Category: A NOTE FROM SONGAMBELE

  • KIPAJI NI DHAHABU: Jinsi Ya Kukigundua, Kukinoa Na Kutumia Kipaji Chako Kwa Manufaa

    Nakumbuka mwaka 2013 nilikutana na vijana wenzangu ambao walikuwa kwenye mjadala mkali kuhusiana na Messi, Ronaldo na Neymar. Kwenye mjadala huu walikuwa wakijadili kuhusiana na uwezo wa wachezaji hawa, huku wengine wakisema kwamba Messi na Neymar wana kipaji ila Ronaldo akiwa anatumia nguvu. Nadhani kama wewe ni mpenzi wa soka, mijadala kama hii utakuwa unaifahamu…

  • Kipaji Ni Dhahabu: Jinsi Ya Kukigundua, Kukinoa Na Kutumia Kipaji Chako Kwa Manufaa

    Nakumbuka mwaka 2013 nilikutana na vijana wenzangu ambao walikuwa kwenye mjadala mkali kuhusiana na Messi, Ronaldo na Neymar. Kwenye mjadala huu walikuwa wakijadili kuhusiana na uwezo wa wachezaji hawa, huku wengine wakisema kwamba Messi na Neymar wana kipaji ila Ronaldo akiwa anatumia nguvu. Nadhani kama wewe ni mpenzi wa soka, mijadala kama hii utakuwa unaifahamu…

  • Kitu Kimoja Muhimu Usichokijua Kuhusu Darasa Rasmi La Uandishi Mwaka 2022

    Kuanzia tarehe 16 machi, 2022 tutakuwa na darasa rasmi la uandishi. Darasa hili maalumu litahusisha watu wachache tu. Watu 10. Ukihudhuria darasa hili: 👉Utaandika kitabu chako na kitakamilika ndani ya siku 30. 👉 Nitakusimamia na kusoma kazi zako unazoandika kila siku na kukusaidia kuziboresha. 👉 Nitakufungulia blogu ya bure. 👉 Utajifunza mengi kutokana na yale…

  • Maswali Unayopaswa kuwauliza watu waliofanikiwa

    Ukikutana na mtu ambaye amefanikiwa, usitoke bure kwake. Kuwa mdadisi ili uweze kujua ni kitu gani ambacho kimeweza kumpa mafanikio makubwa. Yafutayo ni maswali ambayo unapaswa kuwauliza watu waliofanikiwa? 1. Imekuwaje umefanikiwa wakati wengine huona siyo rahisi kufanikiwa maishani? 2. Unawezaje kuendesha miradi mikubwa wakati mimi nahangaika na miradi midogo? 3. Nini siri ya mafanikio…

  • Je, kizazi kijacho cha Mabilionea wa Afrika kitatokea wapi?

    Takwimu zilizotolewa na gazeti la Forbes ni kwamba karibia bilionea mmoja anatengenezwa kila baada ya dakika moja. Hii Ndio kusema kwamba fursa za kutengeneza mabilionea zaidi zinazidi kuongezeka. Nafasi ya wewe kutengeneza ubilionea pia ipo, lakini endapo tu utaifahamu na kuiishi misingi na kanuni za kibilionea. Sababu Tano Kwa Nini Afrika Ndiyo Eneo Pekee Unapoweza…

  • Kama Bado Hujapata Nafasi Ya Kushiriki Darasa La Uandishi Kwa Mwaka 2022 Chukua Hatua Sasa Hivi

    Tunategemea kuwa na darasa rasmi la uandishi kwa mwaka 2022. Darasa hili la kipekee litaanza rasmi tarehe 16 machi. Kama ulikuwa huna habari basi taarifa rasmi  ilitolewa HAPA HAPA na BAADAYE ikatolewa hapa. Idadi ya watu ambao watashiriki kwenye darasa hili hapa la kipekee Ni kumi tu, na nafasi zinazidi kupungua kila kukicha. Hivyo, kama…

