Category: Uncategorized

  • TAFAKARI YA WIKI: Unatumia Mabadiliko Mitandao Ya Kijamii Na Intaneti Au Inakutumia?

    Hongera sana rafiki yangu kwa zawadi ya maisha ndani ya wiki nyingine mpya kabisa. Wakati tunaendelea kupumua na kufurahia maisha, mambo pia yanazidi kubadilika. Kwa sasa tumekuwa kwenye zama za mabadiliko makubwa sana, ambapo ukilala na kuamka unasikia au kuona mabadiliko mapya ambayo yametokea.Kwa hiyo mabadiliko ni makubwa sana kila iitwayo leo. Na sisi pia…

  • Unahitaji Hiki Kabla Ya Kufanya Hicho Hapo

    Hongera sana rafiki yangu kwa zawadi ya siku hii ya leo. Kwa hakika leo ni siku njema sana ambayo unapaswa kuitumia. Kumbuka kwamba utakumbukwa kwa yale uliyoyafanya na kuyamaliza sio kwa yale uliyojaribu kufanya. Hivyo hakikisha leo. Unafanya kweli kweli ulichopanga kufanya. Kuna siri moja ambayo imejificha na ninaona watu wengi bado hawajaijua siri hii.…

  • Huwezi Kuwa Daudi Bila Jonathan Na Goliati

    Hongera sana rafiki yangu kwa kupata nafasi hii ya kipekee sana.Leo ni ijumaa ya tarehe 23 2018.Tumebakiza siku 38 kuumaliza mwaka huu. Bado tunao muda wa kukamilisha malengo yetu. Moja kati ya hadithi ambazo zinapedwa sana na watu kutoka kwenye Biblia ni hadithi ya Daudi na Goliati. Hadithi inatuonesha jinsi mtu mdogo ambaye ni Daudi…

  • UCHAMBUZI WA KITABU CHA WEALTH OF NATIONS-11

    Kitabu cha utajiri wa mataifa, kimeandikwa miaka ya 1700. Na ndani ya kipindi hiki suala zima la kuajiriwa lilikuwa linapewa sana kipaumbele. Yaani ajira zilikuwa walau nyingi sana ukilinganisha na leo hii. sasa leo nimekuwa najiuliza hivi ni kitu gani kikifanya ajira zikapotea? Ilikuwaje miaka hiyo idadi ya watu wanaotafuta ajira ilikuwa ni ndogo ukilinganisha…

  • UCHAMBUZI WA KITABU CHA LAWS OF HUMAN NATURE🔥🔥

    Mwezi uliopita rafiki yangu Magambo alinipa taarifa kwamba kitabu cha kipya Cha Robert Greene kitakuwa kinatoka mwezi huu. Mimi ni miongoni mwa watu ambao hawapendi kupitwa na kitabu chochote cha mwandishi huyu. Hivyo niliamua kufuatilia ili nijue kitabu hiki kitatoka lini na baada ya hapo nianze kukisoma bila kuchelewa. Niligundua kwamba kitabu hiki kitatoka tarehe…

  • UCHAMBUZI WA KITABU CHA WEALTH OF NATIONS-10

    Ili taifa liweze kukidhi mahitaji ya wafanyakazi wake basi halipaswi kubaki sehemu moja kwa muda mrefu. Taifa linapaswa kuonesha ali ya kuendelea kiuchumi kila mwaka ili liweze kufikia hatua kuongeza mshahara wa wafanyakazi na kuajiri wafanyakazi wapya. Bila ya kuwa taifa linalokua kila iitwayo leo, itafikia hatua litashindwa hata kuwahudumia wafanyakazi wake wa sasa. Na…

  • UCHAMBUZI WA KITABU CHA WEALTH OF NATIONS-9 (MALIPO KWA WAFANYAKAZI )

    Tunaendelea na kitabu che wealth of nations. Kitabu hiki kinazidi kunifungua zaidi na zaidi. Kuna vitu vimekuwa vknaongelewa kwenye zama za sasa kama vile ni vigeni, kumbe vimekuwepo tangu zamani sana. Ebu, ona mambo haya:1. Tangu zamani mwajiri anamlipa mwajiriwa kiasi kidogo sana cha pesa kiasi ambacho hakiwezi kumtosha mwajiriwa kukidhi mahitaji yake. Jambo hili…

