Author: Godius Rweyongeza

  • Huduma Sita Muhimu Unazoweza Kupata Kutoka Kwangu

    Habari yako rafiki yangu. Siku ya leo nimeona nikushrikishe huduma  ambazo unaweza kupata kutoka kwangu. 1. HUDUMA YA VITABUMpaka sasa nimeandika vitabu 16. Unaweza kuona baadhi ya vitabu hivyo hapa. Chagua kitabu chochote unachoona kinakufaa, Kisha jipatie nakala ya kitabu husika. BONYEZA HAPA KUONA ORODHA YA VITABU VYANGU VYOTE. 2. HUDUMA YA KUJIFUNZA UANDISHIMoja ya…

  • Njia Tano Za Kuingiza Fedha Mtaani Kwako Kuanzia Leo

    Habari ya leo rafiki yangu. Siku ya leo nimeona nikuletee njia tano za haraka zitakazokufanya wewe kuanza kuingiza fedha kuanzia leo hapo mtaani Kwako. 1. Angalia kitu ambacho watu wanalalamikia sana kisha kifanye vizuri kwa kuondoa tatizo wanalolalamikia watu. 2. Tafuta sehemu yenye tatizo kisha litatue hilo tatizo. 3. Anza leo kufanya biashara ya mtaji…

  • Maeneo Matano Unapopaswa Kukaa Kimya

    Tumepewa mdomo na masikio mawili. Mara nyingi hiki kimekuwa kinatumiwa Kama kiashiria cha kuwa tunapaswa kuwa wasikivu.  Kuna mazingira ambayo wewe unapaswa kuwa kimya na usiongee sana. Sasa siku ya leo ninakuletea maeneo matano ambapo wewe unapaswa kuwa mkimya. Moja, kama unaona mtu unayeongea naye hakupi nafasi ya kuongea. Pili, pale unapoona mtu anaweza kukuelewa…

  • Ushauri Wa Mhe Jakaya Mrisho Kikwete Kwa Kijana anayetaka Kufanikiwa

      Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Ni rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Siku ya leo nimeona nikuletee ushauri murua kabisa kutoka kwake ambao Nina hakika utakusaidia sana wewe. Mheshimiwa anasema kwamba, kama unataka kula lazima ukubali kuliwa. Hii ndiyo kusema kwamba huwezi kupata vinono kama hujakubali kuhenyeka kwanza. Ukitaka…

  • Nukuu Tano Zilizokonga Nyoyo Za Watu Kutoka Kwenye Kitabu Cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO

    Kitabu cha JINSI YA KUFIKIA NDOTO ZAKO, ni kitabu ambacho kimeeleza kwa kina jinsi wewe unavyoweza kufanikisha NDOTO ZAKO na kufanya mambo makubwa. Kitabu hiki kina madini kuanzia mwanzo wa kitabu mpaka mwisho wa kitabu. Sasa kwenye hiki kitabu kuna nukuu nyingi ambazo zimekonga nyoyo za watu, ila leo nitakushirikisha nukuu tano tu. 1. …Ukweli…

  • Njia Tano Za Kusoma Vitabu Vikubwa Bila Kutumia Nguvu Kubwa

    Vitabu ni mojawapo ya njia ya kuongea na watu waliofanikiwa, viongozi maarufu, wanafalsafa, na hata watu wengine ambao tayari walishaaga dunia. Ni kupitia usomaji wa vitabu ndipo tunapata kuongea nao, kusikiliza maoni yao na hata kujadiliana nao mada fulani fulani. Sasa, watu wengi huwa hawapendi kusoma vitabu kutokana na ukweli kuwa vitabu vingine ni vikubwa…

  • Sababu Tano Kwa Nini Unakutana na Vikwazo na Changamoto

      Binafsi sio mpenzi wa kuangalia tamthiliya, ila kipindi nipo sekondari nilisoma sana vitabu vya tamthiliya . Kwenye vitabu hivi huwa kuna mhusika mkuu. Mhusika mkuu huwa anakutana na changamoto, kuna wakati anaweza kupigwa kiasi kila mtu akadhani amekata roho, kumbe bado yu hai. Kuna wakati mpaka anaweza kutupwa  kwenye maeneo ya hatari ila baadaye…

