-
TAARIFA: Masomo Na Uchambuzi Kuhusu Soko La Hisa Kwa Siku 30 Zijazo
Leo rafiki yangu nina habari njema Sana. Unajua ni habari gani? Ewaaa! Ni kuhusu uwekezaji kwenye soko la hisa. Kwa siku 30 zijazo kuanzia tarehe tarehe 1 aprili nitafanya kimoja kati ya vifuatavyo.1. nitatoa uchambuzi Kuhusu mwenendo wa soko la hisa2. Nitatoa mafunzo kuhusu soko la hisa3. Nitajibu maswali yanayoulizwa kuhusu uwekezaji na soko la…
-
Kwa nini hufikii ndoto zako
Umekuwa na ndoto kubwa Ila bado hazifanikiwi? Unajua kwa nini? Najua kwa asili sisi ni viumbe wenye ndoto kubwa. Ndio na hili naweza kuliona kwa watoto wadogo. Maana mtoto mdogo haogopi kusema waziwazi kuwa siku moja atakuwa daktari au kuwa siku moja atakuwa rubani. Mtoto akiona ndege anasema ni ya kwangu au ya baba yangu…
-
Kinachowatofautisha Wanaofikia Ndoto Zao Na Ambao Hawazifikii
Kitu kimoja kikubwa ambacho kinawatofautisha wanaofikia ndoto zao na ambao hawazifikii ni vitendo. Wanaofikia ndoto kubwa ni watu wa vitendo. Siyo watu wa kukaa mtandaoni na kuanza kuzungumzia ndoto zao. Bali vitendo vyao ndivyo vinaongea. Wewe pia kama unataka kufikia ndoto zako. Tenda zaidi ya unavyoongea. Hivyo tu. Anza leo.
-
Ulipata kitabu cha bure?
Rafiki yangu kwa siku Sasa nimekuwa natoa kitabu cha bure. Itasikitisha sana endapo hutachangamkia hii ofa na kuchukua hiki kitabu. Yaani, wewe ushindwe kupata kitabu cha kununua. Ushindwe hata kupata cha bure. Kweli? Ebu chukua hatua Sasa hivi…. Kipate hapa
-
Njia nzuri na ya pekee ya kupata matokeo yadumuyo
Kama kuna mtu ambaye amekufikisha wewe juu, mtu huyohuyo anaweza kukuangusha chini. Kama umetumia njia ya mkato, njia hiyohiyo inaweza kukurudisha chini Njia nzuri na ya pekee ya kupata matokeo yadumuyo ni kufuata mchakato.Mchakato unakujenga.Hata ukianguka unaweza kusimama tena maana unakuwa unaujua mchakato. Rafiki yangu, kazana kuujua mchakato, kisha ufuate.
-
Mwongozo Sahihi Wa Kufikia Malengo Na Ndoto Zako
Ebu kwa mfano fikiria hili Umezaliwa na kukua katika mazingira ambayo wewe mwenyewe kabisa unaona huyapendi. Baadaye unasikia kuwa ukitaka kufanikiwa unapaswa kuweka malengo. Unaweka malengo lakini bado huoni matokeo makubwa, badala yake ni kama umeamua kujifukia kwenye shimo. Habari za kuwa unapaswa kuwa mvumilivu zinakufikia. Unasema ngoja niwe mvumilivu kwanza.Lakini bado hola! Unafanyaje sasa?…
-
Wateja wako wasikusahau
Hakikisha kila mara unawasiliana na wateja wako. Usipowasiliana na wateja wako mara kwa mara watakusahau na hata kushindwa kuja kununua kwako. Kitu hiki kinaweza kupekelekea wateja wako kwenda kununua kwa washindani wako. Weka utaratibu wa kuwasiliana na wateja wako kila mara. Tafuta sababu (excuse) nzuri ya kuwasiliana na wateja wako.Mfano siku ya kuzaliwa kwao wapigie…
-
Ushauri: Mbinu Za Kuuza Kitabu Kwa Mafanikio Makubwa
Unaendeleaje rafiki yangu. leo hii ninaenda kuwa najibu swali nililoulizwa na mmoja wetu ambaye anapitia kwenye changamoto baada ya kuwa amezindua kitabu chake na hakijafanya vizuri. Ebu kwanza tuone anachosema; Habari yako kaka kwa mara nyingine!!! Pole na hongera kwa kuendelea na wajibu ulokuleta duniani. Ni takribani wiki 1 toka nitoe kitabu changu kiitwacho “THAMANI…
-
Gharama Sita Unazopaswa kulipa ili kufikia ndoto zako.
Ukiwa na ndoto kubwa unapaswa kuwa tayari kulipa gharama. Ni vigumu kufikia ndoto kubwa bila ya kulipia gharama ndoto zako. Na linapoongelewa suala zima la gharama basi watu wengi wanadhani gharama ni pesa peke yake. Hapana. Hizi hapa ni gharama sita unazopaswa kulipa ili kufikia ndoto zako
-
Uhuru wa kifedha ni nini?
