Category: A NOTE FROM SONGAMBELE

  • Kafanyaje huyu?

    Kapata pressure baada ya biashara yake kutofanya vizuri! Tafiti zinaonesha kuwa Kati ya biashara 10  zinazoanzishwa biashara tano hufa ndani ya mwaka mmoja na nyingine ambazo hubaki huwa hazifikishi miaka 10. Hili wewe mwenyewe lifuatilie mtaani kwako. Utakuta kwamba kuna biashara nyingi zinazoanzishwa  baada ya muda kidogo zinapotea. Hii ndio kusema kwamba usipokuwa makini wakati…

  • Kinachokwamisha wewe kufika mbali.

    Umekuwa unakwama kufika mbali kwenye maisha na kushindwa kufikia ndoto zako kwa sababu tu hujawa na ndoto  kubwa kiasi cha kutosha. Maneno ya busara yanasema hivi, unapaswa kulenga kuifikia nyota kiasi kwamba hata ukishindwa uufikie mwezi. Sasa ebu fikiria hili, wewe ndoto yako siyo kubwa kiasi cha kulenga kuifikia nyota badala yake umelenga kufika kileleni…

  • Usidharau fedha hata kama ni kidogo

    Leo nataka ni kwambie kwamba fedha siyo kitu ambacho unapaswa kudharau. Unaweza kukuta mtu ana fedha kiasi fulani ila akawa anakidharau. Na hata akakitumia hovyo, ila unachopaswa kufahamu ni kuwa usidharau fedha. Hivi hujawahi kujiuliza kwa nini Mo Dewji na utajiri wake wote kwa nini bado anaendelea kutengeneza hadi viberiti? Kiberiti kimoja huku mtaani tunakinunua…

  • KIPAJI NI DHAHABU-2: wekeza kwenye uwezo wako na siyo kwenye udhaifu wako

    Kila mtu kuna eneo ambalo yuko vizuri.  Ukishaligundua hilo eneo ndilo sasa unapaswa kulipa nguvu na kuachana na udhaifu wako. Ukikazana kuboreaha udhaifu wako huwezi kufika mbali hata kidogo kwenye maisha. Ukiwekeza kwenye uwezo wako zaidi na kuufanyia kazi, utakuwa bora zaidi. Hakikisha unapata Ebook ya KIPAJI NI DHAHABU pamoja ebook ya MITAJI 8 ILIYOKUZUNGUKA…

  • Kutoka Kwenye Ajira Mpaka Kujiajiri: HATUA 09 Za Kufuata Kutoka Kwenye Ajira Mpaka Kujiajiri

    Leo nataka nikupe mwongozo muhimu ambao unaweza kuutumia katika kuanzisha biashara hasa ukiwa umeajiriwa. Ebu fikiria kwamba umeajiriwa leo hii na unataka uanzishe biashara yako ili ujiajiri. Huu mwongozo ninaoenda kukupa hauna mfanano wake, kiufupi hakuna mtu mwingine ambaye amewahi kukwambia kitu Kama hiki, na wala hata hamna kitabu wala ebook ya kununua ambayo imefunguka…

  • Jinsi Ya Kupima Thamani Ya Utajiri Ulionao

    Kama una ndoto kubwa na za kufika mbali basi ni muhimu kwako kujua utajiri ulionao kwa sasa. Hii itakupa nguvu ya wewe kuendelea kupambana zaidi ili uweze kufika mbali. Muda wa wewe kupima Utajiri wako. Kutokana na shughuli kuwa nyingi, huwezi kuwa unapima Utajiri wako kila siku. Ila unaweza kuwa unapima Utajiri wako walau mara…

  • UWEKEZAJI NI NINI?

    Moja ya eneo ambalo limekuwa halieleweki miongoni kwa watu wengi basi ni UWEKEZAJI. Kumekuwepo na dhana mbalimbali kuhusu UWEKEZAJI na WAWEKEZAJI. Hizi dhana zimewafanya watu wengi washindwe KUWEKEZA huku wachache wanaoilewa dhana hii wakiwa wanawekeza kwenye maeneo ya muhimu kwa manufaa makubwa. Dhana potofu kuhusu UWEKEZAJI. Kumekuwepo na dhana mbalimbali kuhusu UWEKEZAJI. Na moja ya…

  • Mafanikio ni nini?