  • Umuhimu Wa KUWEKEZA Kwenye Hisa

    Kwa Tanzania kumekuwepo na hiki Kitu kinaitwa Vicoba na michezo. Wengi wamekuwa wanaweka fedha zao kwenye hii michezo, ambapo muda mwingine wanalizwa kwa kutopewa fedha zao. Na muda mwingine wanaweka fedha kwa pamoja BAADAYE zinaibiwa na mtu mmoja, wahusika walio wengi wanaishia kulia. Nadhani huku ni kuangamia kwa kukosa maarifa.  Hivi wewe ushawahi kusikia kitu…

  • Kama Unataka Kubadili Dunia Fanya Haya Hapa

    Unaendeleaje rafiki yangu Nimekutana na watu wengi wanaopenda kubadili dunia. Hata hivyo, cha kushangaza wamekuwa hawachukui hatua. siku leo, nimeona siyo vibaya, ngoja nikuandalie kitu kuhusu mabadiliko, kama unataka kubadili dunia fuatilia haya mafunzo. 1. Kama unataka kubadili dunia, tandika kitanda chako vizuri.(KITABU) Huu ni uchambuzi wa kitabu cha Make Your Bed kilichoandikwa na William…

  • Je, Viwanja Vya Zama Hizi Vimehamia Mtandaoni

    Leo nimeona nifunguke mambo ya muhimu sana baada ya kuona kwamba dunia inazidi kubadilika kwa Kasi sana wakati Watanzania wenzangu wakiwa wanaendelea kuishi kama vile hakuna kinachotokea. Zamani ilikuwa kwamba mtu akiwa na mashamba makubwa au viwanja basi alikuwa anahesabika kuwa ana utajiri mkubwa sana. ila siku hizi hali inaonekana kama imebadilika. Nadhani wewe mwenyewe…

  • Kwa Nini Mpaka Sasa hivi huanzishi biashara yako?

    Ngoja kwanza! Si ulisema mwaka 2020 kwamba utaanzisha biashara? Ilikuwaje? Nakumbuka mwaka 2021 ulisema ndio mwaka wako wa kufanya makubwa! Uliishia wapi? Mbona hilo wazo lako la kuanzisha biashara unarudia kulisema kila mwaka huku ukiwa huchukui hatua? Siku ya leo nataka nikudadavulie vitu vinavyokuzuia wewe kuanzisha biashara yako mwaka hadi mwaka na hatua unazoweza kuchukua.…

  • Dhana Ya Riba Mkusanyiko Kwenye Kipaji

    Hakikisha unasoma: Kipaji Ni Nini? Mwanasayansi Albert Einstein aliwahi kunukuliwa akisema “riba mkusanyiko (compound interest) ni moja kati ya maajabu saba ya dunia”. Dhana ya riba mkusanyiko imejengwa kwenye msingi kwamba vitu vidogo vidogo vidogo vinapokusanywa kwa pamoja kwa kipindi kirefu, basi inafikia hatua ambapo vitu hivyo vinatengeneza kitu kikubwa. Ukitaka kunielewa vizuri zaidi nikupe…

  • Mafanikio Sio Ajali

    Mafanikio siyo kitu kinachotokea mara moja kama ajali, bali ni kitu ambacho kinatokea kwa kuandaliwa kila siku. Kwa hiyo mafanikio yako unapaswa kuyaandaa kila siku. Usisubiri ije itokee siku moja ambapo utaamka ukiwa umefanikiwa. Ishi kila siku yako kwa mafanikio. Maana mkusanyiko wa siku moja moja ndio unaleta mafanikio makubwa. Soma zaidi: Nguvu Ya Riba…

  • Tai Anatufundisha Somo Hili Kubwa Kuhusu Maisha Ya Mafanikio

    Tai Anatufundisha Somo Hili Kubwa Kuhusu Maisha Ya Mafanikio

    Siku ya leo nataka tujifunze kutoka kwa tai. Kuna mengi ya kujifunza Kutoka kwa tai ila kwa leo acha twende na hili. Tai akitaka kumla nyoka anamnyanyua kwa nguvu na kwa spidi kali ambayo nyoka hawezi kuhimili mpaka juu, Kisha anamwachia. Nyoka akiwa bado hajaelewa kinachoendelea tai anamdaka haraka kabla hajadondoka chini na kupanda naye…

