-
Usiache Kufanya Mazuri Kwa Sababu Umezungukwa Na Watu Wanafanya Mabaya
Kama umezungukwa na watu ambao wanafanya vitu ndivyo sivyo. Usikubali kuachana na tabia yako nzuri na kuanza kufanya vitu ambavyo havieleweki. Mara zote na sehemu zote hakikisha kwamba unafanya mazuri hata kama umezungukwa na watu ambao wanafanya vitu vibaya.. Usikubali kuwa sehemu ya kuendeleza ubaya. Badala yake sambaza upendo wa kufanya mazuri. Unaweza usione matokeo…
-
Hivi Ndivyo Na Wewe Unaweza Kuandika Kitabu Historia Ya Maisha Yako Kama Sugu
Miongoni mwa watanzania ambao wameandiaka vitabu vya historia ya maisha yao ni Sugu. Kitabu chake kinaeleza historia ya maisha yake kuanzia alipozaliwa mpaka anaingia bungeni mwaka 2010. Kina mambo mengi mzuri na ya kujifunza kwelikweli. Nashauri kama hujasoma kitabu cha Sugu, kinachoitwa Maisha na muziki ukisome. Utajifunza mengi sana ndani ya hiki kitabu. Tunaweza pia…
-
Maswali Yanaoulizwa Mara Kwa Mara Kuhusu Semina Ya Uwekezaji Kwenye Hisa
Unaendeleaje mwekezji siku ya leo ningependa kujibu maswali ambayo watu wamekuwa wanauliza mara kwa mara kuhusu semina ya uwekezaji kwenye hisa? 1. Semina itaendeshwa wapi? Semina itaendeshwa kwa njia ya mtandao kupitia kundi maalumu la whatasap. Na inaenda kudumu kwa siku 10 mfululizo. Yaani, kuuanzia tarehe 1.8.2022 mpaka tarehe 10.8.2022 2.Je, atakayehudhuria semina atajifunza vitu gani…
-
Hivi Ndivyo Elfu moja inaweza kukusaidia kuhudhuria semina ya uwekezaji kwenye hisa
Unaendeleaje rafiki yangu wa ukweli. Mimi kwa upande mwingine huku naendelea vizuri kabisa. Wiki ilyopita nilitangaza juu ya uwepo wa semina ya uwekezaji kwenye hisa. Semina hii ya kipekee itaendeshwa kwa njia ya mtandao wa whatsap kupitia kundi maalumu la semina. Itadumu kwa siku 10 na kila siku itakuwa ni siku ya mafunzo kwako. Baada…
-
Vitu Viwili Ambavyo Havitapitwa na wakati kwenye zama hizi
Tuna facebook, twitter na mitandao mingine ya kijamii. Kila mtu anakazana sana kuhakikisha kwamba kwenye hii mitandao anakuwa na wafuasi wengi Hata hivyo, ukweli ni kwamba hii mitandao huimiliki wewe. Muda wowote ule wanaomiliki hii mitandao wanaweza kufanya chochote na watu wazuri wanaofuatilia kazi zako wakashindwa kuziona tena. Hii ni mbaya sana. Instagram wanaweza kukufungia…
-
KITABU CHA MY STORY kipo, hivi ndivyo unaweza kukipata
Rafiki yangu mpendwa unaendeleaje. Kwenye mojawapo ya makala ambazo nimewahi kuandika hapa siku za nyuma nilieleza kuwa nina kitabu cha MY STORY cha Mohmmed Ibn Sasa watu wengi wamekuw wananiomba niwatumie hiki kitabu, leo nimeona nikwambie kwamba unaweza kupata hiki kitabu. Kama utakaitaka basi nitumie ujumbe kwa njiaa ya baruapepe ili nikutumie. Baruapepe yangu ni…
-
Njoo rafiki yangu ujifunze mbinu za kuwekeza kwa faida.