    Mafanikio ni kitu ambacho kinakuwa na maana tofauti tofauti kwa watu. Kwa mwanafunzi mafanikio yake ni kufaulu mtihani.Kwa mwanachuo mafanikio yake yanaweza kuwa kupata kazi baada ya kuhitimu.Kwa aliyepata ajira mafanikio kwake yanaweza kuwa ni  kupandishwa cheo au kuoa/ kuolewa au kuanzisha biashara au kujiajiri. Hivyo, hakuna maana moja ya mafanikio ambayo inaweza kuwekwa kama…

  • Cha Kufanya Pale Wenzako Wanapokuzidi Elimu, Kipaji, Ujuzi, Konekisheni n.k

    Kama unajua Kuna wenzako wanakuzidi, elimu, kipaji, ujuzi, konekisheni n.k. unapaswa kupiga kazi kwa bidii. Yaani, wewe huna maarifa, ujuzi, kipaji halafu unabweteka. Inakuwa siyo poa hata kidogo. Moja ya kitabu ambacho nimewahi Kusoma kikanifungua sana ni kitabu cha 50CENT na cha Kobe Bryant. 50CENT anasema hivi, unaweza kumzidi akili, unaweza kumzidi konekisheni, unaweza kumzidi…

  • Kitu Kitakachobadili maisha yako leo hii na hata milele

    Ninataka nikwambie kitu kitakachobadili maisha yako kuanzia leo hii na kuendelea. Nataka ufanye zoezi hili rahisi sana. Anza kwa kujiuliza vitu na shughuli zako zote unazofanya. Sasa angalia ni shughuli ipi ambayo ukiacha kuifanya na KUWEKEZA nguvu zako kwenye shughuli zinazobaki utapata matokeo makubwa sana. Kama ipo achana nayo. Kisha nguvu zako na muda wako…

  • Hii Ndio Siri Kubwa itakayokusaidia kutengeneza fedha Nyingi

    Unataka kijua ni kwa namna Hani unaweza kutengeneza fedha Nyingi zaidi ya unavyotengeneza sasa hivi? Umechoka na kipato chalo cha Sasa, ungependa kutengeneza kipato kikubwa zaidi ya unavyotengeneza Sasa? Ndio Kuna njia. Na njia hii Ndio ninaenda kukueleza leo kwa umakini na kwa lugha rahisi sana. Kwanza Anza na kufuatilia hesabu za fedha zako zinazoingia…

  • Jinsi Ya Kutoa Na Kupokea Mrejesho

    Mrejesho ni miongoni mwa ujuzi muhimu sana unaopaswa kuwa nao.  Aidha iwe ni kutoa au kupokea mrejesho. Mrejesho ni kutoa au kupokea mapendekezo ya kumsaidia mtu kuboresha kazi yake. Kuwa mtu wa kupokea mrejesho na kuufanyia kazi na hasa pale unapokuwa na mrejesho unaoona kabisa kwamba unaenda kuwa mrejesho wenye manufaa kwako. Kwetu sisi kutoa…

  • Wanawake Watano Walioshindwa Karibia Kwenye Kila Kitu Na Bado Wakashinda Kwa Kishindo

    kuna usemi wa wahenga wetu wanaosema kuwa kukatika kwa jamvi sio mwisho wa mazungumzo. Jamvi linaweza kukatika na bado mazungumzo yakaendelea, tena vizuri tu. Sasa leo, natakata niongee nawe kuhusu hili suala na hasa wewe mwanamke.Leo nimekuandalia Makala maalumu, huku nikitaka uchukue masomo makubwa kutoka kwa wanawake walioanguka na bado wakainuka na kushinda kwa kishindo…

  • Nguvu Ya Jina (jina la biashara, jina lako na Jina la brand yako)