  • Amsha Uungu Ulio Ndani Yako: Siri Kuu Ya Mafanikio Kutoka Kwa Socrates

      Socrates anaaminika kuwa miongoni mwa watu waliokuwa na busara katika ugiriki yote katika nyakati zake. Kipindi hicho kijana mmoja alimfuata kumwomba ushauri wa namna ya kufanikiwa. Kwa busara Socrates akamwambia njoo siku fulani. Yule kijana akawa kweli ametokea siku hiyo ili aambiwe siri ya mafanikio. Nadhani yule kijana alikuwa anataka njia ya mkato ya…

  • Kinachokukwamisha Wewe Kuandika Kitabu Chako Ni Hiki..

    Kama Kuna kitu watu wamekuwa wanasema kwamba halijakaa sawa ni mfumo wa elimu. Umekuwa unalalamikiwa kwaKukaririsha watu vituKutokujjenga watu wenye ujuziKutokuwaandaa wahitimu kwa ajili ya maisha baada ya chuo n.k. Kwenye hili naweza kusema kuwa Kuna kitu kimoja watu huwa wanakisahau. Kitu hiki ni namna mfumo wa elimu unavyozuia watu kutumia uwezo wao mkubwa wa…

  • Ugunduzi mkubwa kuwahi kufanyika hapa duniani

       Zimewahi kufanyika gunduzi nyingi sana hapa duniani. Na hata leo hii bado kuna gunduzi nyingi zinaendelea kufanyika. Hata hivyo, kuna ugunduzi mkubwa ambao ndiyo ugunduzi nambari moja kukiko ugunduzi mwingine unaoufahamu wewe. Na ugunduzi huu ni kuwa mtu anaweza kubadili maisha yake akibadili mtazamo wake. Hii ni kauli ya James Allen ambayo aliitoa kwa…

  • Huu Ndio Muda Ambao Unapaswa Kufanikiwa Kwa Viwango Vikubwa Sana

      Rafiki yangu hongera sana kwa siku hii ya kipekee sana.  Sku ya leo nilipenda tu nikueleze kuwa kuna muda ambao wewe hapo unapaswaa kufanikiwa kwa viwango vikubwa. Na muda huu ni pale ambapo unkuwa hauna kitu chochote kile cha kupoteza. Kama ndio kwanza unaanza na hauna vitu vingi ambavyo unaweza kusema kwamba utapoteza basi…

  • Kama Kuna Kitabu Ambacho Ungependa Kusoma Fanya Hivi

    Kama kuna kitabu ambacho unaona kwamba hakijaandikwa basi chukua hatua wewe hapo kukiandika. Kama kuna wimbo ambao ungependa kuusikiliza ila unaona kwamba haujaimbwa uimbe wewe hapo. kama kuna mchoro ambao ungependa kuuona basi uchore wewe, hapo. Usipoteze muda wako kujadili vitu ambavyo wewe mwenyewe unaweza kusbabisha na kuvileta kwenye uhalisia. Na kama huwezi kuvileta kwenyey…

  • HAKIKISHA UNAZIMA KIFAA CHAKO CHA KIELETRONIKI UNAPOENDA KULALA

       Rafiki yangu hongera sana kwa siku hii nyingine ya leo. Siku ya leo nina ujumbe mfupi tu kwako ambao ningependa uufahamu. Na ujumbe huu ni kuwa hakikisha unazima kifaa chako cha kieletroniki kila unapoenda kulala. Kwenye zama hizi imekuwa ni tabia ya watu kuwa mtu anapoamka asubuhi, mpaka usiku anapoenda kulala, anakuwa amefungulia vifaa…

  • Fursa Ya Wazi Ambayo Unaichezea

    Kuna fursa ambazo naona wazi vijana hawazitendei haki. Na pengine wanachukulia poa hii fursa.  Lakini pengine fursa hii wangeipata mababu wetu, basi wangefurahi sana. Au kama hao mababu wetu wangekuwa leo hii wanakuja na kuona jinsi wewe  unavyoamua kuchezea fursa hii wangekupiga Kofi.  Fursa hii sio nyingine, Bali fursa ya mtandao wa intaneti. Mtandao umekuja…

X