Unaendelea rafiki yangu. Bila shaka kila kitu kipo Safi kwa upande wako. Mimi huku naendelea vyema. Nilikuwa najiuliza, Hivi umeshajiunga na semina ya uwekezaji kwenye HISA ambayo itaendeshwa kwa njia ya mtandao kuanzia tarehe 1.8.2022? Kama ulikuwa hujui Ni kwamba kwenye semina hii ya kipekee, unaenda kujifunza mengi kuhusu uwekezaji kwenye HISA Baada semina hii…
-
Hii dhana ambayo kila kijana anapaswa kuachana nayo
Vijana wanapokuwa wanafikiria kuanzisha kitu, kitu Cha kwanza wanafikiria kupata mtaji au msaada. Nakumbuka wakati naanza chuo mwaka 2016 nilimwambia rafiki yang hivi, mpaka nahitimu chuo nataka niwe na uwezo wa kuajiri vijana kumi”. Yeye aliniambia “mpaka nahitinu chuo nitakuwa nimetafuta na kupata wadhamini kumi” Sasa nadhani vijana tunapaswa kubadili fikra zetu. Tubadili namna tunavyofikiri…
-
Namna ya kukabiliana na ukosefu wa ajira kwa vijana. Njia Saba Zilizothibitishwa (Njia Namba 2, 4 na 7 ni muhimu sana)
Mwishoni mwa mwezi uliopita nilisafiri kwenda Dar kutembea. Nikiwa Dar nilipata nafasi ya kuongea na mmoja wa rafiki zangu. sijui ilikuwaje lakini kwenye maongezi yetu kuna sehemu tulifika tukaanza kuongelea suala zima la ajira, na hapo ndipo akawa ananiambia kwamba yeye alihitimu mwaka 2006 na kupata ajira miezi mitatu baada ya kuhitimu. Kwa maneno yake…
-
Karibu kwenye semina ya uwekezaji kwenye Hisa
Habari ya leo rafiki yangu. bila shaka unaendelea vyema kabisa. karibu kwenye semina ya uwekezaji kwenye hisa. Hii ni semina ya kipekee sana ambayo itaendeshwa kwa njia ya mtandao kuanzia tarehe 1 Agosti 2022. Katika semina hii ya kipekee unaenda kujifunza kila kitu unachohitaji kujua kuhusu uwekezaji wa hisa. Semina hii ya kipekee itadumu kwa…
-
Aina Tano (05) Za Ujuzi Unazohitaji Ili Kuwa Milionea Kwenye Ulimwengu Wa Leo
Kwenye makala niliyotuma kwa watu wa nguvu ambao huwa wanapokea makala zangu kwa njia ya email jana. Niliandika kwamba zama zimebadilika na wewe unapaswa kubadilika. Kama hujajiunga na mfumo wetu wa kupokea makala kwa njia ya barua pepe nina hakika huo ujumbe hukuuona, hivyo, leo nimelazimika kuuweka huo ujumbe kwenye blogu yetu hapa ili na…
-
ZAMA ZIMEBADILIKA: MAISHA YAMEBADILIKA PIA
Leo kwenye status ya moja za rafiki yangu aliweka picha ikionesha jinsi bei za vyakula zilivyokuwa chini siku za nyuma. Unaweza kuona mwenyewe picha yenyewe hapa Ukiangalia hapo utagundua bei zilikuwa chini kweli!Maziwa yalikuwa shilingi 100. Bei ya maji ya kandoro kwa sasa ! Sijui maji ya kandoro kipindi hicho yalikuwa yanauzwa shilingi ngapi. Au basi..…
-
Hivi Ndivyo Tunaweza Kufanya Biashara Za Kitanzania Zikue Zaidi
Kwa Dakika moja Tu Leo Nataka Nikwambie Ni Kwa Namna Gani Unaweza Kufanya Biashara ya Rafiki Yako Ikue Zaidi Na Zaidi Ya Ilivyokuwa Mwanzo. Njia hii ni kununua kwake. Hii ndio njia bora nay a kipekee sana. Maana kwa jinsi hiyo utamfanya mwenye biashara apate kipato cha kumwezesha kuikuza biashara yake Kwa hiyo badala ya…
-
Kitu Kimoja Cha Kufanya Unapokutana Na Watu
Unaendeleaje rafiki yangu mpendwa. Siku ya leo ningependa tujadili kitu kimoja cha kufanya unapokutana na watu. Kitu hiki ni kubadili maisha yao na Kuyafanya kuwa bora zaidi kuliko ulivyowakuta. Yaani, kuwainua na kuwafanya wajisikie vizuri ZAIDI Kuliko pale walipokuwa hawajakutana na wewe. Hii Ni moja sifa ya viongozi na watu wote WALIOFANIKIWA. Kwa hiyo kila…
-
App mbili ambazo kila mfanyabiashara anapaswa kuwa nazo
Kuna app mbili ambazo kila mfanyabiashara anapaswa Kuwa nazo. 1. Thl accountingHii inakusaidia kutunza hesabu zako zote za biashara. Na bidhaa ZAKO zote ulizonazo kwenye Biashara yako, itakuonesha bidhaa zinazokaribia kuisha au zilizoisha, itakusaidia kutengeneza invoice, itakusaidia kutunza hesabu za mauzo, mapato mpaka matumizi.Hata Kama uko mbali bado unaweza kuona mwenendo wa biashara yako. Kitu…
-
Ni makosa Yapi Kati Ya Haya Matatu Umewahi Kuyafanya Maishani Mwako?