  • Huu Ndio Ukweli Ambao Watu Hawakuambii (Mlinganyo wa Maisha)

    Hivi umewahi kuwa unaenda sehemu kumtembelea rafiki yako au ndugu ila bila kuwa na uhakika wa nyumba yake ilipo. Ukakaribia na sehemu ambayo ulikuwa unahisi kwamba hapa ndipo penyewe ila ukaja kushangaa kwamba mtu anayetokeza ni wa tofauti baada ya kugonga? Ukaamua kuuliza kwamba kwa John ni hapa? ukaambiwa ni nyumbe ileee, huku ukioneshwa kwa…

  • UCHAMBUZI WA KITABU; WEALTH OF NATIONS-8

    utajiri Wa Mataifa Ukurasa 42-61 1. Mgawanyiko wa kazi unazuiwa na uchache wa soko. Kadri soko linavyokuwa dogo ndivyo watu hufikiria juu ya kufanya kitu kingine kwenye jamii ili kuongeza kipato, na hivyo kuanza kusababisha ushindani. Kwa sababu unakuta mtu anachoenda kufanya kimeshafanywa na mtu mwingine kabla, au anachoanza kufanya baadae kinaigwa na mwingine. 2. …

  • Unapaswa Kuwa Na kitu Hiki Hapa Ili Kupata Mafanikio Makubwa Sana

    Hongera sana rafiki yangu kwa nafasi ya leo ambayo ni ya kipekee sana. Hakikisha unaitumia vyema ili uweze kusonga mbele na kupiga hatua kubwa. Kwa kawaida ili uweze kupiga hatua fulani na kufika sehemu kuna vitu unapaswa kuwa navyo.Ili uweze kusafiri kutoka eneo moja mpaka jingine unahitaji kuwa na tiketiIli upate chakula kwenye hoteli, basi…

  • UCHAMBUZI WA KITABU: WEALTH OF NATIONS -7 (Upatikanaji wa bei)

    Utajiri Wa Mataifa Ukurasa wa 50-58 Upatikanaji wa bei Jana tuliona vitu viwili vinavyotumika kupanga bei ya kitu.Moja tulisema muda uliotumika kupata kile kitu.Lakini pia tukamalizia kwa kusema kwamba ujuzi wa mtu aliyehusika katika kupata kile kitu.Kama bado hujasoma makala ya jana, basi hakikisha unaisoma kwanza ili twende sawa. Sasa leo, tunaenda kuzungumzia uhitaji wa…

  • Maswali Matatu (03) Unayopaswa Kujiuliza Kabla Ya Kuanza Safari

    Kati ya vitu ambavyo watu hawapendi ni maswali.Ukiwa darasani wanafunzi hawapendi kuuliza maswali lakini pia walimu hawapendi kuulizwa maswali na kinyume chake ni sahihi! Lakini maswali kwa kawaida ndio huja uvumbuzi, ubunifu na mambo mapya. Ona mtu kama Newton, baada ya kuona tunda linaanguka chini alijiuliza swali kwa nini lianguke chini badala ya kwenda juu.…

  • UCHAMBUZI WA KITABU: WEALTH OF NATIONS.-6 (hivi ndivyo bei zilikuwa zinapatikana)

    Utajiri Wa Mataifa Ukurasa wa 50-53 Soma Zaidi;  UCHAMBUZI WA KITABU CHA WEALTH OF NATIONS-5 (Mwanzo Wa Hisa) Kama mpaka sasa tupo wote, utagundua kwamba uchambuzi wa siku ya jana na leo umetoka kurasa za 50-53Lengo la mimi kurudia hapa ni kukazia pointi maana hapa nimeona kuna nondo nyingi zimewekwa sehemu moja. Mfano unaweza kuona…

  • UCHAMBUZI WA KITABU CHA WEALTH OF NATIONS-5 (Mwanzo Wa Hisa)