    Bidhaa mbalimbali huwa zinatambulika kwa majina. Kila mtu huwa anatambulika kwa jina lake. Hata hivyo iko wazi kuwa baadhi ya majina yakitajwa, yanakuwa na nguvu ukilinganisha na majina mengine. Kuna kampuni ikizindua bidhaa fulani, watu wataikimbilia kuinunua na kampuni nyingine inaweza kuzindua bidhaa ya aina hiyohiyo ila watu wakawa hawajaikimbilia. Na ukifuatilia kiudani zaidi unaweza…

  • Kitu Cha Kufanya Ndoto Yako Inapohusisha Watu Wa Nje

    Kuna nyakati ndoto na malengo yako yanahusisha watu wa nje. Yanahusisha taasisi za serikali, makampuni fulani au hata mataifa mengine ambayo yana taratibu zake, utendaji kazi wake na kila kitu cha kwake. Watu hawa utakuta kwamba wana njia zao kutenda na kushughulika na vitu vyao katika namna ambayo inaweza isiwe rafiki kwako. Kwa mfano, unaweza…

  • Vitu Vya Kuepuka Ili Uweze Kuishi Maisha Mazuri

    Kwanza kabisa, hakikisha unaepuka kulalamika. Ukilalamika unakuwa unawanufaisha wale ambao wanakusikia. Epuka kufuatilia maisha ya watu wengine Epuka kutumia fedha yako yote ulyonayo bila kuweka akiba Epuka kukopa. Tumia dfedha yako Epuka kutumia fedha zaidi ya kipato chako Epuka kumezwa na mitandao ya kijamii Epuka kuianza na kuimaliza siku yako bila ya kuwa na malengo…

  • Anza Na Kina Kile Ulichonacho

    Kabla hujasema kwamba haiwezekani na wala siwez i kufanya kitu fulani, jihoji kiundani na uangalie ni kitu gani unaweza kufanya. Kuna vitu vingi unaweza vizuri tu Kabla hujasema kwamba, sina cha kuanza nacho, angalia vizuri ikwenye mazingira yako ni kipi ulicho nacho ambacho unaweza kuanza kutumia sasa hivi. Kuna vitu ulivyo navyo ambavyo unaweza kuanza…

  • Njia Tano Rahisi Za Kukuza Biashara Kwenye Zama Hizi Za Mtandao

    Rafiki yangu hongera sana kwa siku hii nyingine na ya kipekee sana. Siku ya leo ningependa nikuelekeze njia tano tu ambazo zitakusaidia wewe kukuza biashara yako kwenye zama hizi za intaneti. Njia hizi ni rahisi kufanyika na unaweza kuzifanyia kazi popote pale ulipo Kwanza hakikisha kwamba biashara yako ipo kwenye mtandao. Kwenye zama hizi hapa…

  • NGUVU YA NENO: MANENO HUUMBA NA KAULI 101 UNAZOPASWA KUZIEPUKA ILI KUFANIKIWA

    UTANGULIZI Maneno huumba. Ni usemi mfupi wa wahenga ila wenye maana kubwa sana. ni ukweli kuwa maneno yana uwezo wa kuumba kitu chochote. Ukitaka maneno yakuumbie kitu kizuri, basi unaongea maneno chanya. Ukitaka maneno yakuumbie kitu kibaya basi unaongea unaongea maneno hasi. Ni hivyo tu. Sasa kwenye kitabu hiki nimeona nikuletee kauli 101 ambazo unapaswa…

  • Kama Huna Fedha Basi Kuna Maeneo Haya Matano Unayakosea

    2. Sina fedha/sina hela Hii ni kauli ambayo moja kwa moja inakufunga na kukufanya usione upenyo wa kutoka. Ukisema sina hela maana yake unakuwa unainyima akili uwezo wa kufikiri nje ya boksi na kuona fursa gani zaidi unazoweza kupata. Badala ya kusema sina fedha, unaweza kujiuliza hivi hapa nawezaje kupata fedha? Au ni mbinu gani…

X