1. Kuwa na wazo la BIASHARA au uwekezaji Ila ukachelewa na baadaye watu wengine wakalifanyia kazi Umewahi Kuwa na wazo la BIASHARA ambalo ulikuwa ukifikiria kulifanyia kazi Ila ukachelewa kulifanyia kazi. Baadaye likafanyiwa kazi? 2. Kuweka Mipango mikubwa mwanzoni mwa mwaka ambayo hukuwahi kufanyia Kazi?Au labda umewahi Kuwa na mpango mkubwa sana, mwanzoni mwa mwaka.…
-
Njia hii itakusaidia kufanya majukumu yako kwa mwendelezo na kuchana na kughairisha (Seinfeld Calendar)
Nadhani imewahi kukutolea maishani kwamba unapenda kuanzisha kitu na kukifanyia kisha baada ya muda kidogo unaachana nacho. Au baadaye unaanza kujiambia kwamba nitakifanya kesho au wiki ijayo. SIKU ya leo Nina mbinu ambayo inafahamika kama Seinfeld Calendar.Kuifahamu Seinfeld Calendar ngoja kwanza tujue Seinfeld mwenyewe alikuwa nani kiufupi. Huyu alikuwa ni mwigizaji ambaye kwa miaka mingi…
-
Kama Wewe Ni Mpenzi wa Kuandika kwenye Status Za WhatsApp Basi Leo Kuna kitu Nataka Nikwambie.
Siku hizi imekuwa ni rahisi kuandika mtandaoni. Status za WhatsApp, Facebook na maeneo mengine. Kitu hiki kinawafanya watu waandike jumbe fupi Ila nzuri ambazo huwa zinapotea baada ya muda. Kwa mfano, mtu anaandika status ya WhatsApp, lakini inapotea baada ya saa 24. Ule ujumbe wake mzuri alioandika unapotea na hauonekani Tena. Na wengi wanaoandika kwenye…
-
Hiki ni kitu ambacho unapaswa kukitafuta kwa nguvu zako zote
Ni kitu gani hiki….Ni kutafuta kuwaelewa wengine kabla ya kutaka kueleweka. Kwenye maongezi ya kila siku kila mtu huwa anapigana kuhakikisha kuwa anaeleweka kwenye kile anachofanya. Hiki kitu tu huwa kinasababisha ubishi mkubwa. Ninachotaka kukwambia leo ni kwamba tafuta kuwaelewa wengine kwanza kabla wewe hujaeleweka. Hilo litakusaidia sana maana ukishajua upande mwingine unataka nini itakuwa…
-
Business to Business (B2B) Ni Nini?
Business to business ni mfumo wa BIASHARA unaofanyika kati ya Kampuni na Kampuni au kati ya BIASHARA moja na nyingine. Yaani, Kampuni inatengeneza bidhaa kwa ajili ya kuuza kwa Kampuni nyingine na siyo kwa walaji wa mwisho. Kampuni nyingine zinaweza kuwa na bidhaa za aina mbili. Bidhaa moja ya kuuza kwa walaji wa mwisho na…
