusanywa kwa pamoja kwa kipindi kirefu, basi inafikia hatua ambapo vitu hivyo vinatengeneza kitu kikubwa. Ukitaka kunielewa vizuri zaidi nikupe…

  • Mafanikio Sio Ajali

    Mafanikio siyo kitu kinachotokea mara moja kama ajali, bali ni kitu ambacho kinatokea kwa kuandaliwa kila siku. Kwa hiyo mafanikio yako unapaswa kuyaandaa kila siku. Usisubiri ije itokee siku moja ambapo utaamka ukiwa umefanikiwa. Ishi kila siku yako kwa mafanikio. Maana mkusanyiko wa siku moja moja ndio unaleta mafanikio makubwa. Soma zaidi: Nguvu Ya Riba…

X