  • Jiandae kufanikiwa

      Mafanikio hayatakuja kwako Kama ambavyo jua linawaka kwa kila mtu, badala yake wewe unapaswa kujiandaa kwa ajili ya kufanikiwa. Tengeneza mazingira yanayovuta mafanikio kuja kwako. 1. Anza kuishi tabia za kitajiri kama kuweka kuweka akiba, kuamka mapema, kufanya tahajudi (meditation), kuweka malengo na Kuyafanyia kazi 2. Fanya kazi kwa bidii maana mafanikio halisi hayaji…

  • VIDEO: FUNZO KUBWA KUTOKA KAMPUNI YA SPACEX KUHUSU NAMNA YA KUFANYIA KAZI NDOTO ZAKO

      kampuni ya SpaceX ni moja ya kampuni yenye NDOTO ya kufanya watu wawe na makazi kwenye sayari tofauti. Hii ndiyo ndoto ta mwanzilishi wake #ElonMusk na wafanyakazi wote wa kampuni hiyo. Kampuni hii imekuwa na ndoto hii tangu ilipoanzishwa mpaka leo hi. ndiyo maana nasema lazima hapa Kuna kitu kikubwa Cha kujifunza.  Fuatilia someone…

  • Maeneo Matano Yanayopoteza Fedha Zako Na Jinsi Unavyoweza Kuipata Fedha Hii Kwa Ajili Ya Akiba

    Kuna vitu ambavyo unafanya au kununua na vitu hivyo vinakupelekea wewe kupoteza fedha ambayo ingekuwa msaada kwako. Sasa siku ya leo ningependa kukueleza vitu vitano vinavyokufanya wewe upoteze fedha. Fedha hii inaweza kuwa kianzio kwako kwenye masuala mazima ya kuweka akiba. MOJA, KUNUNUA au KULIPIA VITU UNAVYOWEZA KUFANYAKuna vitu ambavyo wewe mwenyewe unaweza kufanya kwa…

  • Ushauri wa Aliko Dangote Kwa Kijana Anayetaka Kuanzisha Biashara

    Aliko Dangote ni tajiri namba moja kwenye bara zima la Afrika, kitu kikubwa ambacho kimemfanya yeye kuwa tajiri mkubwa ni biashara zake anazofanya. Amekuwa akifanya biashara tangu miaka ya 70 mpaka leo. Ameanzia chini (SIFURI) mpaka ameweza kufikia mafanikio makubwa (KILELENI). Hivyo, ni wazi kuwa lazima  atakuwa na busara za kumwaga kwako na kwangu linapokuja…

  • Aina 5 Za Nidhamu Unazopaswa Kuwa Nazo

    Siku siyo nyingi sana niliakuandikia makala maalumu kukueleza maana halisi ya nidhamu. Kama hukubahatika kufuatilia makala hii basi ni muhimu kwako kuhakikisha kwamba unabonyeza HAPA ili kuifuatilia makala hii kwanza.   Sasa baada ya wewe kuwa umeijua maana halisi ya nidhamu, siku ya leo ningependa ufahamu aina tano za nidhamu unazopaswa kuwa nazo ili kuweza…

  • Sababu tano kwa nini hufanikiwi

      Unaendeleaje rafiki yangu, hongera sana kwa siku hii nyingine mpya na ya kipekee sana. Siku ya leo ninaenda kukushirikisha sababu tano, kwa nini wewe hapo hufanikiwi. Kwenye kila sababu tunaenda kuona ni kitu gani ambacho wewe unaweza kufanya ili na wewe uweze kuingia kwenye orodha ya watu ambao wamefanikiwa. Hivyo, kaa mkao wa kula…

  • Vitu Vitano vya kuepuka ili uweze kufikia malengo yako

      Ni wazi kuwa furaha ya mtu yeyote anayeweka malengo ni kuona yanakamilika. Kama umeweka malengo yako kwa kufuata VIGEZO sahihi na kuepuka HAYA ni wazi kuwa malengo yako yatatimia. Hata hivyo, malengo yako yanaweza yasitimie kutokana na wewe kuendekeza vijitabia vingine vya kukukwamisha. Hivyo, hapa chini kuna vijitabia vitano unavyopaswa kuepuka baada ya kuweka…