Uhuru wa kifedha ni pale ambapo unakuwa na fedha za kukutosha kwa kutumia kipindi fulani. Kama wewe matumizi yako kwa siku ni shilingi elfu tano. Ukiwa na milioni moja maana yake utakuwa na uhuru wa kifedha wa siku 200. Ila ukiwa na shilingi milioni moja na matumizi yako kwa siku ni laki moja maana yake…
-
KWA NINI UNAPASWA KUANZISHA BIASHARA
1 zama zimebadilika Mambo yanabadilika aisee! Zamani ulikuwa hivi, ulitakiwa kwenda shule, kusoma kwa bidii ma baadaye ulikuwa na uhakika wa kupata ajira. Siku hizi mambo yamekuwa tofauti. Kuna watu wengi ambao wamehitimu na wapo mtaani ila kazi hawana. Kwa hiyo je, tuendelee kuwambia wanetu na washikaji zetu kuwa waende shule wasome kwa bidii ili…
-
Ndoto siyo ile unayoota ukiwa umelala, ndoto ni ile unayoona ukiwa macho
Kama kuna kitu ambacho utapaswa kufanya maishani mwako na kikawa ni kitu chenye manufaa makubwa kwako ni kukaa chini na kuandika ndoto yako chini. Unaweza kuona kukaa chini kupanga vitu ambavyo ungependa kufikia maishani mwako kama ujinga, ila ukweli ni kwamba ukishindwa kupanga unakuwa unapanga kushindwa. Kiuhalisia muda ambao unatumia kupangani mdogo ukilinganisha na manufaa…
-
UPO TAYARI KUJIANDAA KWA MIAKA MINNE IJAYO?
Mashindano ya olympiki ni miongoni mwa mashindano yenye nguvu sana. Yanapendwa na watu lakini pia washiriki wake huwa wanajiandaa kwa kipindi kirefu kabla ya mashindano yenyewe. Washiriki wa mashindano hayo wanajiandaa kila siku kwa kipindi cha miaka minne kwa ajili ya shindano ambalo linadumu kwa dakika kadhaa kisha kupotea. Na ndani ya dakika hizo ndipo…
-
Kwa nini unapaswa kuanzisha biashara
1 zama zimebadilika Mambo yanabadilika aisee! Zamani ulikuwa hivi, ulitakiwa kwenda shule, kusoma kwa bidii ma baadaye ulikuwa na uhakika wa kupata ajira. Siku hizi mambo yamekuwa tofauti. Kuna watu wengi ambao wamehitimu na wapo mtaani ila kazi hawana. Kwa hiyo je, tuendelee kuwambia wanetu na washikaji zetu kuwa waende shule wasome kwa bidii ili…
-
KITABU:MAAJABU YA KUWEKA AKIBA: Jinsi Tabia ya Kuweka Akiba Inaweza Kukufanya Uwe Tajiri
Mwaka juzi (2020) niliandika kitabu cha MAAJABU YA KUWEKA AKIBA. Kwenye kitabu hiki niliandikabutangulizi huu hapq chini ambao Leo hii bado una nguvu kubwa aawa na nilipouandika. “Tangu umezaliwa mpaka leo hii, ni unaposhika kitabu hiki mikononi mwako ni wazi kuwa fedha nyingi tayari zimepita mikononi mwako. Hivi laiti ungekuwa umeweka utaratibu wa kuwa unatoa…
-
Hakuna mwenye kipaji cha kila kitu
Hakuna mwenye kipaji cha kila kitu na wala hakuna anayeweza kila kitu. Usitake kujihangaisha na kuonesha kuwa wewe ndiye wewe kwenye kila kitu. Kuna vitu vichache unaweza kuvifanya vizuri Weka juhudi zako hapo. Vingine waachie wengine. kupata ebook ya KIPAJI NI DHAHABU tuma elfu tano kwenda 0755848391 ili utumiwe ndani ya dakika tano bila kuchelewa.
-
Jinsi ya kupata chochote unachotaka
Rafiki yangu habari ya leo. Bila shaka unaendelea vyema kabisa. Zig Ziglar aliwahi kunukuliwa akisema kuwa unaweza kupata chochote unachotaka kama utawasaidia watu kupata kile wanachotaka. Yaani, kauli hii fupi laiti ingefahamika kwa watu vizuri basi kila mtu alipaswa kufurahi maana kauli hii imebeba siri kubwa. Kama hujajua siri iliyobebwa kwenye kauli hii naomba utulie…
-
Kipaji ni dhahabu-4: Kipaji Hakifanyiwi Kazi Kwa Siku Moja
Najua kuna wengi wangependa wagundue kipaji chao Leo hii na kesho yake wawe tayari wamekuwa mabingwa. Hapana. Inachukua muda. Unahitaji muda kukinoa kipaji chako. Kifanyie kazi kipaji chako kila siku. Wewe wa leo hapaswi kuwa sawa na wewe wa jana na wiki ijayo. Kila wiki iwe wiki ya tofauti kidogo. JIFUNZE kuitumia kanuni ya asilimia…
-
Jinsi Ya Kutengeneza Fedha Mtandaoni
Moja ya swali ambalo niliwahi kujiuliza miaka mingi iliyopita, lilikuwa ni namna gani naweza kutengenwza fedha mtandaoni? Kiukweli swali hili lilipa shauku ya kutaka kujua mengi. Kipindi hicho nilikuwa nasikia habari kuwa akina Millard Ayo wanalipwa kupitia mtandao.Sasa swali langu lilibaki, na mimi nawezaje kulipwa mtandaoni. Swali hili lilinifanya niianze kujifunza kupitia kusoma maandiko mengi…
-
Vyeti Vya Hisa Vinaenda Kusitishwa Kutolewa
Unaendeleaje rafiki yangu. Leo nina taarifa muhimu kwako ambayo unapaswa kuifahamu kama mwekezaji. Kama umesoma kitabu cha MAAJABU YA KUWEKEZA KWENYE HISA, HATIFUNGANI NA VIPANDE na umeanza uwekezaji, basi utakuwa unajua kuwa kila ukiwekeza fedha yako huwa unatumiwa Cheri. Hata hivyo, utaratibu mpya unaenda kuanza tarehe 1 mwezi ujao (April) Ni kwamba utakuwa hutumiwi cheti…