    Utajiri wa mataifa Ukurasa wa 50-53 Mwanzo wa Hisa Kadri ninavyoendelea kusoma kitabu hiki hapa, ninaendelea kugundua jinsi ambavyo mataifa yaliweza kujitengenezea utajiri na kufika yalipo. Kuna vitu vingi sana vya kujifunza kwenye kitabu hiki hapa. Moja ya maswali ambayo nilikuwa najiuliza hivi hisa zilianzaje?Maana sasa hivi utasikia watu wanasema, nimenunua hisa za Vodacom. Au…

  • Kitu Kimoja Ambacho Utakipata Endapo Itasoma Kitabu Kimoja Kati Ya hivi Hapa

    Habari ya leo rafiki yangu. Hongera kabisa kwa nafasi hii ya kipekee sana ya leo. Leo ni tarehe 23 oktoba 2018 mpaka sasa ninapoandika makala haya, zimebaki siku 69 mwaka huu kuisha. Kama mwaka huu uliweka malengo ya kufanya kitu, basi sasa umefika wakati wa kujiuliza umefikia wapi kwenye kuyatimiza malengo yako?? Sasa leo naomba…

  • UCHAMBUZI WA KITABU CHA WEALTH OF NATIONS:-3 Kupanda na kushuka kwa thamani ya pesa

    Utajiri wa Mataifa Ukurasa wa 37-47 Kupanda na kushuka kwa thamani ya pesa Jana tuliona historia ya pesa ilivyoanza na tukaishia kuzungumzia kitu kinachojulikana kama thamani.Nilisema kwamba thamani ya kitu hutofautiana na leo tunaenda kuona vitu viwili vya awali vinavyofanya pesa iwe na thamani ya juu au chini. Soma Zaidi: UCHAMBUZI WA KITABU; WEALTH OF…

  • Maeneo Matatu Unayoweza Kuwekeza Kama Hauna Pesa/Mtaji

    Moja kati ya vilio vya watu wengi linapokuja suala la kuazisha biashara, basi ni kilio cha MTAJI. Utasikia watu wanasema, ningependa kuanzisha biashara fulani ila mtaji.Ningependa kuwekeza sehemu fulani ila mtaji sina. Kitabu Hiki Kipo Kwa Ajili YakoTsh.5,000/- Kama wewe kilio chako kimekuwa hiki kwa siku sasa, naomba nikwambie kwamba kuna maeneo matatu ambayo unaweza…

  • IFAHAMU NGUVU YA KUTOA NA JINSI UNAVYOWEZA KUITUMIA KWA MANUFAA YAKO

    Moja kati ya kitu ambacho kimezoeleka sana miongoni mwa watu ni kupokea. Kila iitwayo leo, mtu anapenda kupewa na kupewa na kupewa. Hivi kwa mfano sasa hivi ukikutana na mheshimiwa Raisi Magufuli, kitu gani kitakuja kwako kwanza?Je, utafikiri kwamba akupe mtaji wa kuanza biashara?Au utafikiri juu ya kukusaidia kupata ajira?Je, utapenda akupe gari zuri la…

  • YAH: ZAWADI YA SIKU YA WASICHANA DUNIANI

    Jana tarehe 11 oktoba ilikuwa siku ya WASICHANA DUNIANI. Dunia nzima imekuwa mstari wa mbele siku ya jana kusherehekea sikukuu hii. Sikukuu hii ikianza kushrehekewa mwaka 2012. Na sasa inasherehekewa takribani dunia nzima.Siku hii inafamika kama INTERNATIONAL DAY OF GIRLS au siku ya kimataifa ya wasichana. Sasa kama sehemu ya kusheherekea siku hii. Zawadi ilitoloewa…

  • Kama Furaha Yako Inatokana na Kitu Hiki Hapa, Basi Jua Kwamba Sio Furaha Ya Kweli

    Rafiki yangu, hongera sana. Leo ni siku njema sana kuwahi kutokea kwenye dunia hii.Ni siku ya kipekee sana kwetu kuchukua hatua kubwa sana.Ni siku ya kipekee kuongeza mtandao wa watu wanaotufahamu.Ni siku ya kipekee kwetu kutimiza malengo yetu.Ni siku ya kipekee kwetu kuimarisha akili zetu na kujenga akili zetu kwa namna ya upekee sana. Yaani…

X