  • Njia Tano Za Kuyafanyia Kazi Malengo Yanayojirudia Kila Mwaka

    Kuna malengo ambayo huwa yanajirudia kila mwaka. Yaani, utakuta kuwa kila mwaka lengo hilohilo linajirudia na linapaswa kufanyika. Na tena unaweza kukuta lengo la aina hii linahitaji fedha. Zifuatazo ni njia tano za kufanyia kazi malengo Yanayojirudia kila mwaka. Kwanza, yafahamu malengo yenyewe Yanayojirudia kila mwaka. Kama Ni kusafiri kwenda kuwaona wazazi, kupanda miti, kuchapa…

  • Sababu Tano Kwa Nini Afrika Ndiyo Eneo Pekee Unapoweza Kutengeneza Mabilioni ya Fedha Zaidi Ya Eneo Jingine Hapa Duniani

      Kabla ya julai 2016, nilikuwa napenda sana kufuatilia taarifa ya habari. Na mara kwa mara nilipokuwa nikisikiliza taarifa ya habari nilisikia  wakitangaza kuwa kuna watu wamekamatwa wakijaribu kuingia Ulaya kinyume na utaratibu au pengine walisema kuna maelfu wameaga dunia baharini  wakati wanavuka kuingia Ulaya. Wote hawa walikuwa wanaenda huko ili kutafuta maisha mazuri au…

  • Njia 5 Za Kuifanya Fedha Ikufuate

      Kuna watu wana tabia ambazo kwa vyovyote vile zinaendelea kuvuta fedha kwao. Na wengine kwa tabia yao, hata iweje Ni LAZIMA tu fedha iwakimbie. Umewahi  kujiuliza Ni kwa jinsi gani unaweza kufanya fedha ivutike kwako mara kwa mara. Zifuatazo Ni njia tano za kuivuta fedha kwako. 1. TOA THAMANI KUBWA KWA WATU. Labda kwanza…

  • Nipe Elfu Tano Nami Nitakulipa Laki Tano Ndani Ya Dakika 5 Tu

      Najua! Unaanza kujiuliza inawezekanaje kupata laki tano ndani ya dakika 5 tena kwa kutoa elfu tano tu? Huu si mchezo wa upatu huu? Sasa naomba ukae chini ili niweze kukueleza hapa. Kwanza fahamu kuwa huu siyo mchezo wa upatu. Bali unaenda kutoa shilingi elfu tano na kupata kitu chenye thamani ya laki tano na…

  • Njia Tano Za Kujitofautisha Mwenyewe Kwenye Kile Unachofanya

    Tunaishi katika dunia ambapo watu wengi wanapenda ufanye mambo kwa namna ya kawaida. Upate metokeo ya kawaida na kuishi maisha ya kawaida. Hata kama utasema kwamba hutaki maisha ya aina hii, utajikuta kwamba unalazimika kuishi maisha ya kawaida kwa sababu kila mtu kwenye jamii anafanya hivyo. Na ikumbukwe kuwa watu waliokuzunguka wana nguvu kubwa ya…

  • KAMA UNAFIKIRI KILA KITU KILISHAANDIKWA, FIKIRI TENA (SABABU 18 Kwa Nini Tunaandika Vitabu na Tutaendelea Kuandika Vitabu, Na Kwa Nini Wewe Unapaswa Kuandika Cha Kwako)

        Ok! Juzi kuna mtu alinifuata inbox kwangu na kuandika ujumbe mfupi unaosema kila kitu kilishaandikwa. Nilishangaa kidogo kuuona ujumbe huu, ila baadaye nikakumbuka kuwa kwenye group mijawapo la whatsap Kuna mtu ambaye alikuwa ameuliza swali linalosema Jamani habari za humu,  Hivi mimi nitakuwa mwandishi kamili lini Kujibu swali niliandika kwa kifupi mno nikisema,…

X